Sakata la maslahi ya Wabunge na hekaya ya Hilda Newton

Habari wanabodi,

Kumekuwa na trend ya muda kuhusu sakata lililoibuliwa na Mh Nicodemas Henry Maganga mbunge wa Mbongwe kuwa maslahi yao ni madogo kuliko inavyodhaniwa. Katika kuutanabaisha huu mjadala ulioleta hasira toka kwa wapiga kura.

Nimekutana na kasimulizi toka kwa Hilda Newton juu ya bwana Fulani hivi ambaye alikuwa MP na sasa ni muuza chips hapo msamvu.

Je, ni nani huyo Mheshimiwa?

Je, ni kweli maslahi yao ni madogo au matumizi yao ni makubwa?

Namnukuu Bi Hilda Newton:

"Kuna jamaa alikuwaga Mbunge 2010-2015 ila kwakuwa ilikuwa first time kushika pesa mingi kila kitu ambacho aliwahi wish kuwa nacho enzi za Ukata alihakikisha anakipata, alikuwa anaenda kula bata na Babe's nchi mbalimbali, 2015 alikosa Ubunge now yupo Moro anauza Chips pale Msamvu."
Tutajie na majina Yao tujifunze kutoka kwao . Mbona majina hamyataji

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini wanakuwa wabinafsi kabla ya kuwapigania Wafanyakazi kama Walimu, Madaktari, Manesi ambao wengi wao hawafikii hata robo ya mishahara yao wajitangulize wao ambao wanaishi maisha mazuri kabisa kutokana na mishahara na marupurupu manono? Mshahara wa milioni 12 kwa mwezi, posho ya shilingi 340,000 Kwa siku na kiinua mgongo cha zaidi ya milioni 300 kila baada ya miaka mitano?
Tusimbeze Huyo mbunge aliyetoa maoni yake tukahisi ni yeye tu kajifikiria kichwani akaja na maoni ya kuongezwa mshahara, huenda ni agenda ya wengi lakini imeletwa na Nicodemas kama kupima upepo hivi ili baadae waikomalie kwa pamoja ipitishwe na mishahara kuongezwa .
 
Yani unaongelea nyama kufika elfu 10 tena msimu wa sikukuu?

Ongelea kupanda kwa unga na mchele hapo hata bibi yako kule kijijini lazima akione cha moto
Mbona sukari na mafuta ya kupikia yalipanda mpaka basi?
Kila awamu na vimbwanga vyake.
 
Kwanini wanakuwa wabinafsi kabla ya kuwapigania Wafanyakazi kama Walimu, Madaktari, Manesi ambao wengi wao hawafikii hata robo ya mishahara yao wajitangulize wao ambao wanaishi maisha mazuri kabisa kutokana na mishahara na marupurupu manono? Mshahara wa milioni 12 kwa mwezi, posho ya shilingi 340,000 Kwa siku na kiinua mgongo cha zaidi ya milioni 300 kila baada ya miaka mitano?
Wanaoweza kupigania maslahi ya wengine ni viongozi wa huko ulaya ila sio hawa wakwetu. Sio wazungu wote wanaakili sana ila wapo wachache smart wanaopambania nchi kwa manufaa ya wote.
 
Je, ni nani huyo Mheshimiwa?

Je, ni kweli maslahi yao ni madogo au matumizi yao ni makubwa?

Namnukuu Bi Hilda Newton:

"Kuna jamaa alikuwaga Mbunge 2010-2015 ila kwakuwa ilikuwa first time kushika pesa mingi kila kitu ambacho aliwahi wish kuwa nacho enzi za Ukata alihakikisha anakipata, alikuwa anaenda kula bata na Babe's nchi mbalimbali, 2015 alikosa Ubunge now yupo Moro anauza Chips pale Msamvu."
Natamani ifike mahali tuwe na wabunge 26 tu nchi nzima na hapo kutakuwa na ushindani wa dhati kwa anayetaka kuwa mbunge lazima aoneshe deliverables, kama wakuu wa mikoa wapo kazini kila siku na wanaweza kupitia wilaya zao zote, inakuwaje wabunge wanatumitaa 20 miaka mitano inakwisha hawajamaliza kuzungukia hata halimashauri moja!!!?
 
Habari wanabodi,

Kumekuwa na trend ya muda kuhusu sakata lililoibuliwa na Mh Nicodemas Henry Maganga mbunge wa Mbongwe kuwa maslahi yao ni madogo kuliko inavyodhaniwa. Katika kuutanabaisha huu mjadala ulioleta hasira toka kwa wapiga kura.

Nimekutana na kasimulizi toka kwa Hilda Newton juu ya bwana Fulani hivi ambaye alikuwa MP na sasa ni muuza chips hapo msamvu.

Je, ni nani huyo Mheshimiwa?

Je, ni kweli maslahi yao ni madogo au matumizi yao ni makubwa?

Namnukuu Bi Hilda Newton:

"Kuna jamaa alikuwaga Mbunge 2010-2015 ila kwakuwa ilikuwa first time kushika pesa mingi kila kitu ambacho aliwahi wish kuwa nacho enzi za Ukata alihakikisha anakipata, alikuwa anaenda kula bata na Babe's nchi mbalimbali, 2015 alikosa Ubunge now yupo Moro anauza Chips pale Msamvu."
Huyo bwana ni kama namjua
 
Back
Top Bottom