Tetesi: Sakata la Zanzibar lawagawa CCM, watendaji serikalini

Mkuu Kishada.. Habari ya siku nyingi..
nnaswali langu kidg bro... its been almost one and a half years.. since uchaguzi wa october na ss mwaka toka ule wa marejeo..Na tumemsikia Maalim of Late akiwaahidi the CUF Faithful that muda si mwingi...Haki itapatikana... time is flying by.. Hv karibuni tumemsikia Mwenyekiti akimdecommission katika position yake ya ukatibuu mkuu.. ss ukiangalia mkanganyiko huu wa events bro and all.. hv do u think kweli our brethrens in green wako tayari kugawanyika? Mbona mm nahisi kama its All over for Maalim and that apige Moyo konde asubiri 2020? after all muda haugandi? nini maoni yako kaka juu ya hili?
 
CCM ni chama kisicho na mtazamo na kimekosa Dira tume ya kurekebisha Katiba ilipokuja na Hoja ya serikali tatu wao wakaipinga kwa kuangalia maslahi ya wanadamu na ninadhani wengine walisahau kuwa binadamu leo upo kesho haupo ila katiba itadumu vizazi hata vizazi, suala la uchaguzi wa zanzibar wamelichukulia poapoa kwa kudhani wanakomoa wapinzani leo maji shingoni mnasema sintofahamu,sintofahamu gani kwani hawakujua madhira ya matendo yao.

Tatizo lao FAFAFAFAFA ndio wanapewa nafasi ya kusikilizwa wajuzi na wenye hekima wanafichwa mifukoni utadhani Condom.wazanzibar waombe tu talaka yao.wafanye mambo yao wenyewe.
Nimekupata. Ndo maana wachambuzi wa mambo wanasema laiti kama Mr six angejua ataondoka bila ile kazi aliyoipigania kwa nguvu zote ikiwemo kuwatukana watumishi wa Mungu kwamba hawana utukufu asingepigisha kura marehemu ili kukidhi matakwa ya kikatiba. Alichokisahau ni kwamba kuwagusa watumishi wa Mungu kwa namna ile hakukuwa tofauti saaana na yule dogo kumtwanga yule babu yake pale ubungo halafu yule mzee akakataa kuwalalamikia wanadamu badala yake akapeleka fadhaa zake zote kwa mzee wa siku. Wote mnajua what is going on
 
Kwani hilo deni la TANESCO wanalipa serikali ya Zanzibar au watumiaji wa umeme ndio wanaolipa? Kwa kipindi chote ambacho walikuwa hawalipi, je wananchi wanapelekewa bill ama la! Kama wananchi wanauziwa umeme kwa kila unit wanayotumia ni kwa nini serikali ya mapinduzi isilipe hizo hela kwa TANESCO? Yani watu kama vile wanadhani serikali ya zanzibar ndio inayoilipa TANESCO kutoka kwenye makusanyo yao mengine
1) Serikali ya ZnZ inauza umeme kwa bei ndogo kuliko inayonunulia ,ikiwa mbinu ya kuwabembeleza wazenj
2) Makusanyo ya Zeco yanasaidia kuendesha serikali,kwani mapato ya ndani ,mikopo na misaada haitoshi kugharamia
 
Kama mlijitungia hotuba wenyewe mkasema Ni hotuba ya Mh. Raisi Shein Na bado hakuna lolote la maana mlilo achieve, naona hata haya uliyoandika hapa Ni ujinga wa kiwango cha lami!!
Kubalini tu kwamba Safari hii mmechemka, subirini 2020
Mungu akubariki.Sema Ameen
 
Makondokando ya Uchaguzi wa 2015 kule Zanzibar ni mengi. Athari za wazi zilitikisa utekelezaji wa Bajeti ya 2016/2017 ingawa viongozi hawataki kukiri.

Busara inahitajika na kwa hili la Zanzibar basi ni hakika linaendelea kutikisa Muungano wetu.

