yusufu manji anajiandaa kugombea ubunge wa kigamboni ndio maana anafadhifi timu ya yanga ya dar es salaam....watanzania wanashabikia tu bila kujua kwamba there is no free lunch in this world.
Mimi nadhani hata mfumo wetu wa demokrasia una mushkhelo mkubwa sana hasa ukizingatia upeo mdogo wa kuelewa mambo walionao watanzania. Unaposema atayepata kura nyingi ndiye awe kiongozi. Wakati wapiga kura walio wengi ni wajinga na hawaelewi hata wanachokifanya wakati wanapiga kura, unategemea kupata kiongozi wa aina gani? Tafakari!!
mwanakijiji
mimi jana nilihudhuria mkutano wa cuf sehemu ya mabibo,lilipotajwa jina la nape vijana walishangilia saana.nafikiri uamuzi ukitoka wa comfirm kuvuliwa uanachama nape,nafikiri consequences zake zitakuwa mbaya kwa ccm mithili ya mrema februari,1995.
jiulize mrema leo yuko wapi? Nisingependa kabisa nape afuate nyazo alizopitaA mrema kwenda upinzani, abaki humo humo ccm amkome giladi kwenye vikao vyao hivyo hivyo.
Mzee kata funua...
![]()
Hivyo nakusihii mwal KITILA siku utakapokua RAIS usiwaweke kabisa akina ZITTO ktk utawala wako ila unaweza wapa wakuu wa mkoa ama wakurungenzi.
hoja dhaifu... je na huko wakivurunda? yaani ukuu wa Mkoa na Ukurugenzi ndio umeviona vyeo vidogo sana... kazi kweli kweli
hoja dhaifu... je na huko wakivurunda? yaani ukuu wa Mkoa na Ukurugenzi ndio umeviona vyeo vidogo sana... kazi kweli kweli
Utawala wetu uliobinafsishwa tunautaka,Rais asifikiri hatujui mchezo wake,asubiri muda ufike
wakuu wa mkoa hakuna kitu kwanza wanakula pesa za bure hakuna wanalofanya.
Kwa hiyo unataka Zitto, Mbowe na Mnyika "wakale pesa za bure" kwa kuwa watakuwa hawana la kufanya! Hoja nyingine bwana...