Hizi tabia hurithiwa kutoka ktk mazingira ama genetic..?Unapozungumzia nadharia za makundi ya personality fahamu cha kwanza sio lazima uwe na tabia hizo zoote sababu tuna malezi na mazingira tofautitofauti kila mwanadamu
lakini kuna viwango tu vinavyoweza kukujumuisha kundi la personality
mfano mtu mwenye max 75 na mwenye 90 wote wanajumuishwa viwango vya kundi "A" lakini yupo aliefanya vzr zaidi na Yule aliepata kawaida.
Vivyo hivyo unaweza ukawa melancholic 70% lkn unavitu umeviokotaokota kwengine Phlegmatic 10% sanguine 15% Na choleric 5%......hvyo hutajumuishwa kule umeangukia sana
i)Vyote viwili ni vyanzo tofauti vya tabiaHizi tabia hurithiwa kutoka ktk mazingira ama genetic..?
Unajijua vipi personality yakoUnapozungumzia nadharia za makundi ya personality fahamu cha kwanza sio lazima uwe na tabia hizo zoote sababu tuna malezi na mazingira tofautitofauti kila mwanadamu
lakini kuna viwango tu vinavyoweza kukujumuisha kundi la personality
mfano mtu mwenye max 75 na mwenye 90 wote wanajumuishwa viwango vya kundi "A" lakini yupo aliefanya vzr zaidi na Yule aliepata kawaida.
Vivyo hivyo unaweza ukawa melancholic 70% lkn unavitu umeviokotaokota kwengine Phlegmatic 10% sanguine 15% Na choleric 5%......hvyo hutajumuishwa kule umeangukia sana
Zipo namna ila procedure ndefu kdgoUnajijua vipi personality yako
sáwa mkuuZipo namna ila procedure ndefu kdgo
Asante na wewe karibu sanaKupuuza huwa siraha yangu tosha kabisa, asante mkuu kwa bandiko
tusameheaneKuna kitu umenikumbusha, lakini mimi pia nimekusamehe.
Kuna kitu umenikumbusha, lakini mimi pia nimekusamehe.
Kuna kitu umenikumbusha, lakini mimi pia nimekusamehe.
Karibu MkuuAhsante mkuu kwa somo zuri
tusameheane
Ok nalifanyia kaziNingependa siku uanzishe uzi kuhusiana na makundi ya kitabia
Karibu Mkuu.....Ubarikiwe sana kwa masomo unayotoa..najifunza mengi sana..