SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,703
- 60,843
Machalii wa Kisongo wameletewa mchumba leo watalala wepeeesi kama unyoyaMashtaka yote karibia hayana dhamanaView attachment 1808089
Machalii wa Kisongo wameletewa mchumba leo watalala wepeeesi kama unyoyaMashtaka yote karibia hayana dhamanaView attachment 1808089
Duh!Huyu mtu alikuwa hatari sana!
Hili sakata lina shuhuda nyingi sana dhidi ya Ole
Kama ni za kweli amevuruga na hachomoki.... kama zimetengenezwa kuna watu wataamia
Muda utasema
Iakua alikua anawavimbia wakubwa enzi za mwendazake sasa wanaamua kumshikisha adabu
Kakaa lockup week tu kaisha fala uyoHachomoki huyu ..
Bastola zilizomlinda madarakani asidhurike sasa zinamlinda polisi asitorokeView attachment 1807981View attachment 1807982