Salon ya America nails wanachagua wateja

Salon ya America nails wanachagua wateja

Kama wamekubagua na evidence unayo si ungeenda tu fungua kesi uombe fidia ya kama 10M hivi? Umeacha hela iende?

Hii ingekua fundisho kwa biashara nyingine, sijawahi ona customer care mbovu duniani kote nilipopita kama Tanzania, wamelala sana na kuridhika as if umeenda kuomba msaada.
 
nasikitika kusema nimesikitishwa sana na treatment ya kibaguzi iliyokuwa wazi niliyoipata kwenye saloon hyo iliyosababisha niondoke hapo bila kupata huduma yoyote na kisa tuu sina jina kubwa ama sionekani kwenye magazeti kama wengi wa wateja wanaohudumiwa hapo. ambao wengi wao ni masupa star...

Ifike mahali watu wajifunze kua customer care ni muhimu mnooo tatizo watanzania tunashoboka na mastaa bei wote tunalipa sawa lakini akitokea celebrity utashangaa jinsi watakavyo kuignore wewe mteja wa kawaida... lakini hawaelewi kua si wote wanapenda kushow off ...kupanda bajaj sio sababu ya mimi kushindwa kuafford a good hair do if i want to...n if i cm in flats instead of a red sole painted heel or designer bag and flashy dress isnt the reason for u to judge me....treat yo customers equally...some of us dn like to show of bt we cn live and spend like a celebrity if we want to n we cn afford it....
Sasa badala ya kulalamika na kuongea maneno ya uzuni ni mda muafaka sasa ukafungua saloon yako then uka onyesha mfano wa kuwa jari wateja wao,ila kwa kulalamika huko hakuta badilisha lolote,na isitoshe ukiludi tena utabaguliwa.
 
tatizo wewe sio target customer wao ndio maana uende au usiende haiwaumiii...

hao masupers staa uchwara wao ndio target customer...

kwa nini hela yako ikutese wakati saloon zipo kibao mitaani..

je mtaani kwako hakuna saloon??

mnamaliza mabucha wakat nyama ni ile ile
 
Hata mimi najiuliza hilo swali.

kila sehem duniani kuna super star wake.. hata vijijini wana mastaa wao..

kibongo bongo kina wema sepetu, wolper, k lyn, ray wa maji, daimond na wengineo wengi ndio mastaa wetu hao
 
saloon zetu tanzania hatuna customer care wanahsobokea mastaa wakati hela zinalipwa sawa i think wasijudge mtu kwa nje unatakiwa uige ona maznat jamani she is the best good customer care amekuepo tokea lini ana moyo mzuri she is the best na anapamba balaaa


Maznat ni Msomi anajielewa sio hao ambao wengine ambao hawajui maana ya huduma nzuri kwa wateja
 
Achana na hiyo ya kinondoni wana nyodo sana, kuna siku walininyali kinoma nilienda na weaving fake so kuna jidada flani hivi nene nene linaitwa mariam kama sijakosea likagoma kunishonea.... uwe unaenda pale dar free market wana branch yao, wasusi wa pale hawana shobo na ni wazuri..... ila akiwepo dayana walau hata utaulizwa unataka kutengenezwaje. Mmmmmmmmh ila kuna wabongo wana mijhela bwana, weaving piece laki na nusu na anabond piece 6 hapo bado kucha na scrub.... mbona rahaaaaaaa
 
Back
Top Bottom