Education Mentor
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 396
- 687
- Thread starter
- #21
Karibu sanaAsante sana
Karibu sanaAsante sana
Mkuu usicheleweshe sehemu ya pili maana makala zako darasa tosha.Sehemu ya pili itakuwa na majibu hayo
ahsante.. ....na karibu sanaMkuu usicheleweshe sehemu ya pili maana makala zako darasa tosha.
Karibu MkuuAhsante sana kwa elimu yenye manufaa
Nalog off
Karibu sanaHongera I got something today
Karibu sana kuna mada nyingine ntawashirikisha pamoja na psychologists wengine nnao wafahamu lMkuu Mada Nzuri Sana.
Pia Ni Mwanafunzi Wa Psychology Udsm. Hope Nitapata Vitu For My Future.
ni kweli mkuu....usikose fuatilia pia sehemu ya pili hipo tiyariAsante sana,
Natamani hizi mada zingeanza kufundishwa mashuleni kwa watoto wetu na wadogo zetu wanaoanza kupata ufahamu kuepusha majuto baadae.
Elimu ya Saikolojia ni muhimu sana.
Ukweli ni sasa tuanze jifunza kuwa na furahaHot topic aisee.....kwa maelezo hayo ni ndoto kwa watanzania na nchi yao kuja kuipata furaha ya kudumu.
Ok karibu sanaShukrani sana Mkuu endelea kutufunza.
NIMEINGIZA KITU KIPYA HAPA