Salon za kiume vs HIV

Jese Pinkman

JF-Expert Member
Mar 5, 2014
661
337
Naomba kuuliza, hivi salon za kiume especially pale mtu anapochongwa ndevu au kichwa hakuna uwezekano wa kupata virusi vya ukimwi kweli mana salon zetu za mitaani hakuna sterilization yani kinatoka kichwa kinaingia kichwa kama mtu ana virusi si hatari sana?

Naomba mwenye ufahamu aniambie
 
Ingekuwa hivo Tanzania nzima tungekuwa na ukimwi. Hakuna ukweli hapo ila mimi naona wanaekaga spirit
 
The risk is very very minimal, why? Kuna tafiti kadhaa zimefanyika na kuona mambo haya. 1/Kirusi cha Ukimwi kinakuwa hai ndani ya Damu mbichi, majimaji ya mwilini nk. Hivyo ili maambukizi yatokee inabidi mashine ya kunyoa imkate mtu na iwe na damu mbichi na ya kutosha then muda huo huo ikamte mtu mwingine kwa kina kidogo.

2/Nje ya damu na maji maji ya mwilini kirusi cha ukimwi kinakufa ndani sekunde chache sana (5seconds!). Hivyo hakuna namna yoyote ya kirahisi kwa jinsi viwembe vya mashine ya kunyoa vikahifadhi damu mbichi.

NOTE. *Spirit haiwezi kuua kirusi cha Ukimwi, bali ina uwezo wa kuua vimelea vingine na kuharibu mazingira hai ambayo virus angeweza kuishi.

*Kuna ugonjwa wa Ini unaitwa Hepatitis B, ni hatari zaidi ya Ukimwi kwa kuambukiza na kuua, nao unaweza kuambukizwa kama ulivyo Ukimwi but tafiti zinaonyesha kuwa risk ya maambukizi ni very very minimal kwa salon za kunyolea.
 
The risk is very very minimal, why? Kuna tafiti kadhaa zimefanyika na kuona mambo haya. 1/Kirusi cha Ukimwi kinakuwa hai ndani ya Damu mbichi, maji maji ya mwilini nk. Hivyo ili maambukizi yatokee inabidi mashine ya kunyoa imkate mtu na iwe na damu mbichi na ya kutosha then muda huo huo ikamte mtu mwingine kwa kina kidogo...

Zanzibar umenena
 
The risk is very very minimal, why? Kuna tafiti kadhaa zimefanyika na kuona mambo haya. 1/Kirusi cha Ukimwi kinakuwa hai ndani ya Damu mbichi, maji maji ya mwilini nk. Hivyo ili maambukizi yatokee inabidi mashine ya kunyoa imkate mtu na iwe na damu mbichi na ya kutosha then muda huo huo ikamte mtu mwingine kwa kina kidogo...
Nilitaka kuuliza hilo swali ila baada ya kusoma hapa sina haja ya kuanzisha thread
 
The risk is very very minimal, why? Kuna tafiti kadhaa zimefanyika na kuona mambo haya. 1/Kirusi cha Ukimwi kinakuwa hai ndani ya Damu mbichi, maji maji ya mwilini nk.....Hivyo ili maambukizi yatokee inabidi mashine ya kunyoa imkate mtu na iwe na damu mbichi na ya kutosha then muda huo huo ikam.
kirusi hakifi mzee bali kinakuwa "inactive" kikiwa nje ya damu/maji maji
 
Kirusi kinauwezo wa kufa boss kama hakipo mazingira salama na ndo maana kina muda wake wa kukaa nje ya damu au mazingira yanayokisapoti.
kirusi hakifi mzee bali kinakuwa "inactive" kikiwa nje ya damu/maji maji
 
Kirusi kinauwezo wa kufa boss kama hakipo mazingira salama na ndo maana kina muda wake wa kukaa nje ya damu au mazingira yanayokisapoti.
kirus hakifi mzee kama kinakufa bas leo hii ukimwi usingekuwepo. kirus ana uwezo wa kufanya mutation ili asidhurike na dawa yyte ambayo inamjia kwa wakati husika. ndo mana unaambiwa hakuna dawa ya kirus. (japo kuna research znafanyika huenda wakagundua/washagundua dawa)
 
Kwahiyo nini mtazamo wako juu ya hiyo mada?
kama ukikatwa na mashne ambayo previously ilimkata mtu mwathirika bas kuna uwezekano mkubwa wa ww kuathirika pia

NB..mm sio daktar lakn nazungumza haya kutokana na tulivofundishwa shule.
 
kama ukikatwa na mashne ambayo previously ilimkata mtu mwathirika bas kuna uwezekano mkubwa wa ww kuathirika pia

NB..mm sio daktar lakn nazungumza haya kutokana na tulivofundishwa shule.
Ingekuwa ukimwi unaambukizwa kirahisi hivyo zaidi ya 90% tungekuwa nao, mimi nimekatwa maranyingi tu napokuwa hizi saloon za kitaa ila sijapata huo ugonjwa, nafikiri Zanzibar-ASP yuko sahihi
 
Acha ubishi mkuu kirusi huwezi kukiua kikiwa ndani ya damu tu lakini kikiwa nje kinakufa bila shida.
kirus hakifi mzee....kama kinakufa bas leo hii ukimwi usingekuwepo. kirus ana uwezo wa kufanya mutation ili asidhurike na dawa yyte ambayo inamjia kwa wakati husika. ndo mana unaambiwa hakuna dawa ya kirus. (japo kuna research znafanyika huenda wakagundua/washagundua dawa)
 
Acha ubishi mkuu kirusi huwezi kukiua kikiwa ndani ya damu tu lakini kikiwa nje kinakufa bila shida.
hebu tuanzie nyuma kidogo,,is virus a living or non living organism? ukinijib hili swali tuendelee
 
Kuna mnyama Hepatitis B huyu unampata na ni nuksi kuliko hata UKIMWI.
 
hebu tuanzie nyuma kidogo,,is virus a living or non living organism? ukinijib hili swali tuendelee

Kirusi ni kiumbe kinachotegemea kiumbe kingine (host) ili kiwe na maisha, ni living thing kwasababu ya kuwa na baadhi ya sifa za viumbe hai, lakini hajakamilika.
 
Back
Top Bottom