Sakata la wanufaika Hewa TASAF,TAKUKURU yawaweka kati watendaji 72 .

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Taasisi ya Kupambana na kuzuia Rushwa TAKUKURU , Mkoa wa Kilimanjaro imewakamata watendaji wa vijiji 72 wa wilaya ya Hai kwa kosa la kujaribu kuandaa taarifa yenye tarehe za miaka iliyopita ili kuonyesha marehemu waliogunduliwa na kamati ya ulinzi na usalama ktk mpango wa TASAF walikuwa na wategemezi kwa mujibu nyaraka hizo feki zilizokuwa zinaandaliwa kwa Maelekezo ya mkurugenzi mkuu wa TASAF na Naibu katibu mkuu Tamisemi ambaye naye ni mjumbe wa bodi ya TASAF

Watendaji hao wamekamatwa Leo wakiwa wanagushi nyaraka hizo katika ukumbi wa Halmashauri ya Hai chini ya usimamizi wa Watumishi wa TASAF kutoka Makao makuu Taifa waliopo wilayani Hai kwa kazi maalumu.

Watendaji hao inasemekanana walipewa maelekezo kufika halmashauri wakiwa wamebeba mihuri yao ili wasaini documents walizopewa na kuweka muhuri kwenye nyaraka hizo zinazoonyesha ziliandaliwa na kuwekwa sahihi tarehe 01-05-2015, ili kwa nia ya kudanganya kwamba wanufaika hao walikuwepo na kukidhi matakwa yote toka mwaka 2015 Lengo likiwa ni kutekeleza maelekezo ya TASAF Makao makuu kuficha ukweli kuhusu wanufaika waliokuwa wakilipwa pesa miongoni mwao wakiweko marehemu takribani 190.

Wakati wapo ukumbini wakiendelea na zoezi hilo la kusaini nyaraka hizo ndipo Maafisa wa TAKUKURU na Maafisa wa Polisi wakawavamia na kuwatia Mbaroni .

Kamanda Wa Takukuru wa mkoa wa Kilimanjaro amesema upelelezi bado unaendelea.
 

Attachments

  • IMG-20190809-WA0010.jpeg
    IMG-20190809-WA0010.jpeg
    81.9 KB · Views: 33
Naona wizi ni taaluma iliyokwisha ota mizizi. Hata naibu katibu mkuu wa TAMISEMI! NI ajabu kwamba Naibu huyu hakuwepo wizarani wakati wizi huo unafanyika. Kama leo hii anashiriki, ni ishara kwamba amepewa shule na kutamanishwa kitu na akaingia ndani ya kundi la wezi.

Mbaya kubwa ni kutumia majina ya watu maskini ambao hawakufaidika, ili kuhalalisha wizi wao.
 
Hili ka TASAF watafungwa washiriki wote. Busara kubwa sana inatakiwa katika kuliweka sawa suala hili. Tukumbuke wanufaika hawajalipwa tangu Macho mwaka huu na hakuna habari zozote.
MFUMO uliotumika mwanzoni ndio chanzo cha shida zote hizi. Wachunguze nchi nzima kuliweka sawa
 
Juzi Lukuvi kaja na habari ya Maafisa Ardhi wanaotuhumiwa kwa rushwa, na leo tena yanaibuka haya,je,ni hivi hivi tu?!!

2020 hiyo inakaribia!!
 
Wakisema wakague wanaoandika hizo ripoti Tanzania hii.... watendaji wengi watakamatwa... kaya hewa inasemekana zimefanya baadhi ya watumishi kujenga nyumba nakuweka vitega uchumi vingi.
 
Taasisi ya Kupambana na kuzuia Rushwa TAKUKURU , Mkoa wa Kilimanjaro imewakamata watendaji wa vijiji 72 wa wilaya ya Hai kwa kosa la kujaribu kuandaa taarifa yenye tarehe za miaka iliyopita ili kuonyesha marehemu waliogunduliwa na kamati ya ulinzi na usalama ktk mpango wa TASAF walikuwa na wategemezi kwa mujibu nyaraka hizo feki zilizokuwa zinaandaliwa kwa Maelekezo ya mkurugenzi mkuu wa TASAF na Naibu katibu mkuu Tamisemi ambaye naye ni mjumbe wa bodi ya TASAF

Watendaji hao wamekamatwa Leo wakiwa wanagushi nyaraka hizo katika ukumbi wa Halmashauri ya Hai chini ya usimamizi wa Watumishi wa TASAF kutoka Makao makuu Taifa waliopo wilayani Hai kwa kazi maalumu.