Wahafidhina wanajificha nyuma ya Muungano kulinda maslahi yao ya kupora na kuvuruga chaguzi zote za Zanzibar. Bahati mbaya sasa inayoadhibiwa ni Tanzania nzima na si Zanzibar.

CCM kama chama tawala tafakarini hii hali kwa maslahi ya Taifa.
Kwa bahati mbaya sana kizazi chenye upeo huo k imepotea. Hakipo tena miongoni mwao
 
Wafadhili waminye tu mpaka tutakaposhika adabu
Wao wanalishwa na kuvalishwa bure. Hawana cha kupoteza. Tatizo ni mimi na wewe pamoja na wana ukoo wetu
Wewe soma kama tetesi halafu tuachie wenyewe.

Makondokando ya Uchaguzi wa 2015 kule Zanzibar ni mengi. Athari za wazi zilitikisa utekelezaji wa Bajeti ya 2016/2017 ingawa viongozi hawataki kukiri.

Busara inahitajika na kwa hili la Zanzibar basi ni hakika linaendelea kutikisa Muungano wetu.

Wahafidhina wanajificha nyuma ya Muungano kulinda maslahi yao ya kupora na kuvuruga chaguzi zote za Zanzibar. Bahati mbaya sasa inayoadhibiwa ni Tanzania nzima na si Zanzibar.

CCM kama chama tawala tafakarini hii hali kwa maslahi ya Taifa.
 
Taarifa hizi zilipatikana kipindi cha kama mwezi mmoja hivi na juhudi za kutaka kuthibitishwa zinaendelea. Tetesi zinadokeza kuwa Kutokana na hali ya nchi ilivyo maamuzi magumu yanahitajika na tayari yamewagawa wana CCM na baadhi ya watendaji wa serikali zote mbili za SMZ na SMT.



Suala la Zanzibar, (uchaguzi wa 2015) na kufutwa kwake na Jecha kumeacha sintofahamu baina ya wahisani na serikali ya JMT na kutaka suala hili lipatiwe ufumbuzi. Jumuiya ya Kimataifa na wadau wa maendeleo hasa Ulaya na Marekani wametowa masharti mazito kuhusu suala la Zanzibar kupatiwa ufumbuzi kiasi cha kuathiri mwenendo wa bajeti kwa JMT. Taarifa zinadokeza kuwa kuna changamoito kubwa sana ya utengenezaji wa bajeti kwa mwaka 2017/2018 ikiwa Tanzania haitakubali masharti yaliyowekwa na jumuiya za Kimataifa kuhusu suala la Zanzibar.

Hali hiyo inartipotiwa kuwagawa wana CCM na watendaji wengine wa serikali zote mbili wengine wakitaka masharti yatekelezwe ili kuinusuri nchi na hatua kali zinazoweza kuchukuliwa na wengine wakipinga.

Imeripotiwa kuwa kuna viongozi waandamizi wa SMZ wakiongozwa na kiongozi mkubwa wanapinga hatua yoyote ya kukubali mabadiliko Zanzibar kama miongoni mwa masharti ya wahisani na jitihada za chini chini za kujenga misimamo kwa wanachama zinaendelea kufanywa na kundi hili kwa upande wa Zanzibar.

Kundi linalounga mkono kutii masharti inaelezwa kuwa linaegemea zaidi katika maslahi ya Taifa na kuangalia zaidi mkwamo unaoweza kulikumba Taifa na kupoteza haiba a yake kimataifa. Tayari kunaripotiwa uwezekano wa kugawika wana CCM wa Tanzania Bara ambao inaripotiwa kuguswa zaidi na athari inazozipata Tanzania ambayo kwa mara ya kwanza imeonja uchungu wa moja kwa moja wa kunnyimwa baadhi ya misaada na nchi wahisani kwa suala la Zanzibar na wale wa Zanzibar hasa Wahafidhina ambao hawataki kusikia neno lolote la mabadilko.

