Saikolojia ya Nguo Fupi

Rais wa Mabeba Maboksi, niliongea nao wanasema wanavaa bila dhamira yoyote ya kumtega mtu ila sielewi kwa nini huwa wanazivuta chini zikipanda kupita kiasi

Inawezekana wapo kweli wanaovaa bila dhamira yoyote ya kumtega au kumvutia mtu, ila pia wanaovaa kwa dhamira hizo wapo na ni wengi tu.

Mtu avae sleeveless sundress bila underskirt yoyote halafu kifuani maziwa yamefunikwa kiduchu (huku robo tatu nzima ikionekana)....kweli atasema hakudhamiria kuvutia nadhari kutoka kwa watu halafu ategemee tumuamini? No way Jose!
 
Inawezekana wapo kweli wanaovaa bila dhamira yoyote ya kumtega au kumvutia mtu, ila pia wanaovaa kwa dhamira hizo wapo na ni wengi tu.

Mtu avae sleeveless sundress bila underskirt yoyote halafu kifuani maziwa yamefunikwa kiduchu (huku robo tatu nzima ikionekana)....kweli atasema hakudhamiria kuvutia nadhari kutoka kwa watu halafu ategemee tumuamini? No way Jose!
NN, ukivaa short kwenda kutembea, unapanga kumvutia mtu? I don't think so. Unavaa sababu your mood of the moments tells you to dress like that. Basi nadhani wanawake wengi wanao vaa nguo za wazi often wanavaa with that same mood. When it is hot and sunny just after winter, the only thing girls want is to wear that little short they bought few weeks ago (but could not wear because of the weather) and walk/run in the sun... Attracting boys is part of the summer package, they don't have to make it a goal of its own.
 
NN, ukivaa short kwenda kutembea, unapanga kumvutia mtu?

Well, inategemea na unaenda kutembea wapi. Kama unaenda kutembea by the lake au Hammond Park (where the ballers go hang out :redface:) huku umevaa daisy dukes na sports bra halafu chini umetupia K-Swiss halafu ki iPod nano chako umekibania kwenye hiyo sports bra yako.....unadhani hutavutia watu?

Hususan ukiwa unajua hilo eneo unaloenda kutembea lina watu wa aina gani na si mara yako ya kwanza kwenda...ni lazima uta draw attention.

Wewe ni member wa health club yoyote? If so wadada huwa wanavaaje? Manake health clubs nizijuazo mimi ni balaa. Tena wale wadada ambao wamejaaliwa usafiri ndio huwaga wanafanya makusudi kabisa mpaka mtu unashindwa ku concentrate.

Na kama ulikuwa hujui gyms ni moja ya prime places ambazo watu hukutana na kuishia kuanza mahusiano ya kimahaba. Kwa hiyo inawezekana kabisa wapo wadada ambao huwaga hawana malengo ya kuvutia wanaume lakini ambao wana malengo hayo nao wapo wengi tu.


NB:Today the pollen count is 9,369 particles of pollen per cubic meter of air. The record prior to this week was 6,013, set in the spring of 1999. It's killing me.
 
Well, inategemea na unaenda kutembea wapi. Kama unaenda kutembea by the lake au Hammond Park (where the ballers go hang out :redface:) huku umevaa daisy dukes na sports bra halafu chini umetupia K-Swiss halafu ki iPod nano chako umekibania kwenye hiyo sports bra yako.....unadhani hutavutia watu?
utavutia mkuu...

Hususan ukiwa unajua hilo eneo unaloenda kutembea lina watu wa aina gani na si mara yako ya kwanza kwenda...ni lazima uta draw attention.
lazima.

Wewe ni member wa health club yoyote? If so wadada huwa wanavaaje? Manake health clubs nizijuazo mimi ni balaa. Tena wale wadada ambao wamejaaliwa usafiri ndio huwaga wanafanya makusudi kabisa mpaka mtu unashindwa ku concentrate.
kumbe? poleni, tutabadili mwenendo

Na kama ulikuwa hujui gyms ni moja ya prime places ambazo watu hukutana na kuishia kuanza mahusiano ya kimahaba. Kwa hiyo inawezekana kabisa wapo wadada ambao huwaga hawana malengo ya kuvutia wanaume lakini ambao wana malengo hayo nao wapo wengi tu.
Sikujua, thanks for the info

NB:Today the pollen count is 9,369 particles of pollen per cubic meter of air. The record prior to this week was 6,013, set in the spring of 1999. It's killing me.
I am sorry about this. Are you taking anything to minimize the allergy? I am sure you can find something without prescription. There is this syrup my sister took in spring, I used to drink it just to feel high (I am not allergic)...
 
wakuu ni kama utamaduni maana hata ambao wanavaa vinguo vya kichovu nao wanavaa vifupi pia na wanapuyanga tu bila kujali nani anawatazama, nachoshindwa kuelewa ni kwa nini wanapenda sana kuonesha ngozi japo kuna nguo nyingi tu nyepesi za kujisitiri mwili mzima maana pamba ni za kumwaga; halafu inaonekana pia wanawake wanavaa kujionyesha kwa wanawake wenzao, sijui hili ni kwa sababu ya ushoga na usagaji kwa wabeba maboksi au ni mashindano tu. wengine wanavaa hivyo vinguo vifupi sana na viatu vya mchuchumio hadi darasani, hivi kweli hali ya mwalimu wa kiume inakuwaje pale mbele anapotoa mhadhara!
 
wakuu ni kama utamaduni maana hata ambao wanavaa vinguo vya kichovu nao wanavaa vifupi pia na wanapuyanga tu bila kujali nani anawatazama, nachoshindwa kuelewa ni kwa nini wanapenda sana kuonesha ngozi japo kuna nguo nyingi tu nyepesi za kujisitiri mwili mzima maana pamba ni za kumwaga; halafu inaonekana pia wanawake wanavaa kujionyesha kwa wanawake wenzao, sijui hili ni kwa sababu ya ushoga na usagaji kwa wabeba maboksi au ni mashindano tu. wengine wanavaa hivyo vinguo vifupi sana na viatu vya mchuchumio hadi darasani, hivi kweli hali ya mwalimu wa kiume inakuwaje pale mbele anapotoa mhadhara!

Oyaaa dogo...kwani unataka kuwa sungusungu wa maadili? Furahia eye candy bana.
 
Oyaaa dogo...kwani unataka kuwa sungusungu wa maadili? Furahia eye candy bana.

sio suala la maadili, nimezoea sana ila leo kuna mdada alikuwa mbele yangu kavaa kikaptula kifupi mno kinabana kinoma tena kina vipindo vya nguvu kwenye kona zake alafu akawa anatembea kwa madaha eti kwenda darasani, alinitibua hapo hapo nikaingia huku kuweka hiyo mada, kufika darasani nako nikakuta kamdada kadogo kamevaa kigauni kifupi halafu bado kanakunja mguu mmoja kwenye kiti ilhali mbele kuna mwalimu wa kiume, ilinikera; kutoka darasana nikakuta lidada lenye figa la kufa mtu limejilaza majanini na kinguo kifupi eti linasoma kitabu, kha!
 
sio suala la maadili, nimezoea sana ila leo kuna mdada alikuwa mbele yangu kavaa kikaptula kifupi mno kinabana kinoma tena kina vipindo vya nguvu kwenye kona zake alafu akawa anatembea kwa madaha eti kwenda darasani, alinitibua hapo hapo nikaingia huku kuweka hiyo mada, kufika darasani nako nikakuta kamdada kadogo kamevaa kigauni kifupi halafu bado kanakunja mguu mmoja kwenye kiti ilhali mbele kuna mwalimu wa kiume, ilinikera; kutoka darasana nikakuta lidada lenye figa la kufa mtu limejilaza majanini na kinguo kifupi eti linasoma kitabu, kha!

Huu ndio uhuru wa kufurahia maisha ya viumbe. Maisha yenyewe ni mafupi yenye milima na mabonde kibao.
 
sio suala la maadili, nimezoea sana ila leo kuna mdada alikuwa mbele yangu kavaa kikaptula kifupi mno kinabana kinoma tena kina vipindo vya nguvu kwenye kona zake alafu akawa anatembea kwa madaha eti kwenda darasani, alinitibua hapo hapo nikaingia huku kuweka hiyo mada, kufika darasani nako nikakuta kamdada kadogo kamevaa kigauni kifupi halafu bado kanakunja mguu mmoja kwenye kiti ilhali mbele kuna mwalimu wa kiume, ilinikera; kutoka darasana nikakuta lidada lenye figa la kufa mtu limejilaza majanini na kinguo kifupi eti linasoma kitabu, kha!
ponda raha kufa kwaja.
 
najiuliza tu!kama duniani kungekuwa na wanawake tu mavazi yangekuwaje?ya kujifunika zaidi au ya kujiuchi zaidi?tafakari
 
naomba private tutorial za kifaransa - mimi na wewe tu - hata kama ni mara moja wa wiki, tuwe tunakutana skype basi tafadhali au nipe namba yako niwe nakupigia tu-palezi ki-franse.
Send a PM (only if you are serious about this, I tried with some members but they all dropped before the fifth lesson).
 
Swali la kujiuliza ni nini hasa saikolojia inayofanya wanawake wa rangi zote wavae nguo fupi kiasi hiki? Je, ni fasheni? Au ni kwa ajili ya kuvutia macho ya wanaume? Pengine ni raha na uhuru mwili ukiwa wazi?

They do that intrinsically to attract wondering eyes, they won't admit it but their expressions and body language say otherwise.
 
Send a PM (only if you are serious about this, I tried with some members but they all dropped before the fifth lesson).

niko veri siriazi lakini kwa sasa iwe mara moja kwa wiki kisha wakati wa likizo tunaweza kufanya hata kila siku.
 
Hakuna binadamu asiyependa kuwa admired-kutongozwa hilo sina hakika kwa sababu niko upande wa pili-lakini kuwa admired kwa kivazi chako hasa dada zetu hilo ni jambo la muhimu sana kwao.Kutana na mdada yeyote mwambie umependeza uone atakavyofurahi hata kama ulikuwa unatania tu; sasa mbaya ni pale kwa kivazi hicho watokee watu wawili watatu wamwambie hivyo! hiyo nguo ndio itakuwa ya kuvaliwa kila mara! (kwa dada zetu wa kibantu uongo si kazi jamani wakivaa mini hupendeza sana, mie nikiri huo ndio ugonjwa wangu mkubwa)
 
Back
Top Bottom