amanijuuyako
New Member
- Mar 3, 2008
- 3
- 0
Mkasa wa Richmond
Mkasa huu ulianza wakati Tanzania ilipokua imekumbwa na janga la umeme.
Rais alitoa agizo kwa wizara kufanya juu chini hili suala la umeme litatuliwe.
Waziri mkuu ndiye aliyetoa wazo kua tnder wasipewe Tanesco ( Tanesco ipo chini ya Kampuni kutoka South Africa na imegundulika kampuni hii ni wezi an ilikuwa kunamipango ya kuwatoa. Kwa hivyo wangepewa tendar hii ndikama kuwaengezea muda. Hoja ilkuballika na kutafutwa watu wengine)
Tendar ikatolewa kwa makampuni ya kitaifa na mataifa ; waweze kuleta jibu la kuweza kuleta turbines kwa haraka sana.
Ununuzi wa turbine hizo nitafauti na ununuzi wa baiskeli au gari.
Lazima utoe maelezo specification halafu company zianze kutengeneza michoro ndio wakupe bei. Kutokana na muda ulikua mdogo kampuni tatu tuu zika jitokeza ikiwemo Richmond.
Kampuni ya Richmond ndio iliyotoa uhakika kimaandishi kuwa wataweza kuleta hayo mageneretor kwa wakati unaotakiwa.
Mkutano wa mawaziri ukafanywa na kuelezwa kilichotokea na kukubalika Richmond wapewe hiyo tenda. Baada muda ulowekwa kufikia na hakuna kilocho fanyika.
Aliyekua waziri mkuu akaandika barua kutaka mkataba uvunjwe.
Waziri wa wizara husika na katibu wake na mwanasharia wakenda kummbembeleza aliyekua Waziri mkuu kua asivunje mkataba kwani wawo wamesha zungumza na Richmond na wameomba muda kidiogo ili wapate kutimiza jukumu lao.
Kikao cha mawaziri kiliitwa nakupashwa habari kua Richmond wamehakikisha kua wataweza kutimiza jukumu.
Waziri a kapewa go ahead na kikao na mkataba usivunjwe.
Kima cha Maji ya bwawa yalipo anza kupanda suala lile likaisha nguvu.
Na hatimaye yakatokea yaliyojiri hivisasa.
Lowassa alikua najua kinachotendeka na kaona ajitete mapema.
Baada ya yeye kuiona report yote ndipo aliposhangaa kuona kua yeye ahajaitwa na pili ile barua yake alo muandikia waziri kuhusu kuvunja mktaba haikutiwa wala hakuna maelezo yoyote yale yanohusu kuvunja mktaba.
Ina semekana kua alimpa Speaker nakala ya barua hiyo
Kilichotokea bungeni baada ya ripoti kusomwa ni kua speaker hakuongeza kitu ndipo alipoona hakuna haja ya kujitetea Nadahani katika fikra zake ali hisi kua yeye ndie kafara wa sakata hilo kwa hivyo bora jiuzulu.
Na hayo ndivyo tuonavyo sisi.
Alokuamo hatoki na asokuamo haingii
Mkasa huu ulianza wakati Tanzania ilipokua imekumbwa na janga la umeme.
Rais alitoa agizo kwa wizara kufanya juu chini hili suala la umeme litatuliwe.
Waziri mkuu ndiye aliyetoa wazo kua tnder wasipewe Tanesco ( Tanesco ipo chini ya Kampuni kutoka South Africa na imegundulika kampuni hii ni wezi an ilikuwa kunamipango ya kuwatoa. Kwa hivyo wangepewa tendar hii ndikama kuwaengezea muda. Hoja ilkuballika na kutafutwa watu wengine)
Tendar ikatolewa kwa makampuni ya kitaifa na mataifa ; waweze kuleta jibu la kuweza kuleta turbines kwa haraka sana.
Ununuzi wa turbine hizo nitafauti na ununuzi wa baiskeli au gari.
Lazima utoe maelezo specification halafu company zianze kutengeneza michoro ndio wakupe bei. Kutokana na muda ulikua mdogo kampuni tatu tuu zika jitokeza ikiwemo Richmond.
Kampuni ya Richmond ndio iliyotoa uhakika kimaandishi kuwa wataweza kuleta hayo mageneretor kwa wakati unaotakiwa.
Mkutano wa mawaziri ukafanywa na kuelezwa kilichotokea na kukubalika Richmond wapewe hiyo tenda. Baada muda ulowekwa kufikia na hakuna kilocho fanyika.
Aliyekua waziri mkuu akaandika barua kutaka mkataba uvunjwe.
Waziri wa wizara husika na katibu wake na mwanasharia wakenda kummbembeleza aliyekua Waziri mkuu kua asivunje mkataba kwani wawo wamesha zungumza na Richmond na wameomba muda kidiogo ili wapate kutimiza jukumu lao.
Kikao cha mawaziri kiliitwa nakupashwa habari kua Richmond wamehakikisha kua wataweza kutimiza jukumu.
Waziri a kapewa go ahead na kikao na mkataba usivunjwe.
Kima cha Maji ya bwawa yalipo anza kupanda suala lile likaisha nguvu.
Na hatimaye yakatokea yaliyojiri hivisasa.
Lowassa alikua najua kinachotendeka na kaona ajitete mapema.
Baada ya yeye kuiona report yote ndipo aliposhangaa kuona kua yeye ahajaitwa na pili ile barua yake alo muandikia waziri kuhusu kuvunja mktaba haikutiwa wala hakuna maelezo yoyote yale yanohusu kuvunja mktaba.
Ina semekana kua alimpa Speaker nakala ya barua hiyo
Kilichotokea bungeni baada ya ripoti kusomwa ni kua speaker hakuongeza kitu ndipo alipoona hakuna haja ya kujitetea Nadahani katika fikra zake ali hisi kua yeye ndie kafara wa sakata hilo kwa hivyo bora jiuzulu.
Na hayo ndivyo tuonavyo sisi.
Alokuamo hatoki na asokuamo haingii