Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

Bak, siasa ni mchezo mchafu. Ukijifanya wewe ni mtu mwema ukatetea pale ukweli ulipo huwezi kufanikiwa katika siasa. Mafanikio kwenye siasa haina maana wewe ni mtu mwema kwenye jamii, bali ina maana wewe ni mtu unajua mbinu za kujipenyeza katika njia za panya za kisiasa. Na hizi njia za panya ni pamoja na kunyamaza kimya pale ambapo unajua ukionyesha msimamo utapoteza washabiki wa upande mmoja. Hizo ndio mbinu za siasa. Mheshimiwa Lowassa ana akili nzuri sana kwenye mbinu za siasa. Kwa hiyo kwenye hili sakata la escrow nakuhakikishia hutamsikia amesema kitu. Kwanza kabisa yeye hahusiki, kwanini ajiingize. Katika maoni ya jamii kwa ujumla katika hili sakata, Lowassa ni mtu msafi, hajajihusisha na huu uovu wa Escrow. Yaani yeye hapa kukaa kimya kunampa advantage.
 
Nimefuatilia sana mjadala wa kashfa ya Escrow toka ianze, sijasikia Edward Lowassa ametoa maoni gani kuhusiana suala hili. Kulikoni?
Mkuu Amakisya, kuna aina mbili za ukimya, kuna watu wako kimya kwa sababu hawajui kitu, no research, no right to speak, wamejinyamazia!. Na kuna wakimya ambao they know too much, wakisema hapatakali!, kuliko pasikalike, wameamua bora wajinyamaziea, kuliko kusema!, huyo ndiye EL!.

Ukiona watu wanalipigia kelele sana jambo fulani, ujue hao ndio wale wasiolifahamu kwa undani!, wale wanaofahamu kila kitu, kamwe huta wasikia!.

Mfano ni kuhusu Richmond, EL baada ya kujiuzulu uliwahi kumsikia akicomment chochote kuhusu Richmond?!. Jee unajua kuna vitu kuhusu Richmond, Kamati ya Mwakyembe haikuvisema, unavijua ni vipi?!.

Ilisemwa Richmond ni kampuni hewa, ile ile mitambo, sio mitambo hewa, wamiliki sio wamiliki hewa na pesa wanazolipwa sio pesa hewa!, jee unawajua wamiliki wa Richmond?!. Jee unajua kuwa ni Richmond ile ile, ilibadili tuu jina kuwa Dowans, Ikabadili tena jina Simbioni, the rate ya capacity charges ni zile zile na rate ya kuuza umeme ni ilele na wamiliki ni wale wale and take it fro me!, ile tozo ya Dowans, iliishalipwa kimya kimya, unajua imelipwa kwa nani?!. Msiwaone watu wamejinyamazia mkadhania ni wajinga!, haya ndio mambo ambayo Watanzania wataelezwa wazi kinaga ubaga kama CCM itathubutu kumkata huyu jamaa!.

Escrow nayo ni kelele nyingi!, wengi wanadhani mmiliki wa PAP ni yule Singa Singa!, no way!, watu wanamjua mmiliki halisi wa PAP, Singa Singa ni front man tuu, kama alivyo James Rugemalila kwenye VIP, wenyewe halisi wako behind!. Majina yote mlioyaona waliotajwa kupokea pesa, ni majina ya kwenye benki ya Mkombozi tuu na fedha hizo ni 'peanut' tuu, watu wenyewe wapo, wamepokea mihela!, watu wanawajua ndio maana unawaona wako kimya!.

2015 kitu kitu kitawekwa wazi, ni ama CCM wakubali matokeo mgombea wao ni EL au wammwage kama kumwaga mboga, then atamwaga ugali na bora wote wakose!.

Silence is always golden!. Sometimes kunyamaza kimya ni bora kuliko kupayuka payuka!, EL ameamua kujinyamazia, akisubiria the most opportune moment!.

Merry X-Mass.

Pasco.
 
