tetere
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 963
- 430
Hadi hapo wana mageuzi watakapotambua kuwa NGUVU YA CCM NA SERIKALI iko kwenye mahusiano yao na TISS, tusitegemee mabadiliko makubwa katika nyanja yeyote Tanzania.
1. Waandishi wa habari wamewategemea sana watu wa TISS kwa ajili ya scoops!
2. TISS inawategemea sana waandishi wa habari kwa ajili ya kutekeleza propaganda (chafu).
3. Viongozi wetu wamewekwa mateka na TISS maana wameaminishwa kuwa bila TISS wamekwisha.
4. TISS imekuwa ikifanikiwa sana kuwafanya wanasiasa wetu waogope hata vivuli vyao.
Baadhi ya wanausalama wanalazimishwa kufanya ushenzi, hasa wa uzembe na kutokuwajibika kwa Taifa.
5. TISS imekuwa ni kama kazi ya waganga/ mizimu. ts shame!
1. Waandishi wa habari wamewategemea sana watu wa TISS kwa ajili ya scoops!
2. TISS inawategemea sana waandishi wa habari kwa ajili ya kutekeleza propaganda (chafu).
3. Viongozi wetu wamewekwa mateka na TISS maana wameaminishwa kuwa bila TISS wamekwisha.
4. TISS imekuwa ikifanikiwa sana kuwafanya wanasiasa wetu waogope hata vivuli vyao.
Baadhi ya wanausalama wanalazimishwa kufanya ushenzi, hasa wa uzembe na kutokuwajibika kwa Taifa.
5. TISS imekuwa ni kama kazi ya waganga/ mizimu. ts shame!