Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 859
- 1,012
Fikiria kidogo na namna dunia ilivyo na namna unavyoiishi.
Ni kama (VIDEOGAME) isiyo na maana wala uhalisia wowote katika maisha halisi.
Hauwezi nielewa kama wewe ni mtu usiyependa ishughulisha akili yako katika vitu uvionavyo.
Kama wewe ni mtu unayeangalia (BRITAIN'S GOT TALET) na unaamini kuna matukio ya uchawi mule ndani basi andiko langu hauwezi lielewa kamwe.
Ninachokitaka kwako penda sana kuimani akili yako, na usipende kuamini vya visivyo onekana.
Em wacha twende kwenye mada kwanza.
Unajua kwanini nimesema DUNIA ni kama VIDEOGAME?
Em tuliza akili yao alafu twende pamoja.
Je, ulishawahi tumia nguvu kubwa hata ukagombana na mtu kwenye kuitafuta PESA?
Kama jibu ni ndio je hiyo pesa ulikuja ifayaje baada ya kuipata?
Si ulijengea nyumba, si ulimpa mwanamke, ukanunua na magari? Je unahisi hiyo pesa inaendelea kukupa furaha?
Au umerudi tena kwenye uhalisia wako na msongo wako wa mawazo?.
Je, ulishawahi tumia nguvu kubwa hata ukagombana na watu wengine kwenye kumpata MWANAMKE/mwanamume umpendaye, je baada ya kumpata umeona huyo mwanamke anaendelea kukupa furaha au unaendelea kuitafuta furaha?
Ndugu zangu dunia na vilivyomo ardhini havina maana yeyote ni kama VIDEOGAME isiyo na uhalisia katika maisha halisia.
Je maisha halisia ni yapi?
Maisha halisia ni kufa pekee.
Ukitumia akili utaelewa kwanini nimesema maisha halisia ni kufa pekee.
Wengi wetu wakati VIDEOGAME limechanganya hatupendi kuzima mtambo. Hata kula tunasahau.
Ndio dunia sasa.
Dunia limechanganya kwa kasi na kuona kila kilichomo ni kilicho bora na hatupendi kuzima MTAMBO.
Ndugu yangu dunia inakudanganya sana.,
Ni kama (VIDEOGAME) isiyo na maana wala uhalisia wowote katika maisha halisi.
Hauwezi nielewa kama wewe ni mtu usiyependa ishughulisha akili yako katika vitu uvionavyo.
Kama wewe ni mtu unayeangalia (BRITAIN'S GOT TALET) na unaamini kuna matukio ya uchawi mule ndani basi andiko langu hauwezi lielewa kamwe.
Ninachokitaka kwako penda sana kuimani akili yako, na usipende kuamini vya visivyo onekana.
Em wacha twende kwenye mada kwanza.
Unajua kwanini nimesema DUNIA ni kama VIDEOGAME?
Em tuliza akili yao alafu twende pamoja.
Je, ulishawahi tumia nguvu kubwa hata ukagombana na mtu kwenye kuitafuta PESA?
Kama jibu ni ndio je hiyo pesa ulikuja ifayaje baada ya kuipata?
Si ulijengea nyumba, si ulimpa mwanamke, ukanunua na magari? Je unahisi hiyo pesa inaendelea kukupa furaha?
Au umerudi tena kwenye uhalisia wako na msongo wako wa mawazo?.
Je, ulishawahi tumia nguvu kubwa hata ukagombana na watu wengine kwenye kumpata MWANAMKE/mwanamume umpendaye, je baada ya kumpata umeona huyo mwanamke anaendelea kukupa furaha au unaendelea kuitafuta furaha?
Ndugu zangu dunia na vilivyomo ardhini havina maana yeyote ni kama VIDEOGAME isiyo na uhalisia katika maisha halisia.
Je maisha halisia ni yapi?
Maisha halisia ni kufa pekee.
Ukitumia akili utaelewa kwanini nimesema maisha halisia ni kufa pekee.
Wengi wetu wakati VIDEOGAME limechanganya hatupendi kuzima mtambo. Hata kula tunasahau.
Ndio dunia sasa.
Dunia limechanganya kwa kasi na kuona kila kilichomo ni kilicho bora na hatupendi kuzima MTAMBO.
Ndugu yangu dunia inakudanganya sana.,