Tunaomba wenye taarifa za uhakika waziweke hapa kwa maslahi ya Taifa.


Kwa hisani ya msamaria mwema.


Kishada.

NDIO MAANA JUZI TULIMSIKIA MKUU AKIZUWIYA PASSPORT YA MKANDARASI NA KUONGEZEA KAMA WAFADHILI HAWATOI PESA SEMENI SISI TUTALETA ?

SUALA LA UMEME WANANCHI WA ZANZIBAR WANANUNUA KWA CASH LAKINI SMZ WANAGEUZA MAPATO YAO HAWALIPI TANESCO HAPA NDIO SHIDA .LAKINI SUALA KWA NINI TANESCO WANAACHA DENI MPAKA KUFIKIA BILLION 121 ??? HAWA NAO WAMESHINDWA KAZI BIASHARA GANI HII YA KUKOPESHA MPAKA KUKARIBIA KUMALIZA MTAJI
 
1) Serikali ya ZnZ inauza umeme kwa bei ndogo kuliko inayonunulia ,ikiwa mbinu ya kuwabembeleza wazenj
2) Makusanyo ya Zeco yanasaidia kuendesha serikali,kwani mapato ya ndani ,mikopo na misaada haitoshi kugharamia
Bei ya kununulia umeme TANESCo kiasi gani? Wanzazibari wanauziwa umeme kwa bei Tsh 222 per kwh.
 
Taarifa hizi zilipatikana kipindi cha kama mwezi mmoja hivi na juhudi za kutaka kuthibitishwa zinaendelea. Tetesi zinadokeza kuwa Kutokana na hali ya nchi ilivyo maamuzi magumu yanahitajika na tayari yamewagawa wana CCM na baadhi ya watendaji wa serikali zote mbili za SMZ na SMT.

Suala la Zanzibar, (uchaguzi wa 2015) na kufutwa kwake na Jecha kumeacha sintofahamu baina ya wahisani na serikali ya JMT na kutaka suala hili lipatiwe ufumbuzi. Jumuiya ya Kimataifa na wadau wa maendeleo hasa Ulaya na Marekani wametowa masharti mazito kuhusu suala la Zanzibar kupatiwa ufumbuzi kiasi cha kuathiri mwenendo wa bajeti kwa JMT. Taarifa zinadokeza kuwa kuna changamoito kubwa sana ya utengenezaji wa bajeti kwa mwaka 2017/2018 ikiwa Tanzania haitakubali masharti yaliyowekwa na jumuiya za Kimataifa kuhusu suala la Zanzibar.

Hali hiyo inartipotiwa kuwagawa wana CCM na watendaji wengine wa serikali zote mbili wengine wakitaka masharti yatekelezwe ili kuinusuri nchi na hatua kali zinazoweza kuchukuliwa na wengine wakipinga.

Imeripotiwa kuwa kuna viongozi waandamizi wa SMZ wakiongozwa na kiongozi mkubwa wanapinga hatua yoyote ya kukubali mabadiliko Zanzibar kama miongoni mwa masharti ya wahisani na jitihada za chini chini za kujenga misimamo kwa wanachama zinaendelea kufanywa na kundi hili kwa upande wa Zanzibar.

Kundi linalounga mkono kutii masharti inaelezwa kuwa linaegemea zaidi katika maslahi ya Taifa na kuangalia zaidi mkwamo unaoweza kulikumba Taifa na kupoteza haiba a yake kimataifa. Tayari kunaripotiwa uwezekano wa kugawika wana CCM wa Tanzania Bara ambao inaripotiwa kuguswa zaidi na athari inazozipata Tanzania ambayo kwa mara ya kwanza imeonja uchungu wa moja kwa moja wa kunnyimwa baadhi ya misaada na nchi wahisani kwa suala la Zanzibar na wale wa Zanzibar hasa Wahafidhina ambao hawataki kusikia neno lolote la mabadilko.

Tunaomba wenye taarifa za uhakika waziweke hapa kwa maslahi ya Taifa.


