Pombe mwisho wake vilabuni, uongozi wa nchi ni EDWARD NGOYAI LOWASA
Ukakasi unakuja pale uyo anayetuhubiria kutaka kuuondoa uo mfumo then hapo hapo anausifia na kurahishwa na huo mfumo. Shida ndio inaanzia hapo
Ukiwasha ni kelele inamaanisha watu wameridhika na muziki, na ukizima ni utulivu inamaana watu wamekula wamekunywa na wamecheza sasa wanapumzika wameridhika unasemaje we gulio?
Akili kama ya kondoo
Mungu wa mbinguni katika jina kuu la Yesu AKUREHEMU na kukusamehe
sina ushauri mwingine kwako. siasa ni kitu kinachokufanya uongope kwa lazima na kuingia motoni bila kupenda,
hizi hesabu kama zinagoma..
Kwa mujibu wa NEC
*idadi ya wapiga kura
=mil 22.7
*idadi ya vituo vya kupigia kura
=64736
*idadi ya wapiga kura kila kituo =450.
HAPA UKIKOKOTOA JUMLA YA WAPIGA KURA
=64736X450
=mil 29.1
Yeye anaelewa.hajawahi vingirisha mikono yakeAngalia salamu maalum ya Lowassa - Wanasema: Mabadiliko Lowassa.... then Lowassa mabadiliko. Mikono inavyozungushwa inaonesha kwenda mbele kisha kurudi nyuma, hii ina maana gani?
Ebu jaribu kuzungusha kitufe cha sauti cha redio - toka chini hadi mwisho na kurudi tena chini , utakuwa umewasha Redio kisha na kuzima.
Au nenda clockwise then rudi anticlockwise the same degree, hatua ngapi utakuwa umepiga?
Kifupi: Lowassa anajua hawezi kufanya kazi - amechoka mwili na akili, ndio maana hata anachanganya mambo kila uchao.
Hii salamu yake ni kuwaambia wajinga nawazungusha mbele na nyuma, mnarudi pale pale.
Kifupi hii ni kejeli.
Angalia salamu maalum ya Lowassa - Wanasema: Mabadiliko Lowassa.... then Lowassa mabadiliko. Mikono inavyozungushwa inaonesha kwenda mbele kisha kurudi nyuma, hii ina maana gani?
Ebu jaribu kuzungusha kitufe cha sauti cha redio - toka chini hadi mwisho na kurudi tena chini , utakuwa umewasha Redio kisha na kuzima.
Au nenda clockwise then rudi anticlockwise the same degree, hatua ngapi utakuwa umepiga?
Kifupi: Lowassa anajua hawezi kufanya kazi - amechoka mwili na akili, ndio maana hata anachanganya mambo kila uchao.
Hii salamu yake ni kuwaambia wajinga nawazungusha mbele na nyuma, mnarudi pale pale.
Kifupi hii ni kejeli.
Wamekutuma au na hyo ni sera ktk chama chenu
Yeye anaelewa.hajawahi vingirisha mikono yake
Pilipili ya Shamba yakuwashia nini??...fata mambo yako.....!!
Angalia salamu maalum ya Lowassa - Wanasema: Mabadiliko Lowassa.... then Lowassa mabadiliko. Mikono inavyozungushwa inaonesha kwenda mbele kisha kurudi nyuma, hii ina maana gani?
Ebu jaribu kuzungusha kitufe cha sauti cha redio - toka chini hadi mwisho na kurudi tena chini , utakuwa umewasha Redio kisha na kuzima.
Au nenda clockwise then rudi anticlockwise the same degree, hatua ngapi utakuwa umepiga?
Kifupi: Lowassa anajua hawezi kufanya kazi - amechoka mwili na akili, ndio maana hata anachanganya mambo kila uchao.
Hii salamu yake ni kuwaambia wajinga nawazungusha mbele na nyuma, mnarudi pale pale.
Kifupi hii ni kejeli.
Kwani wewe wazee wako wakisema TWENDE MBELE TURUDI NYUMA huwa unaelewa nini?