Salamu ya Lowassa kwa wananchi ni kejeli?

Salamu ya Lowassa kwa wananchi ni kejeli?

Angalia salamu maalum ya Lowassa - Wanasema: Mabadiliko Lowasa.... then Lowassa mabadiliko. Mikono inavyozungushwa inaonesha kwenda mbele kisha kurudi nyuma, hii ina maana gani?

Ebu jaribu kuzungusha kitufe cha sauti cha redio - toka chini hadi mwisho na kurudi tena chini , utakuwa umewasha Redio kisha na kuzima.
Au nenda clockwise then rudi anticlockwise the same degree, hatua ngapi utakuwa umepiga?

Kifupi: Lowassa anajua hawezi kufanya kazi - amechoka mwili na akili, ndio maana hata anachanganya mambo kila uchao.

Hii salamu yake ni kuwaambia wajinga nawazungusha mbele na nyuma, mnarudi pale pale.

Kifupi hii ni kejeli.

Na wewe jiulize hili. Magufuli anajinadi kuwa akichaguliwa ataenda ifumua sisiemu na anaxidi kusema mabadiriko ya kweli yanatoka kwake lakini akimaliza tu kuongea inapigwa nyimbo ina baadhi ya maneno haya; "ccm ni ile ile ooh ni ile ile" na mafuli anaucheza huo wimbo na kufurahi kabisa. Sasa jiulize kama wanajinadi ccm ni ile ile tena wanaongeza wao ni mbele kwa mbele, uyo Mr Pombe anaenda ibadiri ccm ipi au ataunda chama chake kipya nje ya ccm? Ni mabadiriko gani ayo anayoyazungumzia Pombe wakati wanasema ccm ni ileile maana yake ayo mabariko wayaongeayo ni hewa tu na danganya toto
 
Lubuva anataka aozee icc mwaka huu

Hiv mpaka hesabu zinawashinda..? Nini maana ya wapiga kura wasizid 450 kwa kila kituo..? Je sehemu yenye wapiga Kura 80 wasipewe kituo..?
 
Acha Umbea
Inamaanisha ya nyuma peleka mbele
Na ya mbele peleka nyuma
 
Hiyo salam ya mabadiliko kaitunga kamanda wa anga mbowe na magufuri kaiga mabidiriko iko chadema kabla ya lowasa ndio ile M4C kama haujui movement for change, yani vuguvugu la mabadiriko ili la lowasa tumeliingiza tatizo watu wa lumbumba mmechanganyikiwa hata uwezo wenu wa kufikiri umeshuka sana
 
Na wewe jiulize hili. Magufuli anajinadi kuwa akichaguliwa ataenda ifumua sisiemu na anaxidi kusema mabadiriko ya kweli yanatoka kwake lakini akimaliza tu kuongea inapigwa nyimbo ina baadhi ya maneno haya; "ccm ni ile ile ooh ni ile ile" na mafuli anaucheza huo wimbo na kufurahi kabisa. Sasa jiulize kama wanajinadi ccm ni ile ile tena wanaongeza wao ni mbele kwa mbele, uyo Mr Pombe anaenda ibadiri ccm ipi au ataunda chama chake kipya nje ya ccm? Ni mabadiriko gani ayo anayoyazungumzia Pombe wakati wanasema ccm ni ileile maana yake ayo mabariko wayaongeayo ni hewa tu na danganya toto
wewe kidogo unajadili hoja .... kumbuka mfumo unawekwa na watu na kuondolewqa/kubadilishwa na watu.
 
wewe kidogo unajadili hoja .... kumbuka mfumo unawekwa na watu na kuondolewqa/kubadilishwa na watu.

Pombe mwisho wake vilabuni, uongozi wa nchi ni EDWARD NGOYAI LOWASA
 

Attachments

  • 1444718894069.jpg
    1444718894069.jpg
    47.9 KB · Views: 219
Hiyo salam ya mabadiliko kaitunga kamanda wa anga mbowe na magufuri kaiga mabidiriko iko chadema kabla ya lowasa ndio ile M4C kama haujui movement for change, yani vuguvugu la mabadiriko ili la lowasa tumeliingiza tatizo watu wa lumbumba mmechanganyikiwa hata uwezo wenu wa kufikiri umeshuka sana

Lumumba ni sawa na kichwa cha mwendawazimu
 
hizi hesabu kama zinagoma..
Kwa mujibu wa NEC
*idadi ya wapiga kura
=mil 22.7
*idadi ya vituo vya kupigia kura
=64736
*idadi ya wapiga kura kila kituo =450.
HAPA UKIKOKOTOA JUMLA YA WAPIGA KURA
=64736X450
=mil 29.1

kwahiyo hata kama kijiji kina watu150, kituo cha kupigia kura kitaendelea kuwa na watu 450, mwanzilishi wa suala hili upeo wake wa kufikiri ni DUNI kama lilivyo jina lake. Na wewe umeshikiwa akili na mtu DUNI kama ulivyo na akili DUNI. Jamani hii ni hesabu ya chekechea ndo maana hata NEC hawajajibu kitu. CCM OYEEE. HAPA KAZI TU.
 
ushabiki wako umekufanya ujikite ktk mfano mmoja wenye kuibeba dhamira yako ya kuandika!hebu tolea ktk mfano huu,umevaa nguo chafu unataka kubadilisha na kuvaa mpya safi utafanyaje???utafanya tendo hilo kwa muelekeo mmoja kama utakavyo wewe????tafakari
 
kwahiyo hata kama kijiji kina watu150, kituo cha kupigia kura kitaendelea kuwa na watu 450, mwanzilishi wa suala hili upeo wake wa kufikiri ni DUNI kama lilivyo jina lake. Na wewe umeshikiwa akili na mtu DUNI kama ulivyo na akili DUNI. Jamani hii ni hesabu ya chekechea ndo maana hata NEC hawajajibu kitu. CCM OYEEE. HAPA KAZI TU.

kuna kitu kinaitwa wapiga kura hewa..
na kuna kitu kinaitwa toa jumlisha..
unapunguza wapiga kura halali unapachika hewa idadi sawa.. unapata idadi ileile ya milioni 22.7.
hatunaga matusi sisi,tunaongozwa na mtu mwenye hekima za nabii suleiman !
Duni huyohuyo ndio kasababisha tume kupunguza idadi ya vituo hewa kutoka 72,00 hadi 64736.
 
Hiv mpaka hesabu zinawashinda..? Nini maana ya wapiga kura wasizid 450 kwa kila kituo..? Je sehemu yenye wapiga Kura 80 wasipewe kituo..?
Tukuulize wewe sehem yenye kituo kinawapiga kura 800 je? wengine hawatapiga kura? hapa pana kitu hapa sio bure
 
wewe kidogo unajadili hoja .... kumbuka mfumo unawekwa na watu na kuondolewqa/kubadilishwa na watu.

Ukakasi unakuja pale uyo anayetuhubiria kutaka kuuondoa uo mfumo then hapo hapo anausifia na kurahishwa na huo mfumo. Shida ndio inaanzia hapo
 
Back
Top Bottom