KUCHITIMBO1970
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 482
- 221
Naunga mkono umeme kukatwa Zanzibar kama mkulu alivyo agiza maana hawataki kulipa deni linalo kadiliwa 121 bilioni.Mkulu anataka kukata umeme zanzibar ni wazi mambo c mazuri.
Kwa upande mwingine watumishi wa Serikali wanao idai Serikali pia wasitishe kutoa huduma hadi hapo Serikali itakapo lipa madeni inayodaiwa na watumishi.