johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,152
Nauliza tu waungwana maana hali hii inanikumbusha wakati ule Chadema ikiwa moto aliondolewa Makamba akaletwa Mkama kisha akaondolewa akaletwa Komredi Kinana na CCM ikatulia Baada ya Goli la mkono
Sasa Naona kama tunarudi kule kule yaani Nyakati za Mwiba kutokea ulipoingilia
Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi 😄
Sasa Naona kama tunarudi kule kule yaani Nyakati za Mwiba kutokea ulipoingilia
Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi 😄