Watendaji hao inasemekanana walipewa maelekezo kufika halmashauri wakiwa wamebeba mihuri yao ili wasaini documents walizopewa na kuweka muhuri kwenye nyaraka hizo zinazoonyesha ziliandaliwa na kuwekwa sahihi tarehe 01-05-2015, ili kwa nia ya kudanganya kwamba wanufaika hao walikuwepo na kukidhi matakwa yote toka mwaka 2015 Lengo likiwa ni kutekeleza maelekezo ya TASAF Makao makuu kuficha ukweli kuhusu wanufaika waliokuwa wakilipwa pesa miongoni mwao wakiweko marehemu takribani 190.

Wakati wapo ukumbini wakiendelea na zoezi hilo la kusaini nyaraka hizo ndipo Maafisa wa TAKUKURU na Maafisa wa Polisi wakawavamia na kuwatia Mbaroni .

Kamanda Wa Takukuru wa mkoa wa Kilimanjaro amesema upelelezi bado unaendelea.
Uongo
 
Taasisi ya Kupambana na kuzuia Rushwa TAKUKURU , Mkoa wa Kilimanjaro imewakamata watendaji wa vijiji 72 wa wilaya ya Hai kwa kosa la kujaribu kuandaa taarifa yenye tarehe za miaka iliyopita ili kuonyesha marehemu waliogunduliwa na kamati ya ulinzi na usalama ktk mpango wa TASAF walikuwa na wategemezi kwa mujibu nyaraka hizo feki zilizokuwa zinaandaliwa kwa Maelekezo ya mkurugenzi mkuu wa TASAF na Naibu katibu mkuu Tamisemi ambaye naye ni mjumbe wa bodi ya TASAF

Watendaji hao wamekamatwa Leo wakiwa wanagushi nyaraka hizo katika ukumbi wa Halmashauri ya Hai chini ya usimamizi wa Watumishi wa TASAF kutoka Makao makuu Taifa waliopo wilayani Hai kwa kazi maalumu.

Watendaji hao inasemekanana walipewa maelekezo kufika halmashauri wakiwa wamebeba mihuri yao ili wasaini documents walizopewa na kuweka muhuri kwenye nyaraka hizo zinazoonyesha ziliandaliwa na kuwekwa sahihi tarehe 01-05-2015, ili kwa nia ya kudanganya kwamba wanufaika hao walikuwepo na kukidhi matakwa yote toka mwaka 2015 Lengo likiwa ni kutekeleza maelekezo ya TASAF Makao makuu kuficha ukweli kuhusu wanufaika waliokuwa wakilipwa pesa miongoni mwao wakiweko marehemu takribani 190.

Wakati wapo ukumbini wakiendelea na zoezi hilo la kusaini nyaraka hizo ndipo Maafisa wa TAKUKURU na Maafisa wa Polisi wakawavamia na kuwatia Mbaroni .

Kamanda Wa Takukuru wa mkoa wa Kilimanjaro amesema upelelezi bado unaendelea.
Mie nipo Halmashauri ya Hai sijaona hiyo kitu
 
Hawa wanataka kutupotezea ukombozi wa eneo hilo.

Wasiwaghafirishe watendaji wetu,wakatazame wapigaji wa ankara za maana huko.
 
Taasisi ya Kupambana na kuzuia Rushwa TAKUKURU , Mkoa wa Kilimanjaro imewakamata watendaji wa vijiji 72 wa wilaya ya Hai kwa kosa la kujaribu kuandaa taarifa yenye tarehe za miaka iliyopita ili kuonyesha marehemu waliogunduliwa na kamati ya ulinzi na usalama ktk mpango wa TASAF walikuwa na wategemezi kwa mujibu nyaraka hizo feki zilizokuwa zinaandaliwa kwa Maelekezo ya mkurugenzi mkuu wa TASAF na Naibu katibu mkuu Tamisemi ambaye naye ni mjumbe wa bodi ya TASAF

Watendaji hao wamekamatwa Leo wakiwa wanagushi nyaraka hizo katika ukumbi wa Halmashauri ya Hai chini ya usimamizi wa Watumishi wa TASAF kutoka Makao makuu Taifa waliopo wilayani Hai kwa kazi maalumu.

