Salama Condom Mbona hazipo Madukani?

Salama Condom Mbona hazipo Madukani?

Jana nimeenda dukan... cheapest condom ilikuwa 2500/- ukweli ndom zimeshoot.... bei juu. Unahonga kaki... unatumia 50% ya hela hyo kununua condom. Not economical kwa kweli.
 
Pole sana, ndomu zimekua anasa sasa.

Rudi MSD kwa hisani ya watu wa USA kumenoga
Jana nimeenda dukan... cheapest condom ilikuwa 2500/- ukweli ndom zimeshoot.... bei juu. Unahonga kaki... unatumia 50% ya hela hyo kununua condom. Not economical kwa kweli.
 
Hiv kuna watu bado mnatumiaga hayo makitu?dah mimi nikivaa tu na dushe linalala ,halitaki kabisa kusikia hizo polymer
Mechi zote unapiga kavu??..Usalama ukoje??
 
Sikuhizi mbona bure tu hizo kwenye vituo vya afya ndo mana zinakosa soko
 
Kumbukumbu zangu zinasema Salama zilikua na uhusiano na PSI ambayo pia ina uhusiano na IPP. Sasa nashindwa kuelewa nini kilikuja kutokea hapo kati
 
Wakuu naulizia hizi condom pendwa ambazo zipo very effective na bei yake wanyonge wengi wanaimudu. Nimezitafuta sasa niko phamarcy ya tano naona hola. Je mzalishaji/msambazaji amebadili biashara, wale wenzangu na mm mmemrejea mola wenu au ni nn kinapelekea ikaadimika sana madukani?

View attachment 1100816
Wenzako tumezimaliza we si ulikua unakula bucha
 
Kuna addition mpya zinaitwa 'zana', tamu sana, zina mapele kwa nje. Hizo salama zilipendwa zimepitwa na wakati.
 
Rafu raida 😝😝😝 hizi hazipasuki yanayopasuka ni yale ya seikali ya MSD yameandikwa Not for sale ya kishenzi sana

Mzee zinapasuka hizo, miaka ya nyuma sana huko 2011.. Nilikuwa natafuna mfupa, ghafla ikapasuka ila nikaendelezeaa humo kwa mumo tena mala mbili zimeishawahi kupasuka pwaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom