TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Katibu wa halmashauri kuu ya Taifa idara ya Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kesho ataunguruma katika kituo cha televizion cha ITV katika kipindi cha asubuhi saa moja.
Katibu huyo wa Uenezi wa CCM anatarajia kuelezea juu ya kikao na maamuzi ama maazimio ya kikao cha kamati kuu ya taifa kuhusu mawaziri wa serikali ambao wameshindwa kutekeleza majukumu yao ndani ya wizara husika na kwamba kamati kuu imefikia maamuzi hayo baada ya kuwasilikiza mawaziri hao walioalikwa kwenye kikao hicho ili kujieleza.
Pamoja na kuelezea maamuzi ya kamati kuu kwa kina pia anatarajia kuzungumza sakata la uwajibikaji wa mawaziri na kujiuzulu pamoja na kuvuliwa nafasi hizo kwa baadhi ya mawaziri, ambao kutokana na makosa na utendaji ulio na mapungufu Rais wa Jamhuri ameamua kuwavua nafasi zao hizo.
wote mnakaribishwa.
Katibu huyo wa Uenezi wa CCM anatarajia kuelezea juu ya kikao na maamuzi ama maazimio ya kikao cha kamati kuu ya taifa kuhusu mawaziri wa serikali ambao wameshindwa kutekeleza majukumu yao ndani ya wizara husika na kwamba kamati kuu imefikia maamuzi hayo baada ya kuwasilikiza mawaziri hao walioalikwa kwenye kikao hicho ili kujieleza.
Pamoja na kuelezea maamuzi ya kamati kuu kwa kina pia anatarajia kuzungumza sakata la uwajibikaji wa mawaziri na kujiuzulu pamoja na kuvuliwa nafasi hizo kwa baadhi ya mawaziri, ambao kutokana na makosa na utendaji ulio na mapungufu Rais wa Jamhuri ameamua kuwavua nafasi zao hizo.
wote mnakaribishwa.