Ee KIKWETE Uliye tufilisi,Jina lako USANII MTUPU,utakalo lifanyike BAGAMOYO TU,utupe leo mabilioni yetu ya EPA,uwapeleke MAFISADI wote Mahakamani ,uwape WASTAAFU pesa zao ,uwasamehe wafungwa hasa BABU SEYA kama ulivyomsamehe LOWASA ,Usitutie katika mikataba FEKI, kwa kuwa UFISADI ni fani yako na uwongo hata milele , na Uanguke kwenye uchaguzi ujao kama unavyoanguka hovyo jukwaani ,AMINA
Forwaded msg from mobile phone..!!
Mungu akusamehe for u don't know what ur saying:confused2:Hii sala mpatieni Mchungaji Slaa aipeleke kanisani, huko ndio kuna sala za ajabuajabu namna hii. watu hukop ni rahisi kufumba macho na kuitikia ameeen bila kujali nani anaombwa.
Hii sala mpatieni Mchungaji Slaa aipeleke kanisani, huko ndio kuna sala za ajabuajabu namna hii. watu hukop ni rahisi kufumba macho na kuitikia ameeen bila kujali nani anaombwa.
Nyie watu angalieni kuna jamaa wa usalama humu!Ohoo tusije laumiana!
Haya maneno mazito sana; halafu ukibadilisha na hiyo avatar nitakutafutia zawadi nzuri mno, hata mke ukipenda,..., inatia kinyaa sana na kichefuchefu pia, yaani naichhukia avatar yako kama ninavyoyapenda mawazo yako!Hii Sasa Balaa: Sala Ya Baba Yetu Kikwete
Ee KIKWETE Uliye tufilisi,
Jina lako USANII MTUPU,
utakalo lifanyike BAGAMOYO TU,
utupe leo mabilioni yetu ya EPA, uwapeleke MAFISADI wote Mahakamani,
uwape WASTAAFU pesa zao,
uwasamehe wafungwa hasa BABU SEYA kama ulivyomsamehe LOWASA,
Usitutie katika mikataba FEKI,
kwa kuwa UFISADI ni fani yako na uwongo hata milele,
na Uanguke kwenye uchaguzi ujao kama unavyoanguka hovyo jukwaani, AMINA
""IMANI YA CHADEMA""
Namwamin Dk.WILBROAD, mwana wa SLAA, Ndugu Yetu, aliyepitia vikwazo vingi kwa hujuma za CCM. Akateswa kwa kashfa za Ndoa, Akadhihakiwa, Akapingwa, Akaonyesha msimamo; Siku ya siku akasimama kwa kishindo; Akapaza sauti, Ameketi mkono wa kuume kutetea haki za Watanzania; Kutoka huko atakuja kuwahukumu mafisadi.