Salaam,kwa viongozi wa CHADEMA

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Duniani tunapita,usitumie fursa ya kuishi uliyopewa na mungu kuwaumiza wengine.Hebu jiulize itakuwaje wakikutana huko mbinguni komredi chacha wangwe na regia mtema wakikumbushana habari za chadema ya wangwe na mbowe ambayo regia alishiriki kikamilifu katika vita dhidi ya wangwe?
 
Duniani tunapita,usitumie fursa ya kuishi uliyopewa na mungu kuwaumiza wengine.Hebu jiulize itakuwaje wakikutana huko mbinguni komredi chacha wangwe na regia mtema wakikumbushana habari za chadema ya wangwe na mbowe ambayo regia alishiriki kikamilifu katika vita dhidi ya wangwe?

Tuntemeke tafuta kazi nyingine ya kyfanya hata kuuza nyanya.Nakuapia vita na CDM huiwezi asilani.Wameshindwa wenye dola sembuse wewe kifaranga?
 
Tuntemeke tafuta kazi nyingine ya kyfanya hata kuuza nyanya.Nakuapia vita na CDM huiwezi asilani.Wameshindwa wenye dola sembuse wewe kifaranga?

molemo-malipo ni hapa hapa duniani si unakumbuka ulichokuwa unamfanyia kafulila pale makao makuu chadema kipindi kafulila alipokuwa wanachadema na zalau uliokuwa unaionyesha lakini vp leo?yeye na mbunge wewe bado unatanga tanga tumekuolea mpaka mke sasa inabidi tukujengee na nyumba!malipo na duniani hapahapa molemo.
 
Duniani tunapita,usitumie fursa ya kuishi uliyopewa na mungu kuwaumiza wengine.Hebu jiulize itakuwaje wakikutana huko mbinguni komredi chacha wangwe na regia mtema wakikumbushana habari za chadema ya wangwe na mbowe ambayo regia alishiriki kikamilifu katika vita dhidi ya wangwe?

Una uhakika gani kama kuna maisha baada ya kifo?
 
usihiukumu, usije nawe ukahukumiwa, mwenye jukumu la kuhukumu ni mungu peke yake, na hao waliotangua hebu waache wapumzike kwa aman, yanayojir huko, kama yapo watayajua wenyewe, ya kaisar mwachie kaisari
Duniani tunapita,usitumie fursa ya kuishi uliyopewa na mungu kuwaumiza wengine.Hebu jiulize itakuwaje wakikutana huko mbinguni komredi chacha wangwe na regia mtema wakikumbushana habari za chadema ya wangwe na mbowe ambayo regia alishiriki kikamilifu katika vita dhidi ya wangwe?
 
Duniani tunapita,usitumie fursa ya kuishi uliyopewa na mungu kuwaumiza wengine.Hebu jiulize itakuwaje wakikutana huko mbinguni komredi chacha wangwe na regia mtema wakikumbushana habari za chadema ya wangwe na mbowe ambayo regia alishiriki kikamilifu katika vita dhidi ya wangwe?

Join Date : 16th June 2012
Posts : 35
Rep Power : 309
Likes Received1
Likes Given0
Usiwe unakuja kujaza tu Threads tu huku JF...mana watu tunafikiri umeandika kitu cha msingi kumbe upuuzi tu,..na unatupotezea muda..
 
Duniani tunapita,usitumie fursa ya kuishi uliyopewa na mungu kuwaumiza wengine.Hebu jiulize itakuwaje wakikutana huko mbinguni komredi chacha wangwe na regia mtema wakikumbushana habari za chadema ya wangwe na mbowe ambayo regia alishiriki kikamilifu katika vita dhidi ya wangwe?
hapo patamu hebu fikir
1.nyerere vs sokoine
2.aninachifupa vs nchimbu
3.mkapa vs nyerere
patakuwa hapatoshi,
 
Join Date : 16th June 2012
Posts : 35
Rep Power : 309
Likes Received1
Likes Given0
Usiwe unakuja kujaza tu Threads tu huku JF...mana watu tunafikiri umeandika kitu cha msingi kumbe upuuzi tu,..na unatupotezea muda..

