Sakata la Masoko kuungua na Moto. Je, nini mwarobaini wa majanga haya?

Umeandika kama layman.Haya masoko huwa yanachomwa moto na serikali na habari huna.

Usiku huwa hakuna kabisa magari wala foleni barabarani lakini zima moto huwa hawaendi na wakienda huwa wanapaki tu na kupiga stori.

Pole kwa kuandika hadithi ndefu ambayo ni nonsense.
Serikali inachomaje masoko kwa kufaidika nini au kwa madhumuni gani?
 
Lile soko la ndungai
Haya majina ndio yanasababisha masoko yanaungua, sokoni ni sehemu ya biashara, kwa nini wasiite majina ya wafanyabiashara maarufu kama bakhresa nk?

Wanatoa majina ya wenye laanakama soko la Ndugai, kule Mbeya waliita soko mjinga why?
 
Haya masoko mengi wanayapiga viberiti mfano wakitaka kujenga soko jipya,huwa ni ngumu kuwahamisha watu au kuwazuia wasiuze Ili kupisha ujenzi,so kukwepa usumbufu na gharama hizo wanatumia njia hizo za kishetani.
Pili kuna watu wamekata bima ya moto watalipwaje pesa nzuri Ili kuongeza mitaji yao utumia njia hizo za kishetani hasara kwa wengine faida kwao.
Ukiwa kibanda Katu usipende kuweka mzigo woote dukani,dukani weka mizigo kiasi,mingi tafuta store za nje ya soko pili usiweke pesa za mauzo ndani ya frem soko likipigwa moto utalia kilio cha mbwa koko.
 
Serikali inachomaje masoko kwa kufaidika nini au kwa madhumuni gani?
Watu humu wamejadili sababu ya serikali kuchoma masoko kwenye nyuzi zaidi ya tatu tofauti tofauti hadi watu wamechoka kuandika ila bado wewe unauliza kitu hichohicho!

Ninyi ndiyo mnafanya Watanzania tunaonekana mafala hadi Rais anahamasisha na kutangaza kupitia TV ya Taifa bila aibu jinsi yeye na viongozi wenzake wamepania kulitafuna Taifa.
 
Masoko yaliyo mengi yametekelezwa na wamiliki ambao ni serikali.
Kwanza mengi yamechakaa,yamezeeka,hakuna mpngilio,ni machafu mno.Hata wire za umeme zimechakaa.
Haya masoko mpe mjapani ayasimamie awe analipa kodi.Haiwezekani mmliki wewe yaani serikali,msimamizi wa shughuli za biashara wewe.
Mtoza ushuru wewe, mkaguzi wewe,mtoa tender wewe,mujenzi wewe !!!
 
Ilianza soko la K/Koo, likawaka moto na kuleta hasara kubwa kwa wafanyabuashara na Taifa kwa ujumla, pamoja na serikali kuingilia kati na kuundwa kwa kamati ya uchunguzi wa sakata hilo (Ingawa Bado hatujapewa Report ya janga Hilo,, Wala wahusika kutupa angalau update tu ya suala hlo) , ghafla leo Tena soko la Karume limeteketea kwa Moto😭.

Je, Serikali kupitia kuungua kwa soko la K/Koo haikujenga solution ya moja kwa moja kwa habari ya usalama wa Masoko kuyakinga na milipuko ya Moto??

Wadau, nini kimeikumba Serikali??

Je, Mama anahujumiwa au??

Je, nini solution ya muda wote kwenye majanga ya namna hii??
Daaah aiseee

Screenshot_20211029-110122.png
 
Sio rahisi lina mifumo ya usalama ya kuzuia moto sio sawa na haya mazizi ya ng'ombe mengine
Tatizo Dodoma Kuna maji? Naangalia hata haya majengo mapya marefu yanayojengwa siku ikitokea Cha kutokea sijui itakuwaje Tena huko Dodoma ndio kabisa sijui watazima kwa Ile vumbi.

Mungu atunusuru tu.
 
Watu humu wamejadili sababu ya serikali kuchoma masoko kwenye nyuzi zaidi ya tatu tofauti tofauti hadi watu wamechoka kuandika ila bado wewe unauliza kitu hichohicho!

Ninyi ndiyo mnafanya Watanzania tunaonekana mafala hadi Rais anahamasisha na kutangaza kupitia TV ya Taifa bila aibu jinsi yeye na viongozi wenzake wamepania kulitafuna Taifa.View attachment 2083648
Fala ni wewe, kama kuna Uzi umejadili Nani amesema ni lazima uingie JF kila siku Kama vile ni topic ya darasani??

