Nimekupata. Ndo maana wachambuzi wa mambo wanasema laiti kama Mr six angejua ataondoka bila ile kazi aliyoipigania kwa nguvu zote ikiwemo kuwatukana watumishi wa Mungu kwamba hawana utukufu asingepigisha kura marehemu ili kukidhi matakwa ya kikatiba. Alichokisahau ni kwamba kuwagusa watumishi wa Mungu kwa namna ile hakukuwa tofauti saaana na yule dogo kumtwanga yule babu yake pale ubungo halafu yule mzee akakataa kuwalalamikia wanadamu badala yake akapeleka fadhaa zake zote kwa mzee wa siku. Wote mnajua what is going on
Hawa wenzetu maslahi yao mbele ya nchi nyuma wanasahau hesabu ya pumzi uliyoibakiza kwenye ulimwengu anayo mwenyezi munguNimekupata. Ndo maana wachambuzi wa mambo wanasema laiti kama Mr six angejua ataondoka bila ile kazi aliyoipigania kwa nguvu zote ikiwemo kuwatukana watumishi wa Mungu kwamba hawana utukufu asingepigisha kura marehemu ili kukidhi matakwa ya kikatiba. Alichokisahau ni kwamba kuwagusa watumishi wa Mungu kwa namna ile hakukuwa tofauti saaana na yule dogo kumtwanga yule babu yake pale ubungo halafu yule mzee akakataa kuwalalamikia wanadamu badala yake akapeleka fadhaa zake zote kwa mzee wa siku. Wote mnajua what is going on
There is no hurry in Africa! When there is enough food (ugali), why think more ? Somebody on behalf will do it!Si tuliambiwa linchi hili litajiri sana na muda mfupi tutaanza kuwakopesha nchi majirani na hao waliokuwa wahisani wetu!
What went wrong?
Taarifa hizi zilipatikana kipindi cha kama mwezi mmoja hivi na juhudi za kutaka kuthibitishwa zinaendelea. Tetesi zinadokeza kuwa Kutokana na hali ya nchi ilivyo maamuzi magumu yanahitajika na tayari yamewagawa wana CCM na baadhi ya watendaji wa serikali zote mbili za SMZ na SMT.
Suala la Zanzibar, (uchaguzi wa 2015) na kufutwa kwake na Jecha kumeacha sintofahamu baina ya wahisani na serikali ya JMT na kutaka suala hili lipatiwe ufumbuzi. Jumuiya ya Kimataifa na wadau wa maendeleo hasa Ulaya na Marekani wametowa masharti mazito kuhusu suala la Zanzibar kupatiwa ufumbuzi kiasi cha kuathiri mwenendo wa bajeti kwa JMT. Taarifa zinadokeza kuwa kuna changamoito kubwa sana ya utengenezaji wa bajeti kwa mwaka 2017/2018 ikiwa Tanzania haitakubali masharti yaliyowekwa na jumuiya za Kimataifa kuhusu suala la Zanzibar.
Hali hiyo inartipotiwa kuwagawa wana CCM na watendaji wengine wa serikali zote mbili wengine wakitaka masharti yatekelezwe ili kuinusuri nchi na hatua kali zinazoweza kuchukuliwa na wengine wakipinga.
Imeripotiwa kuwa kuna viongozi waandamizi wa SMZ wakiongozwa na kiongozi mkubwa wanapinga hatua yoyote ya kukubali mabadiliko Zanzibar kama miongoni mwa masharti ya wahisani na jitihada za chini chini za kujenga misimamo kwa wanachama zinaendelea kufanywa na kundi hili kwa upande wa Zanzibar.
Kundi linalounga mkono kutii masharti inaelezwa kuwa linaegemea zaidi katika maslahi ya Taifa na kuangalia zaidi mkwamo unaoweza kulikumba Taifa na kupoteza haiba a yake kimataifa. Tayari kunaripotiwa uwezekano wa kugawika wana CCM wa Tanzania Bara ambao inaripotiwa kuguswa zaidi na athari inazozipata Tanzania ambayo kwa mara ya kwanza imeonja uchungu wa moja kwa moja wa kunnyimwa baadhi ya misaada na nchi wahisani kwa suala la Zanzibar na wale wa Zanzibar hasa Wahafidhina ambao hawataki kusikia neno lolote la mabadilko.
