Hehehehheheheeeee Mr Rocky unadhani Amyner ni cheap kama wakezo Yummy na yule mpya(Jina kapuni)Erickb52 umekuja kufuata nini bana
Nilikuwa nishashangilia naanza kumvizia Amyner kumbe unajitokeza bana
Afadhsali lakini umeenda kuwasalimia wale watoto wako kule meatu maana walikuwa wanapata shida sana Mtambuzi mbona umetoa piccha ya mke wangu Dena Amsi bana na mimi nilikuambia ni siri usiitoe
halafu Erickb52 nilimuona Asprin mitaa ya hapa sijui alikuwa anakuja kumkagua nani aise
na Bishanga nasikia anamuwania sana Amyner na alivyo na manoti chezea tajiri wa kihaya wewe utaangushwa soon
ruttashobolwa niliambuwa nawewe umeingia kindi la wakaguzi sasa je ushakagua wangapi? Asprin anataka kukutema kundiniNiko hapa kwa mrefu we upo wapi B52?
ruttashobolwa niliambuwa nawewe umeingia kindi la wakaguzi sasa je ushakagua wangapi? Asprin anataka kukutema kundini
Heheheeeeeee maneno ya mkosaji hayoKwa taarifa Erickb52 yule tumeanza nae toka kila mmoja ajiunge jf Dena Amsi hana mpinzani na ndo maana Yummy yeye atabakia nyumba ndogo tuu hata akienuda kwa Asprin au KARIA au Kaizer au Mentor au Bishanga au Nicas Mtei au sijui nani mwingine haiumi wala nini ila Dena Amsi yule ni no nyingine aise hana mpinzani kumoyo
Kaka nilikuja hadi mitaa hiyo ila hali ikawa mbaya nkaja kupumzika hm ntakucheki badae unipe updates za huko
Mwambie na sweetlady nangoja muhtasali wa yalojiri kama alienda NMC