unataka nisifie unafiki wa viongozi wa chadema ndio uone nimeandika vitu vya msingi?acha ushabiki wa kijinga wewe na upuuzi wako wa kusifia kila kitu huko wenzako wakikuchora kama **** flani!mi nilisha jitambua toka zamani na naijua chadema toka hotel waliokuwa wanatumia kufanyia vikao vya uanzishaji wa chadema so acha ushabiki wa kipuuzi?
 
unataka nisifie unafiki wa viongozi wa chadema ndio uone nimeandika vitu vya msingi?acha ushabiki wa kijinga wewe na upuuzi wako wa kusifia kila kitu huko wenzako wakikuchora kama **** flani!mi nilisha jitambua toka zamani na naijua chadema toka hotel waliokuwa wanatumia kufanyia vikao vya uanzishaji wa chadema so acha ushabiki wa kipuuzi?
Nadhani umechelewa sana hii melody ya nyimbo unazozileta humu haziuziki tena,fanya utafiti kidogo nchi nzima,sisi tunaozunguka vijijini tunajua,kazi kubwa kubomoa magnitude ya chadema kweli,kweli ,sympathisers wa chadema ni wengi mno nchi hii na hawana affliation yeyote ya chama kama vile kuwa wanachama au viongozi katika chama hicho,ila wamejijengea imani na chama hicho na unajua maana ya mtu akijijengea imani yake ni kwa kiasi gani na nguvu za kiwango kipi unaweza tumia kuivunja ,nadhani unajisumbua bure
 
molemo-malipo ni hapa hapa duniani si unakumbuka ulichokuwa unamfanyia kafulila pale makao makuu chadema kipindi kafulila alipokuwa wanachadema na zalau uliokuwa unaionyesha lakini vp leo?yeye na mbunge wewe bado unatanga tanga tumekuolea mpaka mke sasa inabidi tukujengee na nyumba!malipo na duniani hapahapa molemo.

Tuntemeke hivi wewe una kitega uchumi walau chochote? Kazi kwako
 
unataka nisifie unafiki wa viongozi wa chadema ndio uone nimeandika vitu vya msingi?acha ushabiki wa kijinga wewe na upuuzi wako wa kusifia kila kitu huko wenzako wakikuchora kama **** flani!mi nilisha jitambua toka zamani na naijua chadema toka hotel waliokuwa wanatumia kufanyia vikao vya uanzishaji wa chadema so acha ushabiki wa kipuuzi?
Ndo maana huwa hukawii kulimwa ban! Sasa nakwambiaje? We kasirika, toa mapovu hata uh*r* CDM mwendo mdundo tu!
 
Duniani tunapita,usitumie fursa ya kuishi uliyopewa na mungu kuwaumiza wengine.Hebu jiulize itakuwaje wakikutana huko mbinguni komredi chacha wangwe na regia mtema wakikumbushana habari za chadema ya wangwe na mbowe ambayo regia alishiriki kikamilifu katika vita dhidi ya wangwe?



Uzi wa kipuuzi kabisa.
 
Nimeamini malipo ni hapa duniani, Regia kumbe naye alihusika kwenye kumuadabisha kamanda Wangwe na Mungu naye kamuadabisha kwa mtindo ule ule.
 
unataka nisifie unafiki wa viongozi wa chadema ndio uone nimeandika vitu vya msingi?acha ushabiki wa kijinga wewe na upuuzi wako wa kusifia kila kitu huko wenzako wakikuchora kama **** flani!mi nilisha jitambua toka zamani na naijua chadema toka hotel waliokuwa wanatumia kufanyia vikao vya uanzishaji wa chadema so acha ushabiki wa kipuuzi?

M4C forever na wanafiki kama ww TUNTEMENKE mtaishia hvyo hvyo.
 
takataka kama hizi ziwe zinatupwa jalalani..jf inanuka siku hizi sababu ya takataka kama hizi zisizo na ushahidi kuachwa.
 
Duniani tunapita,usitumie fursa ya kuishi uliyopewa na mungu kuwaumiza wengine.Hebu jiulize itakuwaje wakikutana huko mbinguni komredi chacha wangwe na regia mtema wakikumbushana habari za chadema ya wangwe na mbowe ambayo regia alishiriki kikamilifu katika vita dhidi ya wangwe?

Jamani chitchat tumevamiwa kwani jukwaa lenu hamlijuhi muwe mnagonga hodi kwanza aha! we gongounalewaglass beba watu wako mrudi mlikotoka kabla hatujawahita kuwa ni magaidi
 
Back
Top Bottom