Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
Kwahiyo haki isichukue mkondo wake kisa tu RAIS ANAUMIA NA MATUSI??? hivi ina maana kma mtu kaua na ushahidi upo then watu wakaanza mtukana jaji eti apindishe hukumu na kumuchia huru kisa tu AMEUMIA NA MATUSI?? yaani inafkia stage na ssi watanzania tunaweka conditions ya haki kutolewa???Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
Issue kubwa hapo ni Ukabila na Ukanda hakuna cha zaidi.
Wonders shall never cease aseeMkuu,kukuelewesha tuu,wanao pambana na magu sio upinzani,bali ni umma wa watanzania.
Chunguza ni mara ngapi viongozi wa upinzani wanatoa matamko katika matukio,ni mara chache sana
Clouds nao wapinzani? Kweli tz ya vwanderUpinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
Umetumia neno "APPROACH' tuliposema kwenye issue ya madawa hamkutuelewa.. Anyway acha wapigane wenyewe kwanza. Nasubiri ripoti ya Nape, baada ya hapo watandikane weeeee AF baada ya hapo upinzani unaanza tenaApproach nzima inayotumika dhidi ya Makonda si nzuri maana imekaa kiudaku udaki na kulipiza kisasi.
Halafu watu wanapoanza kudokeza kuwa Magufuli na Makonda ni mashoga...halafu hapo hapo wanamtegemea Magufuli eti amtumbue Makonda!
Mtu mnamtukana halafu hapo hapo mnamtegemea afanye jambo la kuwafurahisha...come on now.
Wrong approach.
Kwahiyo haki hutendeka mpaka mtu flani awe na moods?? yaani jambazi likiiba na silaha eti kwakuwa polisi tunawatukana basi ndo wasimkamate??? dah uve made my day mkuu am just speechlessYou have said it all mkuu,
Huwezi kumtukana Rais halaf utegemee akusikilize interests zako
Ule ukanda na ukabila wa chadema umehamia huku!
Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
Asimtumbue tu ili azidi kututia hasira na tuzidi kuzijua zaidi tabia zao.
Mjinga mpe sifa.
Wasalimie hapo chuga chalgii yanguIssue kubwa hapo ni Ukabila na Ukanda hakuna cha zaidi.
Suleman aliomba hekima.Mkuu kwenye hii thread kaelezea vizuri sana.
Kuna watu wanatumia watu wengine kuendesha hii vita ya kuakikisha Makonda anatumbuliwa. Lakini kutumia hao watu ndio kumemfanya Makonda hasitumbuliwe!
Mkuu hata nape nae amekuwa mpinzani