Salon ya America nails wanachagua wateja

Salon ya America nails wanachagua wateja

Tweetylicious

Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
17
Reaction score
11
Nasikitika kusema nimesikitishwa sana na treatment ya kibaguzi iliyokuwa wazi niliyoipata kwenye saloon hiyo iliyosababisha niondoke hapo bila kupata huduma yoyote na kisa tuu sina jina kubwa ama sionekani kwenye magazeti kama wengi wa wateja wanaohudumiwa hapo ambao wengi wao ni masupa star.

Ifike mahali watu wajifunze kuwa customer care ni muhimu mnooo, tatizo watanzania tunashoboka na mastaa bei wote tunalipa sawa lakini akitokea celebrity utashangaa jinsi watakavyo kuignore wewe mteja wa kawaida.Lakini hawaelewi kuwa si wote wanapenda kushow off

Kupanda bajaji sio sababu ya mimi kushindwa kuafford a good hair do if i want to...n if i cm in flats instead of a red sole painted heel or designer bag and flashy dress isnt the reason for u to judge me....treat yo customers equally...some of us dn like to show of bt we cn live and spend like a celebrity if we want to n we cn afford it....
 
Pole sana ndg! Huo ni ugonjwa wa wabongo tena sio saloon tu bali hata sehemu nyingi sana za huduma...mimi huwa wakiniignore alafu ndio waleti imejaa za kuchezea... basi kwa jeuri tu nawapa Tip alafu naondoka basi huwa hawanielewi kabisa! Ila utashangaa hao wanaowashobokea wanapata huduma kwa credit...

kamwee hatutakaa tuendelee kwa halii hiii...na ndio maana wenzetu wakenya na sehemu nyingine wanatushinda kwenye hivi vitu ..our customer care is poor...!!na watu wenye haya maeneo iwe hotel,saloons restaurant wawe very keen wanapoteza wateja kwasababu wafanyakazi wao hawawezi kudeal na wateja.
 
hio saloon ya kike/kiume!!??? hebu jieleze vizuri mbona unaongea kama watu.wote humu tunaishi mtaa mmoja

hii saloon ni ya kike ipo kinondoni one of the very best in town na masta wengi wanapenda kwenda hapo...kwa kweli kazi yao ni nzuri ila tatizo wateja wakawaida kina siee wanatutreat vibaya mnoo....
 
some are equal but some are more equal than others....

Kama huduma hiyo unaweza kuipata sehemu nyingine kwanini huende hapo..., binafsi mimi nina kinyozi wangu tena nina namba zake za simu kabla sijaenda ninampigia kumuuliza kama hayupo busy alafu sababu yuko uswazi na ananyoa kwa buku mimi nikienda nikimtoa buku mbili saafiiii yaani ni among his top customers;
 
Labda ulikuwa mchafu sana! hata ngekuwa mi nsingekushobokea!.. try to evaluate yourself ulikuaje siku hiyo kabla hujaporomosha lawama zako!
 
some are equal but some are more equal than others....

Kama huduma hiyo unaweza kuipata sehemu nyingine kwanini huende hapo..., binafsi mimi nina kinyozi wangu tena nina namba zake za simu kabla sijaenda ninampigia kumuuliza kama hayupo busy alafu sababu yuko uswazi na ananyoa kwa buku mimi nikienda nikimtoa buku mbili saafiiii yaani ni among his top customers;

nitafanya hivyo sasa ila hapo mwanzo niliagizwa hapo kwani mimi natokea mkoani na nilikua na shughuli hivyo nilipenda kutengeneza vizuri lakini yaliyonikuta ...najuuuuuta
 
Wewe ullivoona wanakuignore ulichukua hatua gani, uliuliza kulikoni? wakati mwingine inabidi uwe serious na wewe, mambo ya kujuana yapo kila sehem, GANGAMALA HATA UKITOKA UWE USHAWAPA UKWELI WAO, NINA UHAKIKA BOSS WAO HATAPENDA KUHARIBU JINA.
 
