Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,997
nilikuwa nasoma kitabu fulani cha saikolojia. kitabu hicho kilisema kama unataka mtu anywe chai badala ya kahawa mueleze uzuri wa chai na siyo kukazana kueleza ubaya wa kahawa. mtu atajiona kama hajashurutishwa kuamua iwapo utamueleza mazurii ya jambo jipya. pia ukianza kueleza ubaya wa kahawa utamfanya aitetee ili asionekane mjinga kuwa alikuwa anakunywa kinywaji cha hovyo.
hii pengine ndiyo sababu wafuasi wa Lowassa hawasikii la ugonjwa wala la richmond.
hii pengine ndiyo sababu wafuasi wa Lowassa hawasikii la ugonjwa wala la richmond.