Tutajie na majina Yao tujifunze kutoka kwao . Mbona majina hamyatajiHabari wanabodi,
Kumekuwa na trend ya muda kuhusu sakata lililoibuliwa na Mh Nicodemas Henry Maganga mbunge wa Mbongwe kuwa maslahi yao ni madogo kuliko inavyodhaniwa. Katika kuutanabaisha huu mjadala ulioleta hasira toka kwa wapiga kura.
Nimekutana na kasimulizi toka kwa Hilda Newton juu ya bwana Fulani hivi ambaye alikuwa MP na sasa ni muuza chips hapo msamvu.
Je, ni nani huyo Mheshimiwa?
Je, ni kweli maslahi yao ni madogo au matumizi yao ni makubwa?
Namnukuu Bi Hilda Newton:
"Kuna jamaa alikuwaga Mbunge 2010-2015 ila kwakuwa ilikuwa first time kushika pesa mingi kila kitu ambacho aliwahi wish kuwa nacho enzi za Ukata alihakikisha anakipata, alikuwa anaenda kula bata na Babe's nchi mbalimbali, 2015 alikosa Ubunge now yupo Moro anauza Chips pale Msamvu."
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app