Tunaomba wenye taarifa za uhakika waziweke hapa kwa maslahi ya Taifa.
Kwa hisani ya msamaria mwema.
Kishada.
Jahazi linazama ,akili za ajabu kusuburi 2020 kujinusuru.Ndugu yangu acha ujinga. Uchaguzi Zanzibar ni 2020 full stop!
1) Serikali ya ZnZ inauza umeme kwa bei ndogo kuliko inayonunulia ,ikiwa mbinu ya kuwabembeleza wazenj
2) Makusanyo ya Zeco yanasaidia kuendesha serikali,kwani mapato ya ndani ,mikopo na misaada haitoshi kugharamia
Kaka i think that is the bitter truth... ukweli mchungu kabisa ndo huo... lakn hata hivo 2020 si mbali... tuwe na subra njema...Ndugu yangu acha ujinga. Uchaguzi Zanzibar ni 2020 full stop!
Jahazi linazama ,akili za ajabu kusuburi 2020 kujinusuru.
sasa kama mtoa hoja huna taarifa kamili , unataka tujadili nini? TULISHASEMA HATUJARIBIWI, SIO NA VIKARAGOSI VYA NDANI NI HADI WENYE PUA NDEFU. HII SERIKALI NI HADI 2020 PANDE ZOTE BARA NA VISIWANI.
Kaka Yangu kishada.. jambo ambalo mie linanitatiza saana ni kuwa kipi hasa kinochelewesha kufikia kukubali hayo maamuzi? wakati kweli yote inajulikana na maalim kasema haki yake atapata bro? what causes the delay? kwamfano chuoni mkishamaliza mitihani si majibu yanatoka na wala hayacheleweshwi? what causes these delays za watu kukubali kutiiwa kwa mwasharti ya wahisani? what causes the delay Maalim kuipata haki hio anotuambia haiko mbali kupatikana? give me one valid reasonNyuma ya pazia hili la tetesi kuna mengi. Wasemaji wa CCM wapo kimya nyinyi mnajitekenya.
Tetesi naziacha mbali. Ninachokijuwa Tanzania imepewa masharti na wahisani. Tulikosa fedha za MCC na baadhi ya misaada mengine. Ninavyojuwa Balozi wa umoja wa Ulaya Tanzania kama miezi mitatu nyuma aliarifu kuendelea na Mazungumzo na rais Magufuli kuhusu suala la Zanzibar kupatiwa ufumbuzi na pendekezo lao la kurejeshwa GNU, na kuarifu matarajio yao kuwa muda mchache wanatarajia ufumbuzi utapatikana. Sijapata habari za kukanushwa taarifa hii na SMT wala SMZ.
Leo zilizopo ni fununu za mgawanyiko kwa wana CCM wanaotaka kutiiwa masharti na wale wasiotaka.
Lete taarifa za kweli kama hizi fununu sio wenyewe itakuwa umetusaidia.
hata under wanunuliwa.ni kweli hawajui adha wanayopata wengine.ogopa mtu asiyejua bei ya chumvi....!!!Wao wanalishwa na kuvalishwa bure. Hawana cha kupoteza. Tatizo ni mimi na wewe pamoja na wana ukoo wetu
Kaka Yangu kishada.. jambo ambalo mie linanitatiza saana ni kuwa kipi hasa kinochelewesha kufikia kukubali hayo maamuzi? wakati kweli yote inajulikana na maalim kasema haki yake atapata bro? what causes the delay? kwamfano chuoni mkishamaliza mitihani si majibu yanatoka na wala hayacheleweshwi? what causes these delays za watu kukubali kutiiwa kwa mwasharti ya wahisani? what causes the delay Maalim kuipata haki hio anotuambia haiko mbali kupatikana? give me one valid reason