TOPTHINKER
Member
- Jun 9, 2023
- 7
- 9
Jamani wanajamvi mi ni mgeni ninaomba tushirikiane sote katika mijadala, mahojiano, maswali na matukio ya kila siku ya kitaifa na kidunia.
Salamu kwenu nyote.
Salamu kwenu nyote.
New comerWe ni new comer au umebadili kivazi tu?
Kuwa mkarimu kwa mgeni basi japo kidogoWe ni new comer au umebadili kivazi tu?
Mgeni atajua wote humu ndani wakorofi.Kuwa mkarimu kwa mgeni basi japo kidogo
Eti, wakati sio hivyoMgeni atajua wote humu ndani wakorofi.
Mwambie kwanza aje huku kauntaKuwa mkarimu kwa mgeni basi japo kidogo
Usiku huu, mgeni hata hajapumzika.Mwambie kwanza aje huku kaunta
Hebu muache mgeni 😂😂😂We ni new comer au umebadili kivazi tu?
Mgeni si mlevi kama wewe. Acha aende nyumbani kupumzika.Mwambie kwanza aje huku kaunta
Kuna fanta orange pia 😜Mgeni si mlevi kama wewe. Acha aende nyumbani kupumzika.
😂😂 ni kwa taadhari tu my wanguHebu muache mgeni 😂😂😂
Na huyu rais tulie naye tumeishaMgeni karibu sana ,tahadhari tumeuzwa Kwa mwarabu
Bar maids hawaruhusu wanywa soda wakae kaunta.Kuna fanta orange pia 😜
Kwanini lakini experience ni kubwa hiviiBar maids hawaruhusu wanywa soda wakae kaunta.
Seat zao ni kule chini, tena pembeni karibia na mlango wa kutokea 🤣🤣🤣.
Anataka kumfundisha ulevi mgeniMgeni si mlevi kama wewe. Acha aende nyumbani kupumzika.