Watendaji hao inasemekanana walipewa maelekezo kufika halmashauri wakiwa wamebeba mihuri yao ili wasaini documents walizopewa na kuweka muhuri kwenye nyaraka hizo zinazoonyesha ziliandaliwa na kuwekwa sahihi tarehe 01-05-2015, ili kwa nia ya kudanganya kwamba wanufaika hao walikuwepo na kukidhi matakwa yote toka mwaka 2015 Lengo likiwa ni kutekeleza maelekezo ya TASAF Makao makuu kuficha ukweli kuhusu wanufaika waliokuwa wakilipwa pesa miongoni mwao wakiweko marehemu takribani 190.

Wakati wapo ukumbini wakiendelea na zoezi hilo la kusaini nyaraka hizo ndipo Maafisa wa TAKUKURU na Maafisa wa Polisi wakawavamia na kuwatia Mbaroni .

Kamanda Wa Takukuru wa mkoa wa Kilimanjaro amesema upelelezi bado unaendelea.

Hi. Mkuu.
Nimepata ufafanuzi wa TASAF makao makuu juu ya madai hayo. Punde naweka huo ufafanuzi
 
Taasisi ya Kupambana na kuzuia Rushwa TAKUKURU , Mkoa wa Kilimanjaro imewakamata watendaji wa vijiji 72 wa wilaya ya Hai kwa kosa la kujaribu kuandaa taarifa yenye tarehe za miaka iliyopita ili kuonyesha marehemu waliogunduliwa na kamati ya ulinzi na usalama ktk mpango wa TASAF walikuwa na wategemezi kwa mujibu nyaraka hizo feki zilizokuwa zinaandaliwa kwa Maelekezo ya mkurugenzi mkuu wa TASAF na Naibu katibu mkuu Tamisemi ambaye naye ni mjumbe wa bodi ya TASAF

Watendaji hao wamekamatwa Leo wakiwa wanagushi nyaraka hizo katika ukumbi wa Halmashauri ya Hai chini ya usimamizi wa Watumishi wa TASAF kutoka Makao makuu Taifa waliopo wilayani Hai kwa kazi maalumu.

Watendaji hao inasemekanana walipewa maelekezo kufika halmashauri wakiwa wamebeba mihuri yao ili wasaini documents walizopewa na kuweka muhuri kwenye nyaraka hizo zinazoonyesha ziliandaliwa na kuwekwa sahihi tarehe 01-05-2015, ili kwa nia ya kudanganya kwamba wanufaika hao walikuwepo na kukidhi matakwa yote toka mwaka 2015 Lengo likiwa ni kutekeleza maelekezo ya TASAF Makao makuu kuficha ukweli kuhusu wanufaika waliokuwa wakilipwa pesa miongoni mwao wakiweko marehemu takribani 190.

Wakati wapo ukumbini wakiendelea na zoezi hilo la kusaini nyaraka hizo ndipo Maafisa wa TAKUKURU na Maafisa wa Polisi wakawavamia na kuwatia Mbaroni .

Kamanda Wa Takukuru wa mkoa wa Kilimanjaro amesema upelelezi bado unaendelea.
Taarifa ya Ufafanuzi kuhusu madai hapo juu.

Kinachoendelea sasa huko Hai ni kukamilisha uchunguzi wa suala la walengwa wa TASAF wanaodaiwa kupata ruzuku kinyume cha taratibu kutokana na ripoti ya Mkuu wa wilaya ya tarehe 31/07/2019. Tuache kamati ya Uongozi ya TASAF ikamilishe uchunguzi wake na tusihukumu watu bila kuwa na ushahidi. Kimsingi yanayoendelea sasa kwa baadhi ya watu ni kujaribu kuharibu shughuli za uchunguzi. Haina afya kwa mstakabali wa juhudi za serikali katika kuzikwamua kaya za walengwa. Hata hivyo taarifa iliyopo hakuna waliowekwa ndani ila waliwekwa chini ya ulinzi na kuwanyang'anya mihuli na kutaka documents zao. Hata hivyo baadaye wamewaachia na kuwapa mihuli yao na kazi ya kukusanya vielelezo imeendelea. Tuacha kuharibu kazi za msingi

Imetolewa na;

Estom Sanga
Ofisa masawasiliano TASAF
August 10,2019
 
Back
Top Bottom