Wewe imejuaje Kama ni show off?Nyumba yenye swimming yap kajenga?Show off za insta zinawadanganya sana. Hivi unajua boss wako Domo hapo anapoishi sasa kapanga?
Wewe imejuaje Kama ni show off?Nyumba yenye swimming yap kajenga?Show off za insta zinawadanganya sana. Hivi unajua boss wako Domo hapo anapoishi sasa kapanga?
Mnataka Harmonize amchallenge Diamond huo uwezo kwa sasa hana na hatakuja kuwa nao huo uwezo awe WCB au nje ya WCB hawezi.Nyie mashabiki wa bongo flavor bwana. Haya endelea kuenjoy show.
Wewe imejuaje Kama ni show off?
Kwanini mnamshambulia huyo dada? shida iko wapi mtu akitoa mawazo yake au mada ilikuja ili ijadiliwe Fella kasema,Kumbe hakuna unachokijua unaunga unga matukio alafu una-conclude.
Remote hi huyu dada ananishangaza sijui hata Kama anafuatilia mziki naona anaongea pumba Sana.Akili za kisisiemu ni kama kamasi sasa hapo nani kanyonywa?
Alioni hili mbona anakwenda siko na ubinfsi usio na maana.Dogo harmo namuonea huruma Sana asije baadae kuingia Kwenye madawa yakulevya huu mziki ni mgumu kwel kwel hautegemei kipaji pekee ndo maana jux,benpol,Ruby,barnaba wanatruggle hawakui kimziki japo wanavipaji vikubwa kuliko hata harmonize.
Walikua wanamlalamikia Ruge anayonya wasanii,na wao wanapita humo humo.
Dada una weak points... kukaa kimya ni vizuri kuliko kuonekana abnormalNyumba yenye swimming yap kajenga?Show off za insta zinawadanganya sana. Hivi unajua boss wako Domo hapo anapoishi sasa kapanga?
Si ameulizwa?Maneja sijui msimamizi huyu kwanini kaenda kwa media.. si angemuuliza au hana uwezo wa kuongea nae!!! Shame
Ni Kweli dada anaongea pumba Sana naona Kama mziki umepita kushoto ni vizuri akakomaa na Mambo ya udaku ndo panamfaa Zaidi.Dada una weak points... kukaa kimya ni vizuri kuliko kuonekana abnormal
Wewe upo wasafi?Hamo hapo kipesa ni mkewe yule mzungu na siyo wasafi. Wasafi wakishakupa pesa ununue gari,upange nyumba baasi. Angalia kina lava lava Rayvan.
Swali zuri Sana umemuulizaWewe upo wasafi?
Nashanga sana hawataki mtuu a Move on ..hii Bongo hatari sanaWalikua wanamlalamikia Ruge anayonya wasanii,na wao wanapita humo humo.
Kuna sehem kasema kanyonywa?Walikua wanamlalamikia Ruge anayonya wasanii,na wao wanapita humo humo.
My brother jux anastruggle?how?akat daily anatoa hit songs na ana biashra inaend poa tu!afu juz alhojiwa kuhus kutopga shoo nyng akajb ttzo bei,hapg shoo ya lak so usione msanii anapga shoo daily ndo ukaona kayaptia Noo,kla mtu ana bei yke,uftlie vtu mzee uckurupuke,ukisema jux anastruggle kweny mzk je chid benz, q chief na tid watakuaje???Dogo harmo namuonea huruma Sana asije baadae kuingia Kwenye madawa yakulevya huu mziki ni mgumu kwel kwel hautegemei kipaji pekee ndo maana jux,benpol,Ruby,barnaba wanatruggle hawakui kimziki japo wanavipaji vikubwa kuliko hata harmonize.
Akikujibu ni tagKuna sehem kasema kanyonywa?
Hiv kijana unaelewa vizuri maana yakukua kimziki?My brother jux anastruggle?how?akat daily anatoa hit songs na ana biashra inaend poa tu!afu juz alhojiwa kuhus kutopga shoo nyng akajb ttzo bei,hapg shoo ya lak so usione msanii anapga shoo daily ndo ukaona kayaptia Noo,kla mtu ana bei yke,uftlie vtu mzee uckurupuke,ukisema jux anastruggle kweny mzk je chid benz, q chief na tid watakuaje???
Viko wapi hivyo unavyovisema au picha za mitandaoni na maneno ya kwenye kahawa ndo vimefanya uje na wewe useme hayo hapa? N way kama wana hizo asset za namna hiyo nawapa pongezi sanaHuyo Sara kamkuta Hamo ana ghorofa kajenga kwa pesa za muziki labda km alimfanyia finishing... Rayvanny ana nyumba yenye swimming pool sasa wananyonywaje awa watu? Lavalava kaanza muziki juzi tu
Bei haiwezi kuwa tatizo bro kama unauzika, unajua Mond anapiga show kwa bei gani?? Mbona yuko booked mwaka mzima promota hawezi kumpa msaniii show akamlipa pesa ndefu wakati hana uhakika wa kuirudisha hiyo pesa.My brother jux anastruggle?how?akat daily anatoa hit songs na ana biashra inaend poa tu!afu juz alhojiwa kuhus kutopga shoo nyng akajb ttzo bei,hapg shoo ya lak so usione msanii anapga shoo daily ndo ukaona kayaptia Noo,kla mtu ana bei yke,uftlie vtu mzee uckurupuke,ukisema jux anastruggle kweny mzk je chid benz, q chief na tid watakuaje???