Lowasa ni kiongozi ambaye watanzania wengi tunamuhitaji, na kila mmoja ana mtizamo tofauti kuhusu huyu kiongozi shupavu. Kuna ambao wanasema Lowasa ana ujasiri wa kimorani haogopi mtu na ana uwezo wa kufanya maamuzi mazito ya kitaifa. Kuna wengine wanasema Lowassa ameshashiba, ameiba vya kutosha, kwa hiyo akiwa raisi sasa hana tena haja ya kuiba, bali atawadumia wananchi kwa uhakika. Wengine wanasema Lowassa ana visasi vya kulipiza, akipata uraisi basi akina Mwakyembe watakiona cha mtema kuni. Na wengine wanasema fisadi ni fisadi hawashibi, akiwa raisi Lowassa nchi imekwisha. Haya yote ni maneno tu ya mtaani, cha msingi ni mwelekeo wa upepo kwenye jamii - Ukweli ni kwamba Lowassa anaonekana kubeba nguvu kubwa ya kuwa raisi 2015. Hata hapa kwenye Jamii Forum hakuna mtu anayejadiliwa na kuzungumziwa kama Lowassa.

Captain Chui umenena ukweli mtupu. Kwenye like la kulipiza kisasi Lowassa hayupo. Mbona Kama MTU mcha Mungu kesha same he wengi! Usisahau pia statement yake wakati alipoachia ngazi "sisi wote hapa ni wanasiasa, tukiendelea kuzuliana uongo hakuna mwanasiasa atakaye simama".

Rejea mabadiliko kwenye baraza la mawaziri! Kuna walionewa mfano nzuri kabisa ni kagasheki! Haya yote yanadhirishe mfumo na utawala dhaifu! Katika kuchagua kiongozi mkuu wa nchi hakuna budi kuwa makini na kuhakikisha kuwa haturudii makosa tuliyoyafanya awali!.

Je Kama Lowassa angekuwa kiongozi dhaifu hasingejadiliwa kila siku! Jina Lowassa likiunganishwa linavyo tajwatajwa kila siku na kuandikwa kila siku likiunganishwa limeshafikia zaidi ya kilometa 13000. He hii inaashiria nini?
 
Hapatakalika kwa maslahi ya nani? Kwa maslahi ya Watanzania au kwa maslahi ya Kikwete!? Huku ndio kulindana ambako Watanzania tumechoshwa nako. Kama hajui kitu aseme sijui kitu. Kama analo analolijua basi aweke hadharani kila kitu kwa faida ya Watanzania wote badala ya kukaa kimya katika juhudi za kulindana huku ncchi ikizidi kwenda mrama hata wafadhili kuanza kugomea kutoa misaada yao baada ya kuona sheria za nchi zinapindishwa ili kulindana katika wizi mkubwa wa zaidi ya bilioni 300 na madudu mengine chungu nzima miaka ya nyuma.

Mkuu Amakisya, kuna aina mbili za ukimya, kuna watu wako kimya kwa sababu hawajui kitu, no research, no right to speak, wamejinyamazia!. Na kuna wakimya ambao they know too much, wakisema hapatakali!, kuliko pasikalike, wameamua bora wajinyamaziea, kuliko kusema!, huyo ndiye EL!.

Ukiona watu wanalipigia kelele sana jambo fulani, ujue hao ndio wale wasiolifahamu kwa undani!, wale wanaofahamu kila kitu, kamwe huta wasikia!.

Mfano ni kuhusu Richmond, EL baada ya kujiuzulu uliwahi kumsikia akicomment chochote kuhusu Richmond?!. Jee unajua kuna vitu kuhusu Richmond, Kamati ya Mwakyembe haikuvisema, unavijua ni vipi?!.

Ilisemwa Richmond ni kampuni hewa, ile ile mitambo, sio mitambo hewa, wamiliki sio wamiliki hewa na pesa wanazolipwa sio pesa hewa!, jee unawajua wamiliki wa Richmond?!. Jee unajua kuwa ni Richmond ile ile, ilibadili tuu jina kuwa Dowans, Ikabadili tena jina Simbioni, the rate ya capacity charges ni zile zile na rate ya kuuza umeme ni ilele na wamiliki ni wale wale and take it fro me!, ile tozo ya Dowans, iliishalipwa kimya kimya, unajua imelipwa kwa nani?!. Msiwaone watu wamejinyamazia mkadhania ni wajinga!, haya ndio mambo ambayo Watanzania wataelezwa wazi kinaga ubaga kama CCM itathubutu kumkata huyu jamaa!.

