Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Chambua kama karanga by saida karoli
Kuna Kosa kwani? Je hukuwahi Kuisikia ZUWENA yake MARIJAN RAJAB ikiimbwa na MR.PAUL? na Je Hukuwahi kusikia MUHOGO WA JANG'OMBE yake MAREHEMU BI KIDUDE ikiimbwa na Comandoo bint Mchoz Lady J-dee????????
Hakuna jipya chini ya Jua hili bhana.
 
Kiba kaimba nyimbo ya ISSA MATONA kimaso maso, Jide muogo jang'ombe na siwema , Mr Paul zuwena hawa wote hawajashtakiwa ila diamond platnumz ndio ashtakiwe, punguza roho mbaya kwa kijana mwenzio mtafutaji.
Jina la wimbo kufanana tu ndo useme kaimba wimbo wa issa matona?
Si kwa kupanic huku kutafuta evidences za mwendo kasi
 
Watanzania nyie wengi mmejaa ushamba na wivu wa maendeleo mbaya hadi kila anachofanya Diamond mnashutumu.

Mnanitia kichefuchefu hata kuwasoma, mnatia aibu taifa letu, wivu umewajaa hadi leo usingizi mnjaua hamtala vizuri.

Muache ushamba kila kitu ka vile mnajua ya miziki duniani...

Ndio... nimeupenda sana tena sana.
 
Kumbe Ile nyimbo ya papa wemba ni diamond ndiyo aliiachia?
kumbe ile beat mond aliyoifanyia michano huru ni ya montana?

kama hujui uliza,ukishindwa kuuliza nyamamaza,ukishindwa kunyamaza na ukakulupuka kurupu kama hivi unadharaulika.
wewe kweli bogus
 
Hahahahaaaaaaa
Ukafananishe hizi saida karoli na nisamehe?
Acha basi kulazimisha moja kuwa Saba
Ila ushabiki ni mbaya Sana jamani
 
Video hii nimerudia kuitazama mara tano..... Itabamba sana kwakweli. Kamrudisha dada yetu Salome hewani kama ataweza Salome aende Wasafi wamtengenezee wimbo mmoja ili arudi hewani tena.
 
Reactions: MC7
Mtajiharishia leo
 
Huwezi ukawa sirias.. Yani nisamehe ivunjwe na huu upuuzi??
Relax.

Siachani nawe,Nivumilie,Siwezi na Nisamehe nipangie hizi nyimbo za Baraka kwa mtazamo wako ipi ya kwanza mpaka ya nne alafu tuendelee na mjadala kutokea hapo.

#NB÷wakati unaleta hoja zako uelewe kabisa mimi kwetu ni Kariakoo na ni shabiki mkubwa wa Ali fatilia hata post zangu za nyuma kuhusu hawa jamaa...

Haya tuendelee na mjadala
 
That is neither here nor there.

Facts are facts.

F.ucks tards are f.uck tards.
Kwa kupenda kuzusha msiyoyajua basi. We kwa akili zako unafikiri Diamond angetumia hiyo Melody bila ya kuelewana na Mzee Mutta na Saida? Ptuuuuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…