Unaongelea ujinga hauoni ulivyo mjinga. Imekucost Nini ungesema kwamba kuna Uzi umeongelea na ukanitag niende huko nikafanye reference???

Mnapenda ligi za kipumbavu sana huwa nakuona wa maana kumbe mjinga kabisa.nadhani tunashindwa JF masaa yote na kama umeulizea so useme au unitag huo Uzi inakuja na maneno ya kejeli as if umepata PhD kwa kusoma hizo thread.
 
Technology za kuzimia moto ni nyingi sio lazima maji pekee
Tatizo Dodoma Kuna maji? Naangalia hata haya majengo mapya marefu yanayojengwa siku ikitokea Cha kutokea sijui itakuwaje Tena huko Dodoma ndio kabisa sijui watazima kwa Ile vumbi.

Mungu atunusuru tu.
 
Technology za kuzimia moto ni nyingi sio lazima maji pekee
Okay Hawa zimamoto wetu wangekuwa walidhazitumia brother, sisi huwa wa mwisho sana kuingia kwenye technology mpya ni wazito mno huwa tu myth mbalimbali sijui no ushamba au uzito wa akili au uzito wa kufanya maamuzi.
 
Umeandika kama layman. Haya masoko huwa yanachomwa moto na serikali na habari huna.

Usiku huwa hakuna kabisa magari wala foleni barabarani lakini zima moto huwa hawaendi na wakienda huwa wanapaki tu na kupiga stori.

Pole kwa kuandika hadithi ndefu ambayo ni nonsense.
tatizo la inertia sydrome.conspiracy theorist.ulikuwa macho muda huo? au ndio kila kitu kudhania tu. do y ou hav proof
 
tatizo la inertia sydrome.conspiracy theorist.ulikuwa macho muda huo? au ndio kila kitu kudhania tu. do y ou hav proof
Kama uliyoanzisha hapa ni mahakama,mimi naanza kuleta mashahidi na huyu ni shahidi wangu namba moja.

Wewe pia leta mashihidi wako ili mwishoni hukumu itoke.
 
Watu humu wamejadili sababu ya serikali kuchoma masoko kwenye nyuzi zaidi ya tatu tofauti tofauti hadi watu wamechoka kuandika ila bado wewe unauliza kitu hichohicho!

Ninyi ndiyo mnafanya Watanzania tunaonekana mafala hadi Rais anahamasisha na kutangaza kupitia TV ya Taifa bila aibu jinsi yeye na viongozi wenzake wamepania kulitafuna Taifa.View attachment 2083648
Hahahahhah, hii nchi ina watu wa ovyo sana.Yaani hadi leo mtu hajui masoko kuwa yanapigwa kiberiti.
 
Masoko yote yanapaswa kuwa na bima dhidi ya Moto ili kuweza kuwafidia waganga Mali zao pindi itakapotokea janga la Moto.

Pia ni wakati muafaka sasa kuweka mabomba ya maji ya kizima Moto ambayo yanakupa na matenki yenye maji masaa yote kwenye masoko yote.

Tunaweza kuepuka haya matatizo endapo tutawekeza kwenye kujenga matenki makubwa kila soko ambapo maji yatatumoka sokoni Ila pia yatakuwa reserve ya kizima Moto au ndio emeriwakati magari yanakuja pawepo kianzio Cha kizima Moto.
Hayo yote uliyoeleza ni failure ya ccm.
 
Ilianza soko la K/Koo, likawaka moto na kuleta hasara kubwa kwa wafanyabuashara na Taifa kwa ujumla, pamoja na serikali kuingilia kati na kuundwa kwa kamati ya uchunguzi wa sakata hilo (Ingawa Bado hatujapewa Report ya janga Hilo,, Wala wahusika kutupa angalau update tu ya suala hlo) , ghafla leo Tena soko la Karume limeteketea kwa Moto😭.

Je, Serikali kupitia kuungua kwa soko la K/Koo haikujenga solution ya moja kwa moja kwa habari ya usalama wa Masoko kuyakinga na milipuko ya Moto?

Wadau, nini kimeikumba Serikali?

Je, Mama anahujumiwa au?

Je, nini solution ya muda wote kwenye majanga ya namna hii?
Ni mwaka wa majanga ya ajali, moto, magonjwa tukutu na ukame utakaozalisha njaa............
 
Back
Top Bottom