Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Baada ya salamu nina ujumbe kwenu: Stand down. Makuwadi na vikaragosi vyenu viambieni virudi nyuma. Miti mingine haikwewi na milima mingine inatosha kuiangalia kwa mbali tu. Mlifanyalo lifanyeni haraka kwani kiza kimeingia.
NB: Salam kwa RO... if you act now you (kwa kumhamisha kuwadi wao) you might change my mind (probably others too) but if you don't nitaamini umesanction the stealth move.
Otherwise; 2010 ni mwisho wao. So like that stupid commercial here in the US "do you want it to hurt now or later".. ?
Vitoto vya Nzi navyo havilali!
Mkulu behu niweke wazi kweli hilo maana kuhusu APSON kila mtu anajua alivyo haribu kwa kuweka TISS kuwa kama chaka la ma incopetents lakini hili la R.O sijakuelewa hebu niweke wazi mkulu