hii saloon ni ya kike ipo kinondoni one of the very best in town na masta wengi wanapenda kwenda hapo...kwa kweli kazi yao ni nzuri ila tatizo wateja wakawaida kina siee wanatutreat vibaya mnoo....

ungeitaja hyo saloon ina lalamikiwa na weng tu hama mana zipo nying hafu wabongo wengi kwenye customer care zero ile ni kazi yao ila mteja akienda wana muangalia kama hawamjui huwa wanakera bora kwa wakongo
 
some are equal but some are more equal than others....

Kama huduma hiyo unaweza kuipata sehemu nyingine kwanini huende hapo..., binafsi mimi nina kinyozi wangu tena nina namba zake za simu kabla sijaenda ninampigia kumuuliza kama hayupo busy alafu sababu yuko uswazi na ananyoa kwa buku mimi nikienda nikimtoa buku mbili saafiiii yaani ni among his top customers;

Yeye anajua preference ya wenye saluni ni watu wa aina gani sasa kilichompeleka hapo ni kitu gani kama sio shobo!
 
Wewe ullivoona wanakuignore ulichukua hatua gani, uliuliza kulikoni? wakati mwingine inabidi uwe serious na wewe, mambo ya kujuana yapo kila sehem, GANGAMALA HATA UKITOKA UWE USHAWAPA UKWELI WAO, NINA UHAKIKA BOSS WAO HATAPENDA KUHARIBU JINA.

sikupenda kubishana pale kung'ang'ania huduma kwa mtu asie taka kukuhudumia ni kujidhalilisha tuuu....
lakini pia kuweka huu uzi hapa si kuw ninalalamika lakini niwaasa watz kama tukiendelea na attitude hii itatucost lakini pia wamiliki wa maeneo mbalimbali..wafuatilie jinsi wateja aao wanavyohudumiwa kukosa wateja sababu zinaanzia katika issue kama hizi
 
Yeye anajua preference ya wenye saluni ni watu wa aina gani sasa kilichompeleka hapo ni kitu gani kama sio shobo![/QUOTE

their preference hasnt been specified ndo maana nikaenda otherwise labda tuombe watangaze kuwa the salon only serves celebrities..
 
Pole sana dear, mimi ni mteja pale but sijawahi kubaguliwa so siwezi sema wabaya kwangu. Huwa wananichangamkia sana.
Diana mwenyewe alikuwepo? mmmh bahati mbaya sn karibu mastar wote huenda pale so wanavimba vichwa kwa baadhi ya wateja.

Naonaga wakikuona na hela, nje umepark gari kali ndio wanakuchangamkia, but hili ni tatizo la salon nyingi zenye majina. Hela ni yako dear ukiona vipi hamia kwingine otherwise vumilia tu.
 
Mikucha yako ina ukakasi wa kumenya ndizi na kusugua vyungu unataka kusumbua wakongo wa watu...
 
Pole sana dear, mimi ni mteja pale but sijawahi kubaguliwa so siwezi sema wabaya kwangu. Huwa wananichangamkia sana.
Diana mwenyewe alikuwepo? mmmh bahati mbaya sn karibu mastar wote huenda pale so wanavimba vichwa kwa baadhi ya wateja.

Naonaga wakikuona na hela, nje umepark gari kali ndio wanakuchangamkia, but hili ni tatizo la salon nyingi zenye majina. Hela ni yako dear ukiona vipi hamia kwingine otherwise vumilia tu.

unfortunately hiyo ndio ilikua mara ya kwanza kwenda hapo na sifahamu mtu yoyote lakini nilikutana na mdada na baada ya kunijibu hovyo niliamua kuondoka na kutafuta huduma some where else..
 
Watanzania hatujui jinsi ya kuseize wateja.
 
Back
Top Bottom