salamu za baba mkwe harusini

salamu za baba mkwe harusini

Lucas

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
2,457
Reaction score
1,110
Mwanangu kwanza nimefurahi sana kukuona leo umefunga ndoa!! na kwa hilo namuomba Mungu akupe watoto wenye akili kama Erickb52, warembo kama charminglady, wenye heshima kama Smile, wachangamfu kama Kongosho, wasiwe wambea kama Madame B, wala wasiwe wachokozi kama BAGAH na Nicas Mtei, Muwalee wawe wacha Mungu kama @firtstlady1.

jihadharini na ushauri wa Bishanga na Asprin kwenye ndoa yenu, maana hawa waliishia kuhatarisha ndoa za wengi hapa, na mjifunze kwa Rejao na Cantalisia ili msije kuwa kama Mwali na @st Ivuga. muwe makini na watu wanaokuja kwa msimu tu kama mtotosix, na tena jitahidini kusoma vitabu vya watu kama Mtambuzi na Mzee Mwanakijiji ila muwe na kiasi katika kila jambo kama The Boss

waleeni watoto wenu vizuri ili yasije wakuta yaliyomkuta Arushaone kwa mtoto wake Ruhazwe JR, na mkipata nafasi kaeni na kuongea na Mamndenyi juu ya topiki za mama ushauri, ila muwe makini asije kuwaambukiza kuwa na watoto weeeengi kama yeye!!

wanangu jitahidini sana kutenganisha siasa na ndoa yenu kama ilivyo kwa Rejao na Cantalisia maana laiti wasingejua hilo basi labda couple ya Rejao angekuwa FF ama Cantalisia angekuwa na pakajimy!!

mwisho kabisa napenda kuwaaambia kuwa muilinde ndoa yenuw kama Paw na mwenzake Invisible wanavyohakikisha hakuna uchakachuaji chitchat.... tena na kwa kutambua umuhimu wa hilo nawapa mtani wangu FP na mtoto2012 kwa ajili ya kuwasaidia kwa shughuli zenu za ndani maana tunakaribia kuwafukuza hawa huku kwetu ili warydi kwao sasa amenisihi sana nimtafutie cha kufanya kabla hawajafukuzwa kurudi kwao

na mkihitaji kijana wa kufagia uwanja msihofu snowhite pia yupo tayari kabisa kwa hilo

NB: kaeni mbali sana na wajukuu wa Asprin wasije haribu ndoa yenu

nawatakia kila la heri
 
Last edited by a moderator:
mwisho kabisa napenda kuwaaambia kuwa muilinde ndoa yenuw kama Paw na mwenzake Invisible wanavyohakikisha hakuna uchakachuaji chitchat.... tena na kwa kutambua umuhimu wa hilo nawapa mtani wangu FP na mtoto2012 kwa ajili ya kuwasaidia kwa shughuli zenu za ndani maana tunakaribia kuwafukuza hawa huku kwetu ili warydi kwao sasa amenisihi sana nimtafutie cha kufanya kabla hawajafukuzwa kurudi kwao

na mkihitaji kijana wa kufagia uwanja msihofu snowhite pia yupo tayari kabisa kwa hilo

NB: kaeni mbali sana na wajukuu wa Asprin wasije haribu ndoa yenu

nawatakia kila la heri
mtani mtake radhi mtani wako snowhite kabla hatujatuma njemba la kingoni kuchakachua hiyo ndoa.
halafu nikiwa mfanyakazi wa ndani lazima kaka zangu wawe wananitembelea hapo, ndo utajua kama Bishanga na mkwe wangu Asprin wanaona ndani.
 
Last edited by a moderator:
mtani mtake radhi mtani wako snowhite kabla hatujatuma njemba la kingoni kuchakachua hiyo ndoa.
halafu nikiwa mfanyakazi wa ndani lazima kaka zangu wawe wananitembelea hapo, ndo utajua kama Bishanga na mkwe wangu Asprin wanaona ndani.

kidogo nikugongee like ila nikahisi nikikugongea like utaprint na kuweka sebuleni kabisaaaa!! Bishanga na Asprin hao ni vijana wa kale na ninawafahamu vizuri tuu, isitoshe Bishanga ni maneno mengi tu kama kawaida ya wahaya (japo inasemekana ni mlugulu na jina la bishanga lilikuwa la jirani yao aliyekuwa amewaazima eneo lake walime mchicha) hanitishi huyo... najua anaogopa kamongo akija tu, ntawaambia wanangu wapike Kamongo

halafu hiyo njemba ije kufanya nini hapo? hujui tuna mlinzi getini ni Mwita Maranya ataweza kupita? halafu njemba zenu ndio zinakuja na kaptura nyeupe na tai? si nitamtishia matope tuu!! LOL
 
Last edited by a moderator:
Duuuuh! Kweli kabisa lakini wanatkiwa wamuogope Aspirin kuliko wajukuu zake!
 
kidogo nikugongee like ila nikahisi nikikugongea like utaprint na kuweka sebuleni kabisaaaa!! Bishanga na Asprin hao ni vijana wa kale na ninawafahamu vizuri tuu, isitoshe Bishanga ni maneno mengi tu kama kawaida ya wahaya (japo inasemekana ni mlugulu na jina la bishanga lilikuwa la jirani yao aliyekuwa amewaazima eneo lake walime mchicha) hanitishi huyo... najua anaogopa kamongo akija tu, ntawaambia wanangu wapike Kamongo

halafu hiyo njemba ije kufanya nini hapo? hujui tuna mlinzi getini ni Mwita Maranya ataweza kupita? halafu njemba zenu ndio zinakuja na kaptura nyeupe na tai? si nitamtishia matope tuu!! LOL
unafikiri njemba zetu zinatumia nguvu basi? yaani ni wastaarabu sana, maneno yao tu yanawatoa hao vimwana vyenu mapangoni, lol!
 
unafikiri njemba zetu zinatumia nguvu basi? yaani ni wastaarabu sana, maneno yao tu yanawatoa hao vimwana vyenu mapangoni, lol!
mh!!! labda wangekuwa wahehe ndio ungewaambia hivyo
 
jihadharini na ushauri wa Bishanga na Asprin kwenye ndoa yenu, maana hawa waliishia kuhatarisha ndoa za wengi hapa, na mjifunze kwa Rejao na Cantalisia ili msije kuwa kama Mwali na @st Ivuga. muwe makini na watu wanaokuja kwa msimu tu kama mtotosix, na tena jitahidini kusoma vitabu vya watu kama Mtambuzi na Mzee Mwanakijiji ila muwe na kiasi katika kila jambo kama The Boss

Duh, nitakuwa siandiki MMU sasa, kumbe kuna watu humu ndani hawanipendi eh...
Nitahamia jukwaa la Dini nikahubiri na kukemea mapepo, labda nitapata wafuasi kule...LOL
 
Duh, nitakuwa siandiki MMU sasa, kumbe kuna watu humu ndani hawanipendi eh...
Nitahamia jukwaa la Dini nikahubiri na kukemea mapepo, labda nitapata wafuasi kule...LOL
ah ha aha hapana ni vizuri maana vijana wengi wanajifunza kwako and as you know nowadays tuna hadi kizazi cha Mwishoni mwa utawala wa Mwinyi humu!!
 
Back
Top Bottom