Bila shaka vijana vilaza waliituhumu idara ya usalama wa taifa kuwajibika kwa Mwigulu Mchemba anayezunguka DVD ya mipango ya mauaji ya viongozi wa CDM bila kuhojiwa,Shehe Ilunga aliyewatuma kwa mafanikio makubwa waislamu wawaue Mapadri na watawa ambao mpaka sasa wawili wameshakufa na baadhi kujeruhiwa,Polisi kuwajibika kwa Mama Kikwete kwa barua iliyoandikwa kwenda mtwara ikitaka CDM wadhibitiwe ili mama afanye kampeni, Pia wamehoji Nafasi ya Mama Salma kupewa ripoti ya maendeleo ya Mikoa kama Rais huku akipigiwa saluti na maafisa Jeshi eti?Vijana wapumbavu bila shaka mmehoji Kauli ya Ridhiwani kuhusu kutekwa Kibanda kama ameshakamatwa na kuhojiwa popote..Na vipi Ighondu aliyetajwa na kwa jina na Ulimboka? Hamjasahau bila shaka wale Polisi saba waliokuwa wakimuua mwangosi pale Nyololo kama wamekamatwa au kuhojiwa akiwemo kamuhanda eeh...Vipi maalimu seif na mauaji ya mapadri kule Zenji...Pumbaavu kabisa nyie
nngu007 Mbona katika mabandiko yako mengi unapenda kutumia neno TANGANYIKA wakati unaongelea maswala ya muungano badala ya TANZANIA.Nchi zilizoendelea Mgombea URAIS anapewa UTANGULIZI na BAADHI za SIRI za SERIKALI; ILI aelewa NCHI inaendeshwaje haswa kuelewa inadhibitije Wapinzani wa NJE ya NCHI na KUIMARISHA USALAMA NCHINI...
Sasa kama UPINZANI UKISHINDA utajua wapi pa KUANZIA kuhusu USALAMA wa NCHI; CCM sio chama PEKEE cha kuitawala nchi ya TANGANYIKA...
nngu007 Mbona katika mabandiko yako mengi unapenda kutumia neno TANGANYIKA wakati unaongelea maswala ya muungano badala ya TANZANIA.
Nimekuelewa kwa jinsi ulivyoamua kuishughurikia aggressively kero ya jina katika muungano. Hata hivyo unataka nani aseme kama wewe pia hausemi. Huoni kama wewe pia unatengezeza wingi au umoja kama ukisema au kutokusema.
Ni kwasababu hakuna anyesema Tanzania VISIWANI ila Zanzibar; kwahiyo sio vibaya kusema Tanganyika... ni UZALENDO kama Wapendao kuita Zanzibar kuliko Tanzania VISIWANI...
nngu007 Mbona katika mabandiko yako mengi unapenda kutumia neno TANGANYIKA wakati unaongelea maswala ya muungano badala ya TANZANIA.
Gamba ndiyo nini?.Na wewe ni gamba nini?
Dr Slaa alisema makundi ndani ya CCM ndio chanzo cha kuvuja kwa taarifa hizo.
Bila shaka vijana vilaza waliituhumu idara ya usalama wa taifa kuwajibika kwa Mwigulu Mchemba anayezunguka DVD ya mipango ya mauaji ya viongozi wa CDM bila kuhojiwa,Shehe Ilunga aliyewatuma kwa mafanikio makubwa waislamu wawaue Mapadri na watawa ambao mpaka sasa wawili wameshakufa na baadhi kujeruhiwa,Polisi kuwajibika kwa Mama Kikwete kwa barua iliyoandikwa kwenda mtwara ikitaka CDM wadhibitiwe ili mama afanye kampeni, Pia wamehoji Nafasi ya Mama Salma kupewa ripoti ya maendeleo ya Mikoa kama Rais huku akipigiwa saluti na maafisa Jeshi eti?Vijana wapumbavu bila shaka mmehoji Kauli ya Ridhiwani kuhusu kutekwa Kibanda kama ameshakamatwa na kuhojiwa popote..Na vipi Ighondu aliyetajwa na kwa jina na Ulimboka? Hamjasahau bila shaka wale Polisi saba waliokuwa wakimuua mwangosi pale Nyololo kama wamekamatwa au kuhojiwa akiwemo kamuhanda eeh...Vipi maalimu seif na mauaji ya mapadri kule Zenji...Pumbaavu kabisa nyie
gamba ni jangili na haramia la nyara za taifa, au jizi la rasilimali za taifa bila kusahau kuua wazalendo ndani ya nchi.Gamba ndiyo nini?.
Kwa hiyo kama mimi ni gamba, wewe ni nani?gamba ni jangili na haramia la nyara za taifa, au jizi la rasilimali za taifa bila kusahau kuua wazalendo ndani ya nchi.
Babu wee si urudi kanisani uwe mzee wa kanisa tu au uwe mchungaji mstaafu kama mwenzio wa loliondo
Ungekua unajua siri bas si ungeambia mapema kuwa mipango yenu imevuja kupitia lwakare video
Umeshtukia tu ngoma imepasuka
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ni kwasababu hakuna anyesema Tanzania VISIWANI ila Zanzibar; kwahiyo sio vibaya kusema Tanganyika... ni UZALENDO kama Wapendao kuita Zanzibar kuliko Tanzania VISIWANI...
Kwa hiyo kama mimi ni gamba, wewe ni nani?