Tweetylicious
Member
- Apr 10, 2012
- 17
- 11
- Thread starter
- #21
Mikucha yako ina ukakasi wa. kumenya ndizi na kusugua vyungu unataka kusumbua wakongo wa watu...
and thats the end of yo thinking capacity..bleh m nt suprised
Mikucha yako ina ukakasi wa. kumenya ndizi na kusugua vyungu unataka kusumbua wakongo wa watu...
Kama wanachagua wateja .....Na wewe uwe unachagua salon ya kwenda. Acha kuparamia. kama ulienda umevaa kanda mbili ulitegemea wakuwekee red carpet. Remember the way you dress gives the impression to which stratum you belong in society. next time dress to kill and revert with observations.
pole sana naifahamu hiyo saloon si ipo barabara ya kino ukiingia ndani kama una dumbukiaaa..palee ishamtpkeaga wife wangu aliweka appointment akaambiwa aende saa nne asubuhi.akashanga mpaka saa nane hajafanyiwa servicce yoyote.hidumwa wanapewa wengine tu.mimi nikaenda hapo kumtoaaa.tatizo wabongo kujuana ndy shida na sehemu nyingi tu tatizo hilo liponasikitika kusema nimesikitishwa sana na treatment ya kibaguzi iliyokuwa wazi niliyoipata kwenye saloon hyo iliyosababisha niondoke hapo bila kupata huduma yoyote na kisa tuu sina jina kubwa ama sionekani kwenye magazejti kama wengi wa wateja wanaohudumiwa hapo. ambao wengi wao ni masupa star...ifike mahali watu wajifunze kua customer care ni muhimu mnooo tatizo watanzania tunashoboka na mastaa bei wote tunalipa sawa lakini akitokea celebrity utashangaa jinsi watakavyo kuignore wewe mteja wa kawaida... lakini hawaelewi kua si wote wanapenda kushow off ...kupanda bajaj sio sababu ya mimi kushindwa kuafford a good hair do if i want to...n if i cm in flats instead of a red sole painted heel or designer bag and flashy dress isnt the reason for u to judge me....treat yo customers equally...some of us dn like to show of bt we cn live and spend like a celebrity if we want to n we cn afford it....
Hapana ile ni biashara! Unapaswa kuelezwa bei ya huduma tuu ukikubaliana nayo,wakuhudumie. Wengine hawana hulka au hawapendi kuonekana maridadi bali wasafi tuu.
Maridadi wa kuvaa wengi hawana pesa mbwembwe tuu.
hio saloon ya kike/kiume!!??? hebu jieleze vizuri mbona unaongea kama watu.wote humu tunaishi mtaa mmoja
sikupenda kubishana pale kung'ang'ania huduma kwa mtu asie taka kukuhudumia ni kujidhalilisha tuuu....
lakini pia kuweka huu uzi hapa si kuw ninalalamika lakini niwaasa watz kama tukiendelea na attitude hii itatucost lakini pia wamiliki wa maeneo mbalimbali..wafuatilie jinsi wateja aao wanavyohudumiwa kukosa wateja sababu zinaanzia katika issue kama hizi
Kashfa si nzuri ndugu,muelimishe tu kiungwana.....ndo Utanzania.Mikucha yako ina ukakasi wa kumenya ndizi na kusugua vyungu unataka kusumbua wakongo wa watu...
Ha ha hadi morogoro? Sasa wanamnyoa nani huko moro?Kuna kisaluni Moro kinaitwa Obama hair cutting. .. nacho jamaa zake wana shobo za kike kike!!!!
Kuosha..unaenda kufanya nn kwa masupa staaz
na kesho nenda hapo hapo wakikuzingua wapake mbovuKuosha..