mwenye mbwa yuko wapi?naona mbwa wake wanabweka hovyo!
Hajui kama anamiliki m'mbwa kama ambavyo hajui nini kinazungumzwa
Na hawa waliotoa kauli wana mamlaka gani, hawaoni kwamba wanaidhalilisha hiyo taasisi? Na je? Hiyo taasisi haina mkurugenzi? Au na yeye hajui kama ni mkurugenzi wa hiyo taasisi?