Pole ndugu,
duniani kuna wengi wenye uwezo wa kawaida wa kuelewa vizuri mambo yanayo wazunguka katika maisha yao, na penye hitaji, hawa huweza kusaidiwa wakabadilika na kuwa wazuri, wema na wenye utu na hamu ya maendeleo ya kweli kwao.
Lakini pia, kuna ambao wanazidi kupoteza uwezo wa hata kusoma mazingira na zaidi umuhimu wa mabadilikojami chanya kwao, wewe u mmoja wao. Nyie ndio zao kuu la awamu ya kipindi cha giza cha Nabii Walwa Njozi wa Burigi. Kwa kurithi takataka zote za ukatili na udhalimu mmekuwa ni hasara kubwa kwa TAIFA.
Kipindi cha kuyaong'oa haya magugumaji sasa kimeshafika. AMEN