Salamu kutoka kwa Henry Kilewo

Salamu kutoka kwa Henry Kilewo

Henry kilewo na wenzake ni maharamia,wauwaji na magaidi

Kwa kuwa hakuna kulipa VAT ndo maana watu hawawazi waandike nini. Wanazilazimisha hata akili na nafsi zao kukubali vitu ambavyo wanajua havipo.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Nyerere alikuwa ni mwana apolo flani hivi kule mererani enzi hizo kabla zimbabwe na pemba hazijaungana na kuwa tanganyika,nadhani umeelewa.
Hahaha hahaha hahaha hahaha kamanda wewe ni noumar!
 
Kwa kuwa hakuna kulipa VAT ndo maana watu hawawazi waandike nini. Wanazilazimisha hata akili na nafsi zao kukubali vitu ambavyo wanajua havipo.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Mkuu kinauche , watu kama hao wanaitwa wa.pu.mbavu...pia umempa jibu zuri sana.big up kamanda.
 
upo ifweero,maana walimtenda ulimboka,kombe,kibanda,mwangosi na wengineo.upo kabisa,maana yeyote atumiaye ma.vi na mata'ko atasema kama wewe!!
Wewe ni kilaza huna mfano.
 
Liwalo na liwe.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Kauli mbovu na chafu zenye dharau za huyu kilaza mizengo ponda...baba amejipotezea heshima huyu..ni majanga...majanga.
 
Liwalo na liwe.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Kauli mbovu na chafu zenye dharau za huyu kilaza mizengo pinda...baba amejipotezea heshima huyu......ni majanga...majanga.!!!!!
 
Back
Top Bottom