mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
Ilianza soko la K/Koo, likawaka moto na kuleta hasara kubwa kwa wafanyabuashara na Taifa kwa ujumla, pamoja na serikali kuingilia kati na kuundwa kwa kamati ya uchunguzi wa sakata hilo (Ingawa Bado hatujapewa Report ya janga hilo,, Wala wahusika kutupa angalau update tu ya suala hlo) , ghafla leo Tena soko la Karume limeteketea kwa Moto😭.
Je, Serikali kupitia kuungua kwa soko la K/Koo haikujenga solution ya moja kwa moja kwa habari ya usalama wa Masoko kuyakinga na milipuko ya Moto?
Wadau, nini kimeikumba Serikali?
Je, Mama anahujumiwa au?
Je, nini solution ya muda wote kwenye majanga ya namna hii?
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
Je, Serikali kupitia kuungua kwa soko la K/Koo haikujenga solution ya moja kwa moja kwa habari ya usalama wa Masoko kuyakinga na milipuko ya Moto?
Wadau, nini kimeikumba Serikali?
Je, Mama anahujumiwa au?
Je, nini solution ya muda wote kwenye majanga ya namna hii?
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto