Sakata la Rambirambi Arusha: Lema aibuka na tuhuma mpya

Sakata la Rambirambi Arusha: Lema aibuka na tuhuma mpya

Mimi ningeomba Gambo aniambie kama rambi rambi iligharamia msiba je mfuko wa maafa unafanya kazi gani? Huu ni wizi wa wazi kabisaa
 
Serikali kwa kauli yake yenyewe ilisema ya kuwa itagharimia usafiri wa kupeleka miili ya marehemu, kulikoni leo tunaambiwa ya kuwa kwenye hizo pesa kuna gharama ya usafiri wa magari, huu ni uzandiki mkubwa, mwenyezi mungu anayaona yote haya yanayofanywa na serikali dharimu ya ccm, ipo siku yote haya yatakuwa hadharani hata kwa mtoto wa darasa la nne
 
Serikali ya mwaka huu inakusanya kodi hadi kwenye rambirambi
 
Serikali kwa kauli yake yenyewe ilisema ya kuwa itagharimia usafiri wa kupeleka miili ya marehemu, kulikoni leo tunaambiwa ya kuwa kwenye hizo pesa kuna gharama ya usafiri wa magari, huu ni uzandiki mkubwa, mwenyezi mungu anayaona yote haya yanayofanywa na serikali dharimu ya ccm, ipo siku yote haya yatakuwa hadharani hata kwa mtoto wa darasa la nne
Roboti wa Lumumba hili hawalioni.
 
Godbless E.J. Lema
@godbless_lema
4h
Wafiwa wengine wameanza kupigiwa simu sasa hivi baada ya taarifa yangu ya kuongea na vyombo vya habari kesho kusambaa . Ni laana kubwa hii.
View details ·
Godbless E.J. Lema
@godbless_lema

Instagram kwa mwanaharakati Mange Kimambi nako kuna tuhuma nyingine mpya kuhusiana na sakati hili baada ya wafiwa kupokea rambirambi hizo.
Mmeng'ang'ana na tuhuma msaada hakuna. Lazaro Nyalandu ka-play part kubwa kuwasaidia majeruhi ili wapate matibabu lkn wewe Lema umekalia majungu tu..!!
 
JK alivyosema Ccm kumejaa mafisi,kweli kumejaa mafisi. Watu wanakula rambirambi bila huruma.
 
Mmeng'ang'ana na tuhuma msaada hakuna. Lazaro Nyalandu ka-play part kubwa kuwasaidia majeruhi ili wapate matibabu lkn wewe Lema umekalia majungu tu..!!

Ka-play part hipi hiyo? Wale wazungu ndio wamewaokoa hao watoto kule karatu kwenye ajali.
 
MACCM ni majizi makubwa sana. Pesa zilizotolewa ni 215 milioni, Wana familia 32 kila familia imepata 3.85 milioni nyingine nyingi haya majizi yametia ndani. Yarudishe pesa za rambi rambi haraka sana haya majizi.
Watasema wamesafirishia wakati tuliona kazi zote na magari ni ya jeshi
Pia hawajasema serikali kuu na ya mkoa imetoa nini ....huko utakuta pesa ndio inepigwa kama wamedhibutu kutumia rambirambi kusema wamazitumia kwa maandalizi

Hiii ni Bukoba nyingine
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mmeng'ang'ana na tuhuma msaada hakuna. Lazaro Nyalandu ka-play part kubwa kuwasaidia majeruhi ili wapate matibabu lkn wewe Lema umekalia majungu tu..!!
Tunajua kampuni ya Nyalandu ya utalii ndio ikikuwa bahati walikuwa wameleta kundi la madaktar wa kimarekani kutaliii ndii bahati mbaya au nzuri wakakutana na ajali ,wamarekani watoaji sitaki kuamini kuwa wanataka kusafiria nyota ya watalii wa kimarekani wa nyalandu
 
Huyu lema kila jambo yeye ni siasa tu .. This is too much
 
mwenye taarifa ya mchanganua atuletee hapa wakuu....tuone kama kuna tija ya kulalamika....
 
