Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,222
- 18,381
Nyerere alikuwa ni mwana apolo flani hivi kule mererani enzi hizo kabla zimbabwe na pemba hazijaungana na kuwa tanganyika,nadhani umeelewa.Asante kwa ufafanuzi. Nyerere ndio nani?
Nyerere alikuwa ni mwana apolo flani hivi kule mererani enzi hizo kabla zimbabwe na pemba hazijaungana na kuwa tanganyika,nadhani umeelewa.Asante kwa ufafanuzi. Nyerere ndio nani?
Hahaha hahaha hahaha mkuu ukiona mtu ni mzito kuelewa juwa huyo ni gamba...magamba ni mazito mno kuelewa..aijui kafuata nini kwa thread ya makamandarudia rudia kusoma utaelewa,sisi tulioenda shule enzi za Nyerere tushaelewa.
hiki kisomo chako cha mlugo hadi upewe maelezo kibao ndio uelewe?
mpe big hi kamanda wetu, haki huwa inacheleweshwa tu!!
ndo lile gaidi nambari moja tanzania!
Henry kilewo na wenzake ni maharamia,wauwaji na magaidi wa kutengenezwa na watu wale wale wa chama kile kile ili kudhoofisha chama kinachotaka kuivua sirikale andawea.
acha ujinga ww, unamwombea muuaji wa nn? Afie mbele huko hata huyo waliyemjeruhi naye anahitaji huruma. Tumuombee huyo tu
Henry kilewo na wenzake ni maharamia,wauwaji na magaidi
ndo lile gaidi nambari moja tanzania!
muuaji huyo alaaniwe kabisa na awaseme wenzake na mabwana zake wanamfadhili na kumtuma kuuwa watu kwa njia ya tindikali
Unatuletea ujinga wa mhalifu hapa bana. Apigwe mvua za kutosha muuaji huyo
ndio leneywe ona magaidi yenzake yanavyolishangilia liuwaji
ndio leneywe ona magaidi yenzake yanavyolishangilia liuwaji
Tupo mahakama kuu kanda ya Tabora hivi sasa , watuhumiwa wote watano wapo hapa mahakamani , na muda huu hapa nilipo nipo nazungumza na Henry Kilewo kwani jaji bado hajafika ndani ya mahakama.
kilewo kanituma niwape salamu hizi kuwa anawapenda sana na wala msikate tamaa ipo siku atakuwa nanyi uraiani, yupo salama kabisa na afya njema makamanda wote msikate tamaa, nipo naye hapa ila sema haruhusiwi kuandika salamu hizi , amenituma nifanye hivi kwa niaba yake.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki watanzania, Mungu ibariki CHADEMA
Henry kilewo na wenzake ni maharamia,wauwaji na magaidi
Khaa!!! :help:Kama post haikuhusu iache. Ujinga ni wewe mwenyewe. Hapa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake na si lazima uyakubali wewe. Alimuua nani? Mnapandikiza chuki na hamtaafika mbali. Kila ovu lenu litakuwa wazi upenuni! Na watanzania wa leo si wale wa jana na juzi. Take it easy, and never comment my posts. Never. Pita post zangu mbali kama yale mabomu yao!!! Ha ha ha!!