Escrow nayo ni kelele nyingi!, wengi wanadhani mmiliki wa PAP ni yule Singa Singa!, no way!, watu wanamjua mmiliki halisi wa PAP, Singa Singa ni front man tuu, kama alivyo James Rugemalila kwenye VIP, wenyewe halisi wako behind!. Majina yote mlioyaona waliotajwa kupokea pesa, ni majina ya kwenye benki ya Mkombozi tuu na fedha hizo ni 'peanut' tuu, watu wenyewe wapo, wamepokea mihela!, watu wanawajua ndio maana unawaona wako kimya!.

2015 kitu kitu kitawekwa wazi, ni ama CCM wakubali matokeo mgombea wao ni EL au wammwage kama kumwaga mboga, then atamwaga ugali na bora wote wakose!.

Silence is always golden!. Sometimes kunyamaza kimya ni bora kuliko kupayuka payuka!, EL ameamua kujinyamazia, akisubiria the most opportune moment!.

Merry X-Mass.

Pasco.
 
Niliuliza hili swali jana, mtu akanijibu lakini sikupata jibu. Huyu atakaye nafasi ya Urais kuanzia 2015 kaminya kabisa kwenye hii issue ambayo sasa hivi inazungumzwa kila kona ya nchi yetu. Je, anakubalina na ripoti za CAG na PCCB kwamba ile pesa ni ya umma, lazima pesa yote irudishwe na wahusika wafunguliwe mashtaka? au anakubaliana na Kikwete kwamba ile pesa ni ya IPTL? Kama anashindwa kutoa kauli katika issue nzito kama hii kuonyesha msimamo wake katika kutetea maslahi ya Watanzania ataweza kutetea lolote linalohusiana na maslahi ya Tanzania na Watanzania?
Wanaoongea sana na kupiga mikelele ni wale tuu wasiojua, wanaojua wako kimya!. The highest authority ni this country is The President of URT, kashasema pesa ni IPTL!, kauli ya rais ndio ya mwisho!. EL anajua kila kitu kwa uhalisia wake kilivyo!, anamjua sio tuu mmiliki halisi wa PAP, bali hata mmiliki wa Simbion!. Anasubiria the most opportune movement, ule wakati tutakapo lifikia daraja, ndipo tutajadili tutavukaje!.

Kuna watu wanapiga kele za furahisha genge, ila simba mwenda kimya ndie mla nyama!.

Hongera sana EL kwa kukaa kimya kwenye sakata hili la escrow!.
Endelea na ukimya hivi hivi kama ulivyojinyamazia kwenye Richmond!.

Sisi tunasubiria tuu jinsi Mungu alivyodhamiria kuonyesha utukufu wake kupitia EL, pale atakapoonyesha jinsi
"Jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni", na ili litimie lile neno "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu nitalijenga taifa langu!".

Merry X Mass.

Pasco.
 
Mkuu Amakisya, kuna aina mbili za ukimya, kuna watu wako kimya kwa sababu hawajui kitu, no research, no right to speak, wamejinyamazia!. Na kuna wakimya ambao they know too much, wakisema hapatakali!, kuliko pasikalike, wameamua bora wajinyamaziea, kuliko kusema!, huyo ndiye EL!.

Ukiona watu wanalipigia kelele sana jambo fulani, ujue hao ndio wale wasiolifahamu kwa undani!, wale wanaofahamu kila kitu, kamwe huta wasikia!.

Mfano ni kuhusu Richmond, EL baada ya kujiuzulu uliwahi kumsikia akicomment chochote kuhusu Richmond?!. Jee unajua kuna vitu kuhusu Richmond, Kamati ya Mwakyembe haikuvisema, unavijua ni vipi?!.

Ilisemwa Richmond ni kampuni hewa, ile ile mitambo, sio mitambo hewa, wamiliki sio wamiliki hewa na pesa wanazolipwa sio pesa hewa!, jee unawajua wamiliki wa Richmond?!. Jee unajua kuwa ni Richmond ile ile, ilibadili tuu jina kuwa Dowans, Ikabadili tena jina Simbioni, the rate ya capacity charges ni zile zile na rate ya kuuza umeme ni ilele na wamiliki ni wale wale and take it fro me!, ile tozo ya Dowans, iliishalipwa kimya kimya, unajua imelipwa kwa nani?!. Msiwaone watu wamejinyamazia mkadhania ni wajinga!, haya ndio mambo ambayo Watanzania wataelezwa wazi kinaga ubaga kama CCM itathubutu kumkata huyu jamaa!.