Serikali kwa kauli yake yenyewe ilisema ya kuwa itagharimia usafiri wa kupeleka miili ya marehemu, kulikoni leo tunaambiwa ya kuwa kwenye hizo pesa kuna gharama ya usafiri wa magari, huu ni uzandiki mkubwa, mwenyezi mungu anayaona yote haya yanayofanywa na serikali dharimu ya ccm, ipo siku yote haya yatakuwa hadharani hata kwa mtoto wa darasa la nne
Serikali dhoofu bin hali inatamani hata haya mafuriko watu wangechanga...na utaona watu kimyaaaaa
Nao kimyaaaa ukiacha wabunge binafsi hakuna kiongozi wa serikali anaongelea maafa ya mafuriko labda waende kesho
Idara ya maafa ni kama haipo

Makampuni mama makubwa yaliokuwa...wachangiaji wakubwa ni kama wamegoma kuchangia maafa ...kwa tukio kama la Arusha zingeweza kuchangwa hata bilioni ..kama makampuni ya simu yangetoa help line lakini yakawa kimya

Kwa tukio...la maafa ya mafuriko hakuna dalili kama watanzania wenye moyo wa.huruma watachanga tena
Wanaogopa nini ?
 
Ila kuvamia TV Station ni Utukufu kwa Mungu!
Ila Kumsingizia Askofu anakula Unga ni Utukufu kwa Mungu!
Ila kufoji vyeti na kutumia Jina la Uwongo ni Utukufu kwa Mungu!
Ila kupokea Rushwa za Magari ya wafanyabiashara anaowatishia kuwataja ni utukufu kwa Mungu!
Ila kufanya ufuska na Masongange na kumtumia Kupush madawa ni Utukufu kwa Mungu!

My Friend hata Shetani anaonea aibu maneno yako ya Kibashite! Aka Bull Shit
Watu wanasema JPM...hakuwakilishwa arusha wakati "rais msaidizi" Bashite na..mama makamu wao walikuwapo....
 
Lema amekosa cha kufanya sasa hivi. Next time anaenda kwa Gambo kuona anavyokula aje kutuandika kwenye mtandao
 
Mheshimiwa Godbless Lema Leo anatarajia Kuongea na Vyombo vya Habari kuhusu Matumizi ya Takriban Tsh. 215,000,000/= zilivyotumika katika Maziko ya Miili ya Watu 36 na Mgao waliopata Familia katika kiasi kilichobakia.
 
mwenye taarifa ya mchanganua atuletee hapa wakuu....tuone kama kuna tija ya kulalamika....
Kama kweli zilipatikana Shilingi Milioni mia mbili na kumi na tano (215,000,000) na kila familia ikapewa Shilingi Milioni tatu laki nane na elfu hamsini (3,850,000) basi kunahitajika maelezo ya zaidi ya Shilingi Milioni tisini na moja na laki nane (91,800,000) zinatakiwa zijulikiane zilitumikaje!
 
MhLema miye nimemis mandamano bwana ebu sema machalii wa chuga tumtimbie uyo Gambo ofisini kwake atupe pesa za machalii wetu inatuuma watu wa chuga
 
Kama kweli zilipatikana Shilingi Milioni mia mbili na kumi na tano (215,000,000) na kila familia ikapewa Shilingi Milioni tatu laki nane na elfu hamsini (3,850,000) basi kunahitajika maelezo ya zaidi ya Shilingi Milioni tisini na moja na laki nane (91,800,000) zinatakiwa zijulikiane zilitumikaje!
mkuu wa mkoa anadai kuna gharama za mazishi pia...kusafirisha baadhi ya miili.. na siku ya tukio lenyewe....
najihuliza sasa.."..kama ni hivyo serikali wao walifanya lipi sasa...??.."
 
Back
Top Bottom