Sakata la Mbowe kuwa na tuhuma za ugaidi isiwe sababu ya kutaka Watanzania tuamini anaonewa. Tuache mahakama iamue.

Umemjibu vizuri sana tena kwa hekima kuu.

Cc Idugunde
 
Utambue kuwa kuna watu wengi magerezani wame fungwa kwa kubambikwa kesi. Mfano mh. Sugu alifungwa baadae makama ya rufaa ikamuona hakuwa n hatia (wakati huo alisha maliza kifungo) Mbowe naviongozi wa Chadema walipigwa faini ya ml 350 au kifungo mahakama ya rufaa iliwaona hawana hatia.
 
lakini muwe mnaweka na kumbukumbu kidogo mbona hakuna hakimu aliyejitoa mwenyewe kwenye hii kesi nani alijitoa mwenyewe?
 
kwahiyo hata hii kesi akifungwa watakata rufaa akionekana hana hatia ataachiwa hata mwaka 2030 atakuwa huru maisha yanaenda byeeeeeee
 
kwahiyo hata hii kesi akifungwa watakata rufaa akionekana hana hatia ataachiwa hata mwaka 2030 atakuwa huru maisha yanaenda byeeeeeee
Wewe Gwanda linakutesa livue usingoje kuvuliwa
Amini amini nakuambia Watanganyika watawageuka kijani msiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…