Escrow nayo ni kelele nyingi!, wengi wanadhani mmiliki wa PAP ni yule Singa Singa!, no way!, watu wanamjua mmiliki halisi wa PAP, Singa Singa ni front man tuu, kama alivyo James Rugemalila kwenye VIP, wenyewe halisi wako behind!. Majina yote mlioyaona waliotajwa kupokea pesa, ni majina ya kwenye benki ya Mkombozi tuu na fedha hizo ni 'peanut' tuu, watu wenyewe wapo, wamepokea mihela!, watu wanawajua ndio maana unawaona wako kimya!.

2015 kitu kitu kitawekwa wazi, ni ama CCM wakubali matokeo mgombea wao ni EL au wammwage kama kumwaga mboga, then atamwaga ugali na bora wote wakose!.

Silence is always golden!. Sometimes kunyamaza kimya ni bora kuliko kupayuka payuka!, EL ameamua kujinyamazia, akisubiria the most opportune moment!.

Merry X-Mass.

Pasco.

Pasco I share the same opinion with you. Ukweli huu unawaumiza wengi na hasa wale wanaotaka kusimika uongozi na mfumo dhaifu ili wapate nafasi nzuri ya looting!

Nilishawahi kusema humu jamvini watu wanaugua magonjwa ya ajabu wanasingizia wamepewa simu. Kwa nini wasifikirie ukoma walionao ni kwa ajili ya kuwadanganya watanzania Kwa kuficha ukweli kuhusu madudu ya Wa kubwa wao? Rejea maandiko matakatifu mambo Kama haya yameshawahi kutokea enzi na karne hizi!
 
Anayeweza kuushinda ufisadi Tanzania ni yule mtemi wa mafisadi ambaye ameamua kuwageuka mafisadi wanzake na kuwapiga vita. Hii ndio dua ya watanzania, amini usiamini. Na watanzania wengi wanamuomba tu Mungu kwamba Lowassa ndiye huyo mtemi wa Mafisadi ambaye ameasi ufisadi. Ninyi wote mnaopiga makelele humu ni kazi bure tu. Hata mkipewa uraisi sasa hivi hakuna kitu mtaweza kufanya. Mafisadi wamekamata kila pembe ya Bongoland, wewe na usafi na uaminifu wako utaanzia wapi. Watakumalizia mbali. Kwa hiyo jumuika na wengi wanaooba dua Lowasa awe raisi, At least there is a 50/50 chance. Kama kweli ameshauasi ufisadi basi nchi itaneemeka. Otherwise the country is dead.
 
Hapatakalika kwa maslahi ya nani? Kwa maslahi ya Watanzania au kwa maslahi ya Kikwete!? Huku ndio kulindana ambako Watanzania tumechoshwa nako. Kama hajui kitu aseme sijui kitu. Kama analo analolijua basi aweke hadharani kila kitu kwa faida ya Watanzania wote badala ya kukaa kimya katika juhudi za kulindana huku ncchi ikizidi kwenda mrama hata wafadhili kuanza kugomea kutoa misaada yao baada ya kuona sheria za nchi zinapindishwa ili kulindana katika wizi mkubwa wa zaidi ya bilioni 300 na madudu mengine chungu nzima miaka ya nyuma.
There is time for everything, kumbuka the 'hastily climbers have a sudden fall!, na "mwenye pupa, hadiriki kula tamu!", watu hawana haraka kabisa, "haraka haraka haina baraka", na "subira yavuta heri", endelea tuu kuwa mvumilivu kwa sababu "mvumilivu hula mbivu!, acha papa ili ule tamu!.

EL anajua kila kitu, ila anasubiria for the most opportune moment!, atasema yote, huu sio wakati wakati wake, kinachoendelea sasa ni tumeianza tuu safari, tukifika darajani ndipo tutajadili namna ya kuvuka na mtajua kila kitu hadi the slightes details!.

Merry X-mass,

Pasco.
 
Naaahhhh! THE TIME IS NOW!!! Mbona alikuwa mwepesi kupita nyumba za ibada kutoa rushwa za mamilioni ili viongozi wa dini wampigie debe kwa waumini wao!? Sasa hivi inakuwaje kwenye hii issue anapata kigugumizi!?

There is time for everything, kumbuka the 'hastily climbers have a sudden fall!, watu hawana haraka, "harska haraka haina baraka", na "subira yavuta heri", endelea tuu kuwa mvumilifu kwa sababu "mvumilivu hula mbivu!.

