Ndio maana nilishasema hapo mwanzo kuwa MBUGA ZETU ZOTE ZITAKUWA MIJI MIKUBWA[Cities].Kunatakuwa hakuna mnyama tena.On hawa mafisadi wanajenga mahoteli ndani ya mbuga.kwa hiyo tunaongeza kasi ya kuwatokomeza wanyama sisi wenyewe.Nilisema maadui wa resources yetu hii muhimu sana hapa Tanzania ni, majangili,climate change and Global warming,professional hunters[granted by Government].Tusiposimama imara kuanzia sasa na kutokuwa mpambe Taifa la Tanzania ifikapo 2025 Linakuwa hakuna mnyama yeyote kasi hii.Na tutengemee mapema sana kupata city mpya inayoitwa SERENGETI.Husiposimama sasa mtoto wako atakulilia wewe ,kwani atashangaa.Historia itasema siku hizo.MUNGU IBARIKI TANZANIA
Nadhan mpaka huyu katibu wao atoke madarakan, kuna baadh ya wanyama watapotea kabisa. Baada ya kufadhir mbwa mwitu, Mzee wa magogon ajiandae kutoa 30mil nyingne kwa ajil ya hao wanyama.
Nina wasiwasi kuna kuzurumiana katika biashara hii na wengine wanaamua kutoa siri.Maana hii kasi ya kukamatwa si ya kawaida.Hii biashara haijaanza leo wala jana.
tuwategemee wageni kama wazungu waje waulindie mbuga zetu
kwani sisi wenyewe tumegeuka kuwa majangili ndani ya serikali zetu
hao hao wapiga debe kuhusu wanyama ndio wahusika wakubwa
sioni kwa sakata hili Kagasheki na makamu wasijiuzulu mara moja,
wakuu wa bandari, TRA wote wasiwajibishwe.
NATAMANI KUAZIMA SHERIA ZA CHINA ZA KUWAKATA VICHWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.