Salama Condom Mbona hazipo Madukani?

Salama Condom Mbona hazipo Madukani?

Salama condoms pamoja na Dume condoms zilikuwa ni zao la US AID , Baada ya siasa chafu za kuuwa na kuteka , kukamata hovyo na msimamo wa Rais wa Tanzania kuhusu uzazi wa mpango ( fyatueni tu ) , USA ikaamua kujiondoa kusaidia jambo hilo nchini Tanzania , kuna mkakati wa kujiondoa pia kwenye ARVS

Maneno ni mengi bali kwa sasa niishie hapa , kama ukiona kuna haja ya kufunguka zaidi utanistua maana yako mengi kuliko haya , kwangu ni mwiko kukalia habari
Kaka funguka inaonekana una mengi moyoni
 
Yaani unahonga tu 5k then unapewa mzigo??

Au unamaanisha wauzaji??
Jana nimeenda dukan... cheapest condom ilikuwa 2500/- ukweli ndom zimeshoot.... bei juu. Unahonga kaki... unatumia 50% ya hela hyo kununua condom. Not economical kwa kweli.
 
Tena mwezi wa sita plastic zote itakua mwisho wa matumizi sijui tutatumia kinga ipi... Maana wamesema watapita nyumba hadi nyumba guest hadi guest kitanda kwa kitanda
Condom siyo plastic material kama unavyodhania.
Condom ni mpira ambao ni rafiki wa mazingira,una decay.
 
Mzee zipo ila hiyo bei ni balaa. Kuna maeneo zinauzwa buku jero mzee.

Ila kuna brand nyingine kali tu kama Boxer at reasonable price -1000/=
Shida ya boxer ni fupi nafikiri kwa sababu ni made in korea labda walichukua average ya size za wa Asia
 
Na mimi yamenikuta. Condoms karibia aina zote ni adimu siku hizi. Wale wenye uhitaji anzeni kuzitafuta mapema
 
Wakuu naulizia hizi condom pendwa ambazo zipo very effective na bei yake wanyonge wengi wanaimudu. Nimezitafuta sasa niko phamarcy ya tano naona hola. Je mzalishaji/msambazaji amebadili biashara, wale wenzangu na mm mmemrejea mola wenu au ni nn kinapelekea ikaadimika sana madukani?

View attachment 1100816
Kwa sababu ukimwi umeisha siku hizi, mnatakiwa muongeze bidii kuzaana, nchi ijae
 
Wanazuia watoto wasizaliwe
Huna haki ya kuzaa kwa sababu nchi yako haina uwezo wa kutengeneza madawa ya matibabu ya kwako na watoto, pia nchi yako haina uwezo wa kulisha watu wake hadi itegemee misaada! Right?
 
Huna haki ya kuzaa kwa sababu nchi yako haina uwezo wa kutengeneza madawa ya matibabu ya kwako na watoto, pia nchi yako haina uwezo wa kulisha watu wake hadi itegemee misaada! Right?
Watuache tuzaliane hata kama tutakufa sawa tuu.. mbona ajali nazo zinaua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom