Alfan issa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,230
- 852
Acha akae ndani ajifunze kiaina
ha ha wapambe bwana mumetoka ikulu sasa mumeshaambiwa anafichwa afichwe tu lakini message ndio itasambaa vizuri kwa wananchi na akina lissu wengine wataendeleza libeneke munafanya viburi huku dunia inaangalia ni maskiniTumain Makene andika jina Rais kama inavyotakiwa usilete kiburi na majivuno yasiyo ya msingi....Lissu akiamuliwa kufichwa atafichwa tu hata mkienda the Hegue!
Wakati mwingne lawama hazisaidii wakati ukweli unaonekana. Huyu jamaa kakosea Wapi? Kuweka wazi kilichopo wananchi tukajua! Kuna mambo yakumlaumu huyu mtu ila kwa hili sioni lawama ya kumpa kwani si jambo la kificho wala uongo. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!Safi sana ngoja ajue kuna sheria za nchi..ukosoaji unatakiwa ufanyike kwa hekima na ata kama amelipwa commission zismtoe ufahamu awe na uzalendo na nchi yake...kwani nchi hii ikikwama anafkri JPM atakwama? JPM na familia yake wanalipwa pension maisha yao yote...atakayeteseka ni mwananchi wa chini ajifunze kwa Zimbabwe watoto wa Mugabe wanaishi maisha ya kifahari South Africa ila wananchi wake wanapata shida huyu mjinga asitegemee kumkomoa JPM ajue anawaumiza maskini
akikaa ndani si mutaendelea kulipa bombadier au mutaacha kwa sababu kasemaAcha akae ndani ajifunze kiaina
Siku yaja ambapo Sizonje atakufa mdomo wazi kama Nguruwe.Uko aendepo atageuzwa kuni.
Hivi kwanini Waziri wa Ujenzi wakati huo aliuvunja huo mkataba wa serikali na SCEL? Kwanini fedha hazikulipwa wakati zikingali dola mil. 25?Wewe unachokijua ni nini? Ninyi mshabikieni tu huyo SINGIDANI asiyekuwa na uzalenda hata chembe kwa Taifa lake, sasa hivi mashavu yanaendelea kuwa dodo kwa ajili ya kupata fedha za usaliti
sidhani kama ni maneno yametamkwa na Mtanzania!Safi sana wamlawiti kabisa huko shimoni
Walitaka agome kushuka ili wamdhuru..Lissu kawadhidi akili ktk hili....Hivi huu upumbafu wa kushushana kwenye gari utaisha lini? Kwani angepanda gari lake asingefika kituoni? Ukoloni haujaisha TZ aisee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna majipu yako kwenye mshipa wa moyo aliwahi kusema Mzee Sumaye.Kujitumbua jipu kuna raha yake! Ajaribu tuone!
Itazuia tusilipe hizo bil. 87?Umaarufu kupitia wapi labda akatoe ushauri wa kisheria segerea na ukonga. Hiyo imetoka ukirudi ina pancha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora wakutawale wazungu tu wanahurumaKutawaliwa kikoloni bila kodi na bila hela ya kutosha huku rasilimali ghafi wakizipeleka kwao,
Na kutawaliwa kiubabe na mzawa huku ukitozwa kodi na faini za ajabu na vifungo vya hapa na pale bila kutoa hoja huku kodi yako ikinunua mali nchi za watu bila kupewa taarifa na mali hzo kukamatwa kwa makosa yao wenyewe na ukiongea tu unapimwa mkojo..!!
mbona anaongea na juzi kasema vizuri mutanyamazisha maiti lakini sio binadamu tatizo munaficha kichwa kwenye mchanga kama mbuni mumeuwa muweka watu ndani mumewatupa watu wenye visandaausi bado munauwa na watu wanaendelea kusema na wataendelea maana nchi siyo dikteta Magufuli ya woteHata lema alipewa kiki na ndoto zake!
Hilo ni kosa ulilotunga kwa sababu unazozijua mwenyewe.Hivi hilo kosa la kusema makosa ya rais hadharani...
usidhani kila mtu ni bashite wewe anayeweka watu mitandaoni kwa bili za GSM wannuzi wa bombadierÀa wapi huyu anayetumia pesa anayohongwa kununua vijana wetu na kuwafanya washinde kwenye keyboards. Lazima aonje shubiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Nchi tunakoelekea Ipo siku tutagawana fito!!!
Kwako ww, mi namuona mpuuzi tu anatumia fura goal 2020.ulaji agombee urais kwa kuwaaminisha raia ye ndio kiboko ya magu.
Historia ya nchi hii inaandikwa. Pale itakapochapishwa miaka 20 ijayo wale wote wanaofanya madudu haya wataona aibu na hawatapata mahali pa kukimbiliaawamu ya tano na LISSU up dates mkuu ziendelee ili tujue kipi anatuhumiwa nacho