EL anajua kila kitu, ila anasubiria for the most opportune moment!, atasema yote, huu sio wakati wakati wake, kinachoendelea sasa ni tumeianza tuu safari, tukifika darajani ndipo tutajadili namna ya kuvuka na mtajua kila kitu hadi the slightes details!.

Merry X-mass, Pasco.
 
Naaahhhh! THE TIME IS NOW!!! Mbona alikuwa mwepesi kupita nyumba za ibada kutoa rushwa za mamilioni ili viongozi wa dini wampigie debe kwa waumini wao!? Sasa hivi inakuwaje kwenye hii issue anapata kigugumizi!?
The time is not now!, saa hizi ndia kwanza ameianza safari!. Muda muafaka ukifika, atasema kila kitu!.

Pasco.
 
kipimo namba moja kwa wanaotaka Urais wa nchi hii hupo hapo kwenye pesa za Escrow, anakemea waliopewa mgao kwa nguvu gani, huo ni muelekezo wetu sisi kina gogo la shamba,hivyo yeyote anaetaka kugombea urais lazima asikike wazi yuko upande gani. hiyo ni faida tu,tunawapeni wataka urais
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndio wale wale katika hesabu zao za kulindana, nchi iko katika sakata kubwa la wizi wa mabilioni chungu nzima mgombea Urais anaikimbia issue utadhani naye alihusika kuchukua mgao. Hapa angeongea angejizolea points chungu nzima kama angeonyesha utetezi wake kwenye maslahi ya Tanzania na Watanzania ili kuhakikisha pesa zote zinarudi, wahusika wawajibishwe kwa kufuata sheria za nchi, lakini kaamua kuwa kimya kabisa. Inaonyesha ni jinsi gani hawa wanaojiita viongozi ndani ya chama chenu cha wahuni walivyo wanafiki inapokuja kwenye kutetea maslahi ya nchi.

The time is not now!, saa hizi ndia kwanza ameianza safari!. Muda muafaka ukifika, atasema kila kitu!.

Pasco.
 
Kuna researchers and fact finders, kuna political analysts, kuna social activists, kuna environmental activists, kuna military strategists, kuna complainers, na kuna POLITICAL STRATEGISTS. Wewe ni nani hapa. Kile ninachojua mimi ni kwamba Lowassa ni Polical Strategist. Tungoje 2015, time will tell.
 
Mkuu Amakisya, kuna aina mbili za ukimya, kuna watu wako kimya kwa sababu hawajui kitu, no research, no right to speak, wamejinyamazia!. Na kuna wakimya ambao they know too much, wakisema hapatakali!, kuliko pasikalike, wameamua bora wajinyamaziea, kuliko kusema!, huyo ndiye EL!.

Ukiona watu wanalipigia kelele sana jambo fulani, ujue hao ndio wale wasiolifahamu kwa undani!, wale wanaofahamu kila kitu, kamwe huta wasikia!.

Mfano ni kuhusu Richmond, EL baada ya kujiuzulu uliwahi kumsikia akicomment chochote kuhusu Richmond?!. Jee unajua kuna vitu kuhusu Richmond, Kamati ya Mwakyembe haikuvisema, unavijua ni vipi?!.

Ilisemwa Richmond ni kampuni hewa, ile ile mitambo, sio mitambo hewa, wamiliki sio wamiliki hewa na pesa wanazolipwa sio pesa hewa!, jee unawajua wamiliki wa Richmond?!. Jee unajua kuwa ni Richmond ile ile, ilibadili tuu jina kuwa Dowans, Ikabadili tena jina Simbioni, the rate ya capacity charges ni zile zile na rate ya kuuza umeme ni ilele na wamiliki ni wale wale and take it fro me!, ile tozo ya Dowans, iliishalipwa kimya kimya, unajua imelipwa kwa nani?!. Msiwaone watu wamejinyamazia mkadhania ni wajinga!, haya ndio mambo ambayo Watanzania wataelezwa wazi kinaga ubaga kama CCM itathubutu kumkata huyu jamaa!.

Escrow nayo ni kelele nyingi!, wengi wanadhani mmiliki wa PAP ni yule Singa Singa!, no way!, watu wanamjua mmiliki halisi wa PAP, Singa Singa ni front man tuu, kama alivyo James Rugemalila kwenye VIP, wenyewe halisi wako behind!. Majina yote mlioyaona waliotajwa kupokea pesa, ni majina ya kwenye benki ya Mkombozi tuu na fedha hizo ni 'peanut' tuu, watu wenyewe wapo, wamepokea mihela!, watu wanawajua ndio maana unawaona wako kimya!.

