Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

Huwezi kuwa msemaji wa watanzania fanya yako wala usitusemee unasumbuliwa njaa tu.
 
Ina maana Rais hakujua juu ya wizi huo?

Huyu mnyama IPTL kwa nini serikali isivunje mkataba wake...hata ikiilipa gharama za kuvunja mkataba si mbaya!

Wanamwandaa Naibu waziri eti wamtoe kafara!!!!! aise!
 
you cannot talk development without making comparison and you cannot making comparison without interaction according to karl marx,,now Tanzania become the house of all pigs to engulf the borus,,,changes it come if people just they change themselves
 
Acha uongo we msukule. mods futa huu uzi haraka, hauna maana
Tulieni enyi ukoo wa panya mjifie vizuri mithili ya panya wanaofia kwenye gunia lenye udaga wa sumu.

attachment.php
 
Richmond, Symbion, IPTL, ESCROW, ni kitu kile kile. Lowasa na macc yote ni yale yale tu.

Ccm kwa heri.

Sakata la ESCROW limewakumbusha Watanzania walio wengi sakata la Richmond ambalo ndilo lililomtoa Lowasa madarakani. Watanzania taratibu walianza kusahau ufisadi wa Richmond na kuanza kumuunga mkono Lowasa, lakini baada ya kutokea Sakata la ESCROW sasa Watanzania wamekumbuka kuwa ndani ya CCM uwezi kupata kiongozi mwadirifu, hakika Watanzania wakisikia sakata la ESCROW wanaanza kumchukia Lowasa kwa kuwa na yeye alitolewa madrakani kwa sakata kama hili, kwa kuwa nalo linahusisha TANESCO, kweli hii inakumbushia machungu ya RICHMOND. Ukitazama kwa undani ESCROW ni mtoto wa Richmond. Richmond kidogo imilikishwe kwa IPTL, lakini Richmond ikazaa Symbion, Sasa ESROW ni account ya IPTL.
 
Hospitali hakuna dawa....soon watanzania wataanza kuputika kama kipindi cha ngomo wa madaktari. Mkuru yeye haaaa yuko zake US hata hajui kuna Escrow mtoto wa Richmond.

Pro. JK atayajulia wapi wakati yeye hospital zake anazotibiwa zipo USA yeye pamoja na familia yake yote na kwa wale viongozi wake wakuu wengi wao wanatibiwa India
 
Mgaagaana upwa hali wali mkavu, ccm kila dili ya kupiga lazma ichungulie tanesco maana mifuko ya jamii imeibakiza mifupa
 
Ina maana Rais hakujua juu ya wizi huo?

Huyu mnyama IPTL kwa nini serikali isivunje mkataba wake...hata ikiilipa gharama za kuvunja mkataba si mbaya!

Wanamwandaa Naibu waziri eti wamtoe kafara!!!!! aise!

Mijizi ya serikalini inayonufaika na mkataba huu hawawezi kukubali kuuvunja mkataba! Kwa kufanya hivyo watakuwa wamemchinja ng'ombe wao wa maziwa!
 
Kwani LOWASA ni waziri mkuu kwa sasa au unaogopa kusema MIZENGO nae ajihudhuru? Kiujumla yote haya ni uchafu na mwendelezo wa ufisadi wa CCM na SERIKALI yake.
 
=>>kila ajaye! mwisho mwishoni lazima akombe chungu amwachie ajaye sifuri why?
 
Sakata la ESCROW limewakumbusha Watanzania walio wengi sakata la Richmond ambalo ndilo lililomtoa Lowasa madarakani. Watanzania taratibu walianza kusahau ufisadi wa Richmond na kuanza kumuunga mkono Lowasa, lakini baada ya kutokea Sakata la ESCROW sasa Watanzania wamekumbuka kuwa ndani ya CCM uwezi kupata kiongozi mwadirifu, hakika Watanzania wakisikia sakata la ESCROW wanaanza kumchukia Lowasa kwa kuwa na yeye alitolewa madrakani kwa sakata kama hili, kwa kuwa nalo linahusisha TANESCO, kweli hii inakumbushia machungu ya RICHMOND. Ukitazama kwa undani ESCROW ni mtoto wa Richmond. Richmond kidogo imilikishwe kwa IPTL, lakini Richmond ikazaa Symbion, Sasa ESROW ni account ya IPTL.
we unanunka masaburi
 
Back
Top Bottom