Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

Gambamala

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2014
Posts
1,045
Reaction score
766
Sakata la ESCROW limewakumbusha Watanzania walio wengi sakata la Richmond ambalo ndilo lililomtoa Lowasa madarakani. Watanzania taratibu walianza kusahau ufisadi wa Richmond na kuanza kumuunga mkono Lowasa, lakini baada ya kutokea Sakata la ESCROW sasa Watanzania wamekumbuka kuwa ndani ya CCM uwezi kupata kiongozi mwadirifu, hakika Watanzania wakisikia sakata la ESCROW wanaanza kumchukia Lowasa kwa kuwa na yeye alitolewa madrakani kwa sakata kama hili, kwa kuwa nalo linahusisha TANESCO, kweli hii inakumbushia machungu ya RICHMOND. Ukitazama kwa undani ESCROW ni mtoto wa Richmond. Richmond kidogo imilikishwe kwa IPTL, lakini Richmond ikazaa Symbion, Sasa ESROW ni account ya IPTL.
 
Mara hii walikuwa wamesahau ufasdi wa EL....wakasahau pia kuwa Richmond yake bado iliendelea kuvuna pesa za watanzania hata ilipokuwa inegundilika kuwa ni kampuni ya kitapeli...?
 
Acha uongo we msukule. mods futa huu uzi haraka, hauna maana
 
Hospitali hakuna dawa....soon watanzania wataanza kuputika kama kipindi cha ngomo wa madaktari. Mkuru yeye haaaa yuko zake US hata hajui kuna Escrow mtoto wa Richmond.
 
Hv nyie maruhan pinda anawatisha sana kuliko hata ufisad na unyang'anyi wenu sio?ole wenu....yaaan ni hv nguvu nyingi mmezihamishia huku kwa kuwa mmeona ni threat!!!!sasa ole wenu.....yo days are numbered....i repear siku zenu zinahesabika.....tht err of corruption and undespicable robbery in slowly counting off.
 
wote ni wezi serikali isifunge macho ifungue ione na ijiulize kw hali hii tutafika wapi na nchi hii
 
LOWASSA THE KING...of all...ESCROW NI YA PINDA...so just go on to publish PM negatively with ur empty minded...!!!
 
Back
Top Bottom