Uchaguzi 2020 Salma Kikwete, Mama wa Taifa mstaafu kazini

Aiseee
!!

Lazima kuna shida mahali, lazima asee, hii sio hali ya kawaida mweeh!
Hakuna shida Wala nini sema kiki tu.. mama anatafuta yakwake pia ili aiandike historia yake.. anajua kuitumia nafasi yule mzee wa Msoga demokratik sana ndio maana unaona vitu kama hivi..
 
Angekuwa mama bora zaidi na sauti kubwa angekomaa na NGO yake kusupport Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…