Salamu kutoka kwa Henry Kilewo

Salamu kutoka kwa Henry Kilewo

Neema William

Senior Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
171
Reaction score
76
Tupo mahakama kuu kanda ya Tabora hivi sasa , watuhumiwa wote watano wapo hapa mahakamani , na muda huu hapa nilipo nipo nazungumza na Henry Kilewo kwani jaji bado hajafika ndani ya mahakama.

kilewo kanituma niwape salamu hizi kuwa anawapenda sana na wala msikate tamaa ipo siku atakuwa nanyi uraiani, yupo salama kabisa na afya njema makamanda wote msikate tamaa, nipo naye hapa ila sema haruhusiwi kuandika salamu hizi , amenituma nifanye hivi kwa niaba yake.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania, Mungu ibariki CHADEMA
 
rudia rudia kusoma utaelewa,sisi tulioenda shule enzi za Nyerere tushaelewa.
hiki kisomo chako cha mlugo hadi upewe maelezo kibao ndio uelewe?

Asante kwa ufafanuzi. Nyerere ndio nani?
 
Tupo mahakama kuu kanda ya Tabora hivi sasa , watuhumiwa wote watano wapo hapa mahakamani , na muda huu hapa nilipo nipo nazungumza na Henry Kilewo kwani jaji bado hajafika ndani ya mahakama.

kilewo kanituma niwape salamu hizi kuwa anawapenda sana na wala msikate tamaa ipo siku atakuwa nanyi uraiani, yupo salama kabisa na afya njema makamanda wote msikate tamaa, nipo naye hapa ila sema haruhusiwi kuandika salamu hizi , amenituma nifanye hivi kwa niaba yake.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania, Mungu ibariki CHADEMA
Unaposimama kwa ajili ya mapambano ya kutafuta haki za wengi daima mungu huwa mlinzi wako. Namuomba mungu ili Kilewo na wenzako muishi hadi siku ya ushindi.
 
CCM wanajua kete pekee iliyobakia ambayo wanaweza kuitumia kufuta chadema au chama kingine kinachowapa tabu(kama kipo) ni ishu ya ugaidi, ndio maana wanajitahidi kui pin chadema kwenye ugaidi, lakini in reality CCM ndio magaidi halisi (refer vifo vya utata vya Kolimba, Kombe na hata Sokoine!) Ni imani yangu majaji hawatatumika kisiasa bali wataongozwa na weledi ili kutafsiri haswa ni kosa lipi la kigaidi ni lipi sii la kigaidi na ni kesi ipi genuine na ipi ya kubambikiza!
 
Kamanda tupo pamoja, iko siku tutashinda tu na Gantanamo hazitakuwa tena Tanzania!!! Mungu akisema Yes, wasemao No watashindwa tu. Tunamwombea kamanda afya njema sana.
 
Nalaani sana matendo ya kumwagia watu tindikali
 
Unatuletea ujinga wa mhalifu hapa bana. Apigwe mvua za kutosha muuaji huyo
 
mpe big hi kamanda wetu, haki huwa inacheleweshwa tu!!
 
Tupo mahakama kuu kanda ya Tabora hivi sasa , watuhumiwa wote watano wapo hapa mahakamani , na muda huu hapa nilipo nipo nazungumza na Henry Kilewo kwani jaji bado hajafika ndani ya mahakama.

kilewo kanituma niwape salamu hizi kuwa anawapenda sana na wala msikate tamaa ipo siku atakuwa nanyi uraiani, yupo salama kabisa na afya njema makamanda wote msikate tamaa, nipo naye hapa ila sema haruhusiwi kuandika salamu hizi , amenituma nifanye hivi kwa niaba yake.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania, Mungu ibariki CHADEMA

Pamoja sana kamanda, mwambie tunampenda sana na tunamkumbuka sana
 
Kamanda tupo pamoja, iko siku tutashinda tu na Gantanamo hazitakuwa tena Tanzania!!! Mungu akisema Yes, wasemao No watashindwa tu. Tunamwombea kamanda afya njema sana.

acha ujinga ww, unamwombea muuaji wa nn? Afie mbele huko hata huyo waliyemjeruhi naye anahitaji huruma. Tumuombee huyo tu
 
Henry kilewo na wenzake ni maharamia,wauwaji na magaidi
 
acha ujinga ww, unamwombea muuaji wa nn? Afie mbele huko hata huyo waliyemjeruhi naye anahitaji huruma. Tumuombee huyo tu

Kama post haikuhusu iache. Ujinga ni wewe mwenyewe. Hapa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake na si lazima uyakubali wewe. Alimuua nani? Mnapandikiza chuki na hamtaafika mbali. Kila ovu lenu litakuwa wazi upenuni! Na watanzania wa leo si wale wa jana na juzi. Take it easy, and never comment my posts. Never. Pita post zangu mbali kama yale mabomu yao!!! Ha ha ha!!
 
Back
Top Bottom