2015 kitu kitu kitawekwa wazi, ni ama CCM wakubali matokeo mgombea wao ni EL au wammwage kama kumwaga mboga, then atamwaga ugali na bora wote wakose!.

Silence is always golden!. Sometimes kunyamaza kimya ni bora kuliko kupayuka payuka!, EL ameamua kujinyamazia, akisubiria the most opportune moment!.

Merry X-Mass.

Pasco.

pasco uko vizuri nmekumanya
 
Matunda yapi aliyonayo EL? Matunda ya mfumo wa rushwa? Bora serikali ya mkoloni kuliiko ya wala Rushwa weusi wenzetu.waulize SA wanajuta kumchagua Zuma.
 
Mkuu Amakisya, kuna aina mbili za ukimya, kuna watu wako kimya kwa sababu hawajui kitu, no research, no right to speak, wamejinyamazia!. Na kuna wakimya ambao they know too much, wakisema hapatakali!, kuliko pasikalike, wameamua bora wajinyamaziea, kuliko kusema!, huyo ndiye EL!.

Ukiona watu wanalipigia kelele sana jambo fulani, ujue hao ndio wale wasiolifahamu kwa undani!, wale wanaofahamu kila kitu, kamwe huta wasikia!.

Mfano ni kuhusu Richmond, EL baada ya kujiuzulu uliwahi kumsikia akicomment chochote kuhusu Richmond?!. Jee unajua kuna vitu kuhusu Richmond, Kamati ya Mwakyembe haikuvisema, unavijua ni vipi?!.

Ilisemwa Richmond ni kampuni hewa, ile ile mitambo, sio mitambo hewa, wamiliki sio wamiliki hewa na pesa wanazolipwa sio pesa hewa!, jee unawajua wamiliki wa Richmond?!. Jee unajua kuwa ni Richmond ile ile, ilibadili tuu jina kuwa Dowans, Ikabadili tena jina Simbioni, the rate ya capacity charges ni zile zile na rate ya kuuza umeme ni ilele na wamiliki ni wale wale and take it fro me!, ile tozo ya Dowans, iliishalipwa kimya kimya, unajua imelipwa kwa nani?!. Msiwaone watu wamejinyamazia mkadhania ni wajinga!, haya ndio mambo ambayo Watanzania wataelezwa wazi kinaga ubaga kama CCM itathubutu kumkata huyu jamaa!.

Escrow nayo ni kelele nyingi!, wengi wanadhani mmiliki wa PAP ni yule Singa Singa!, no way!, watu wanamjua mmiliki halisi wa PAP, Singa Singa ni front man tuu, kama alivyo James Rugemalila kwenye VIP, wenyewe halisi wako behind!. Majina yote mlioyaona waliotajwa kupokea pesa, ni majina ya kwenye benki ya Mkombozi tuu na fedha hizo ni 'peanut' tuu, watu wenyewe wapo, wamepokea mihela!, watu wanawajua ndio maana unawaona wako kimya!.

2015 kitu kitu kitawekwa wazi, ni ama CCM wakubali matokeo mgombea wao ni EL au wammwage kama kumwaga mboga, then atamwaga ugali na bora wote wakose!.

Silence is always golden!. Sometimes kunyamaza kimya ni bora kuliko kupayuka payuka!, EL ameamua kujinyamazia, akisubiria the most opportune moment!.

Merry X-Mass.

Pasco.
Nakuheshimu sana ila ngoja niseme kitu, kwa hiyo kujua huko anakutumia kama turufu ya yeye kuwa kiongozi baas akipitishwa anaweka rehani maisha ya watanzania kwa kukaa kimya??????

Wakimtosa anamwaga mboga sababu yeye kakosa na sio sababu ni muhimu watu kujua???!!

So unadhani akimwaga mboga watanzania watakosa maamuzi ya busara na kufuata mkumbo wake kama unavyofuata wewe na wenzako??!!

Akili gani hii kwa mtu mzima kama wewe???!!!!
Anayeficha mwizi ni mwizi tu hamna lugha mbadala hapo!!
Kama unahakikisha hapa kuwa anawajua na hawataji kwa sababu binafsi za madaraka basi hana nia njema sababu anamtunza muharibifu! !!!
 
Back
Top Bottom