Salama Condom Mbona hazipo Madukani?

Salama Condom Mbona hazipo Madukani?

Wakuu naulizia hizi condom pendwa ambazo zipo very effective na bei yake wanyonge wengi wanaimudu. Nimezitafuta sasa niko phamarcy ya tano naona hola. Je mzalishaji/msambazaji amebadili biashara, wale wenzangu na mm mmemrejea mola wenu au ni nn kinapelekea ikaadimika sana madukani?

View attachment 1100816
Salama condoms pamoja na Dume condoms zilikuwa ni zao la US AID , Baada ya siasa chafu za kuuwa na kuteka , kukamata hovyo na msimamo wa Rais wa Tanzania kuhusu uzazi wa mpango ( fyatueni tu ) , USA ikaamua kujiondoa kusaidia jambo hilo nchini Tanzania , kuna mkakati wa kujiondoa pia kwenye ARVS

Maneno ni mengi bali kwa sasa niishie hapa , kama ukiona kuna haja ya kufunguka zaidi utanistua maana yako mengi kuliko haya , kwangu ni mwiko kukalia habari
 
Mi napiga mechi uwanja wa nyumbani ni mwendo wa kuteleza tuuu
 
Nilikuwa vijijini huko ni mwendo wa peku tuu, wagonjwa wengi zahanati ni wa gono. Matokeo ya maambukizi yataonekana kuanzia mwakani
 
S

W - weeknesses

O

T - threats

Weeknesses imetokana na lilivyo Gumu kiasi kwamba limekuwa likilalamikiwa sana kuwa Lina wakera kina mama kuwa linakauka haraka hivyo ili linoge lazima lipakwe mate au KY! Pia yamekuwa yakipasuka hovyo hovyo

2! Threats: EXTERNAL COMPETITORS wateja wamekimbilia kwa Roughriders, Sensations, Hot nk ambazo zina mafuta mwanzo mpaka mwisho wa game huitaji kuongeza mate, pia zinaongeza Sensation kwa mwanamke!
 
Ipi best kati ya raphrider, salama condm n.k mkuu?

Salama is the best, ziko standard halafu ni cheap... hizo zngine ni vile tu bei yake kubwa kwakua zinakuwa imported from abroad but hazina lolote
 
Tena mwezi wa sita plastic zote itakua mwisho wa matumizi sijui tutatumia kinga ipi... Maana wamesema watapita nyumba hadi nyumba guest hadi guest kitanda kwa kitanda
 
Fiesta na rafu raida zipo bwana ndizo tunazotumia sikuhizi
 
Rafu raida hizi hazipasuki yanayopasuka ni yale ya seikali ya MSD yameandikwa Not for sale ya kishenzi sana
Yale ya serikali hata kwa bunduki situmii madude ya hovyohovyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom