Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

EL ni jembe,yani ni kati wanasiasa adimu DUNIANI ambao wanaweza kufanya kwa vitendo kuliko maneno.Ana uwezo wa kumuangalia mtendaji aliyevurunda usoni kwa jicho kavu na akiwa mkakamavu na kumwambia hivi SIYO sawa!Hapa No!Hao ndo viongozi tunaowahitaji ili nchi iwe na discipline.Kiongozi mmoja tu nafasi ya Raisi anayehitajika ku influence mabadiliko ya mifumo na tabia za viongozi wa nchi hii na tabia jamii.Lowassa hoyeeeee!
 
EL ni jembe,yani ni kati wanasiasa adimu DUNIANI ambao wanaweza kufanya kwa vitendo kuliko maneno.Ana uwezo wa kumuangalia mtendaji aliyevurunda usoni kwa jicho kavu na akiwa mkakamavu na kumwambia hivi SIYO sawa!Hapa No!Hao ndo viongozi tunaowahitaji ili nchi iwe na discipline.Kiongozi mmoja tu nafasi ya Raisi anayehitajika ku influence mabadiliko ya mifumo na tabia za viongozi wa nchi hii na tabia jamii.Lowassa hoyeeeee!

Ndio inatakiwa hapa sasa kwenye sintofahamu hizo sifa zitamalaki
 
Nonsense huna hoja kwani unaishi wapi wewe inaonekana hata hujui kile kinaendela,nenda kajipange upya then urudi
 
Moderator muwe mnaangalia maudhui sababu wengine nyuzi za majungu huwa hatuchangii sasa mnapoingiza comments zilizopostiwa kwenye uzi A baada ya kuwa merged na uzi C nyingine zinakuwa irrelevant na kuharibu mtiririko wa uzi!!!

Kwa mamlaka mliyonayo anzisheni matching item forum ili watu wawe wanaweka post za X zinazomatch na Y!!! Ili hii haja yenu ya ku merge iwe na maana la sivyo mna abuse mamlaka yenu kwa kufanya mambo bila umakini!!!

Sasa kama huu uzi umebeba ule wa ukimya wa mtajwa kweli kimantiki mnaona ziko sawa????!! Mmekaa na kushauriana zaid ya mtu mmoja na kuona kuna logic ya kuziunga???!!!!

Mnahitaji kuwa makini zaidi
 
Last edited by a moderator:
Toka Lini Mwizi akawakemea majizi wenzake? Lowasa ni fisadi, yeye na jk ndio waasisi wa hili jini la richmond then escrow
 
Sakata la ESCROW limewakumbusha Watanzania walio wengi sakata la Richmond ambalo ndilo lililomtoa Lowasa madarakani. Watanzania taratibu walianza kusahau ufisadi wa Richmond na kuanza kumuunga mkono Lowasa, lakini baada ya kutokea Sakata la ESCROW sasa Watanzania wamekumbuka kuwa ndani ya CCM uwezi kupata kiongozi mwadirifu, hakika Watanzania wakisikia sakata la ESCROW wanaanza kumchukia Lowasa kwa kuwa na yeye alitolewa madrakani kwa sakata kama hili, kwa kuwa nalo linahusisha TANESCO, kweli hii inakumbushia machungu ya RICHMOND. Ukitazama kwa undani ESCROW ni mtoto wa Richmond. Richmond kidogo imilikishwe kwa IPTL, lakini Richmond ikazaa Symbion, Sasa ESROW ni account ya IPTL.

Kakojoe ulale ukimaliza hii ndoto
 
Pasco unamaanisha kuwa EL ataendelea kukaa na yale ayajuayo moyoni pale CCM itakapomchagua kuwa mgombea? Kwa maana nyingine ataendelea kuwalinda wenzake kwa kuwa wamempa ulaji wa Urais hivyo malipo yake kwao ni kuwasamehe mabaya na ufisadi walioutenda na ambao kwa sasa anaujua lkn anaficha? Kama ni hivyo EL ni business as usual na hatufai. Dhamira ya dhati ya kulikomboa Taifa hili haipo kwake na ataendeleza Siasa zilezile zilizotufikisa hapa tulipo.
Vitu vingine hatusemi, ni mipango ya siri, ukiiweka wazi, utaharibu, ila naomba nikunongoneze, ila watu wasisikie
, "wale wote waliotufikisha hapa na kulifikisha hapa taifa letu, tutawanyo... bila huruma!"

Pasco
 
Naona team Membe na Pinda mmeishiwa sera mnaanza kuibua vioja!!Msitake kulazimisha uzushi kuwa ukweli!Ni mahakama ipi iliowahi kumhukumu Lowasa kwa kosa la ufisadi wa mali za umma!!Mm naona ifike wakati sasa muwe creative kuwanadi watu wenu wasiouzika hata kwa THUMNI mbele za jamii!!Ukweli ulio wazi ni kuwa Jf na majungu yenu haiwezi wala hajaweza kuwachagulia watanzania rais wamtakao!!Mtaendesha majungu yenu ya kutafuta kila aina ya uchafu kumchafua EL but uraini jamaa anakubalika sana na nawaambieni mtaumbuka kwani EL ndo rais wa JMT mwaka 2015/2025!Mtabaki na majungu yenu na viongozi wenu wasiouzika!Ushauri wa bure "tafuteni hoja zingine hizi za ufisadi mnazojitahidi kupaka kila aina ya rangi ionekane mpya tumeshachoka nayo na hakuna asiyejua ukweli na hata kwa wale ambao bado watajua muda ukifika"!
TULIFURAHI PAMOJA, TULIHUZUNIKA PAMOJA, TUTASONGA MBELE PAMOJA NA TUTASHINDA
 
Pinda October 2015 hatoboi we mwache atufanye sisi Wang..ese scandals kibao zinakuja lazima tumpige chini.
 
Kitengo cha Itikadi pale kwa membeeee mtashindwa sana kabla ya mwana mmpya Lazima mchanganyikiwe
 
Toka Lini Mwizi akawakemea majizi wenzake? Lowasa ni fisadi, yeye na jk ndio waasisi wa hili jini la richmond then escrow
Mkuu nakuomba tukamuombe Mzee Mangula agombee Uraisi wa nchi yetu Tg!
 
Ahsante sana Mkuu OLESAIDIMU kwa kuliona hilo. Njaa mbaya sana unaweza kuuza hata utu wako ili ugange njaa.

Huyo Pasco ameamua kujitoa fahamu na kuandika as if kinachoongelewa hapa ni hisa za kampuni!!!
Anaongelea personal gains za mgombea wake na tricke down effect ya hilo baasi!!

Hawa ndio watu wanaopigia debe watu fulani you can see the motive easily!!!
 
Last edited by a moderator:
Sakata la ESCROW limewakumbusha Watanzania walio wengi sakata la Richmond ambalo ndilo lililomtoa Lowasa madarakani. hakika Watanzania wakisikia sakata la ESCROW wanaanza kumchukia Lowasa kwa kuwa na yeye alitolewa madrakani kwa sakata kama hili, kwa kuwa nalo linahusisha TANESCO.
Mkuu Gambamali, usemayo ni kweli, ila wewe ndio hujui, sakata la Escrow ndilo limewafungua macho Watanzania kuujua ukweli wa Richmond, kuwa kumbe Lowassa alionewa!. Escrow inamsafisha EL na kumtakatika, kama kwenye escrow, imeweza kupita bila watu kuwajibishwa, then kwa nini Richmond walimtoa EL?!.

Hii escrow ndio mpango mzima kuelekea 2015!.

Merry X Mass.

Pasco.
 
Back
Top Bottom