Kwa hisani ya msamaria mwema.


Kishada.
Huu ni Uongo ulipita mipaka. Ila si vibaya kuandika hayo ili uweze kula
 
Kwani hilo deni la TANESCO wanalipa serikali ya Zanzibar au watumiaji wa umeme ndio wanaolipa? Kwa kipindi chote ambacho walikuwa hawalipi, je wananchi wanapelekewa bill ama la! Kama wananchi wanauziwa umeme kwa kila unit wanayotumia ni kwa nini serikali ya mapinduzi isilipe hizo hela kwa TANESCO? Yani watu kama vile wanadhani serikali ya zanzibar ndio inayoilipa TANESCO kutoka kwenye makusanyo yao mengine
Sidhani kama deni hilo ni la watu binafsi. Nahisi ni la serikali
Mshindi halali aapishwe haraka ili kunusuru nchi .
 
Si tuliambiwa linchi hili litajiri sana na muda mfupi tutaanza kuwakopesha nchi majirani na hao waliokuwa wahisani wetu!
What went wrong?
Fungus ikiingia kwenye ubongo iko shida ktk kufikiri. Tafakari
 
Mkuu Kishada.. Habari ya siku nyingi..
nnaswali langu kidg bro... its been almost one and a half years.. since uchaguzi wa october na ss mwaka toka ule wa marejeo..Na tumemsikia Maalim of Late akiwaahidi the CUF Faithful that muda si mwingi...Haki itapatikana... time is flying by.. Hv karibuni tumemsikia Mwenyekiti akimdecommission katika position yake ya ukatibuu mkuu.. ss ukiangalia mkanganyiko huu wa events bro and all.. hv do u think kweli our brethrens in green wako tayari kugawanyika? Mbona mm nahisi kama its All over for Maalim and that apige Moyo konde asubiri 2020? after all muda haugandi? nini maoni yako kaka juu ya hili?
All in all do you or rather are you still convinced PhD za Leo ni kama zile za kale?Something has gone wrong somewhere or rather something is not happening somewhere. What do you think brother?
 
1) Serikali ya ZnZ inauza umeme kwa bei ndogo kuliko inayonunulia ,ikiwa mbinu ya kuwabembeleza wazenj
2) Makusanyo ya Zeco yanasaidia kuendesha serikali,kwani mapato ya ndani ,mikopo na misaada haitoshi kugharamia
Noted.If that's the case what's the panic for? Au ndo mwendokasi?
 
NDIO MAANA JUZI TULIMSIKIA MKUU AKIZUWIYA PASSPORT YA MKANDARASI NA KUONGEZEA KAMA WAFADHILI HAWATOI PESA SEMENI SISI TUTALETA ?

SUALA LA UMEME WANANCHI WA ZANZIBAR WANANUNUA KWA CASH LAKINI SMZ WANAGEUZA MAPATO YAO HAWALIPI TANESCO HAPA NDIO SHIDA .LAKINI SUALA KWA NINI TANESCO WANAACHA DENI MPAKA KUFIKIA BILLION 121 ??? HAWA NAO WAMESHINDWA KAZI BIASHARA GANI HII YA KUKOPESHA MPAKA KUKARIBIA KUMALIZA MTAJI
Kama ni hivyo kweli tanesco hawawezi kuchukua hatua yoyote ile. It's a political issue ambayo hata huyo mnaye m quote can not do anything. Ni maneno tu ya kufurahisha baraza
 
All in all do you or rather are you still convinced PhD za Leo ni kama zile za kale?Something has gone wrong somewhere or rather something is not happening somewhere. What do you think brother?
Mimi nadhani it would have been better if Maalim angelishiriki tu ule uchaguzi wa marejeo.. labda leo watu wangeshasau after seeing their beloved Maalim as first vice president.. kulikoni the emotional turmoil that the cuf surporters are experiencing right now.. hoping for something that most probably is not there..
 
Back
Top Bottom